-
Mwandishi wa gazeti la kizayuni la Haaretz: HAMAS haijasambaratika na imefikia malengo yake
Oct 11, 2025 09:09Mwandishi mashuhuri wa gazeti la kizayuni la Haaretz Chaim Levinson amesema, japokuwa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepoteza hatamu za uongozi wa Ukanda wa Ghaza, lakini imefanikiwa kufikia malengo yake mawili makuu.
-
Kilio cha vyombo vya habari na duru za kisiasa za Israel kwa makubaliano ya usitishaji vita; HAMAS inasalia Ghaza na imeshinda
Oct 10, 2025 07:28Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza na ya kubadilishana mateka kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, vyombo vya habari na duru za kisiasa za ndani ya utawala wa kizayuni zimetoa lawama kwa kuashiria matokeo ya vita na kuendelea kubaki thabiti miundo na mihimili ya Muqawama ndani ya Ghaza.
-
Hamas: Israel imechuja orodha ya Wapalestina wanaopasa kuachiwa
Oct 10, 2025 06:55Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema utawala wa Israel unajaribu kuhadaa, kufanyia hila na kuchuja baadhi ya vipengele katika makubaliano ya usitishaji vita.
-
Viongozi duniani wakaribisha makubaliano ya kusimamishwa vita Ghaza yaliyofikiwa kati ya Hamas na Israel
Oct 09, 2025 11:25Viongozi mbalimbali duniani wamekaribisha tangazo la kusitishwa vita Ghaza kufuatia siku tatu za mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya harakati ya ukombozi wa Palestina ya Hamas na utawala wa kizayuni Israel nchini Misri kulingana na mpango uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Kuanguka kizoro katika uso wa Israel - Mwaka wa Pili wa Kimbunga cha al Aqsa
Oct 07, 2025 10:35Historia muda wote imethibitisha kwamba, msimamo imara na kutotetereka mataifa ya dunia katika kupigania ukombozi, siku zote hushinda utumiaji mabavu, vita, njama na mauaji ya umati. Hiyo ni ahadi ya Qur'ani Tukufu ambapo katika Surat Muhammad, aya ya 7 tunasoma: "Mkimnusuru Mwenyezi Mungu basi na Yeye atakunusuruni."
-
Hamas: Msimamo mmoja wa Muqawama wa Palestina umeitenga zaidi Israel
Oct 07, 2025 06:11Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema msimamo mmoja ulioidhinishwa na mirengo yote ya Muqawama wa Palestina kuhusu pendekezo la Rais wa Marekani la kusitisha mapigano Gaza, umepelekea kuzidi kutengwa Israel kimataifa.
-
Kukaribisha madola ya Ulaya jibu la HAMAS kwa mpango wa Trump; nini sababu zake?
Oct 06, 2025 02:18Katika hatua iliyoratibiwa, viongozi wa nchi kubwa za Ulaya wamekaribisha jibu la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) kwa mpango wa Trump kuhusu Gaza.
-
Kiongozi wa Hamas ajitokeza kwa mara ya kwanza tangu Israel iliposhambulia Doha
Oct 05, 2025 07:38Khalil al-Hayya kiongozi wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amejitokeza kwa mara ya kwanza tangu utawala wa Israel ulipowashambulia huko Doha maafisa wa harakati hiyo ya Muqawama ya Palestina.
-
Hamas: Mashambulizi ya Israel dhidi ya msafara wa Sumud ni 'ugaidi wa baharini'
Oct 03, 2025 03:31Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud ukielekea Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Tony Blair 'ndugu wa shetani' ni wa kupandishwa kizimbani, si wa kuiongoza Ghaza
Sep 29, 2025 10:46Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mpango ulioripotiwa kuwa umeandaliwa na Marekani wa kumteua waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair awe liwali wa Ukanda wa Ghaza, na kusisitiza kwamba watu wa Palestina wanao uwezo wa kusimamia mambo yao wenyewe.