-
Israel imesitisha vita kwa kuogopa makombora ya Hamas kushambulia mji wa Tel Aviv
Nov 16, 2018 04:24Waziri wa Masuala ya Kieneo wa Utawala Haramu wa Kizayuni amesema kuwa, Israel imekubali kusitisha vita kutokana na wasiwasi wake wa kushambuliwa na makombora ya muqawama wa Palestina mji mkuu wa utawala huo, Tel Aviv.
-
Makubaliano ya usitishaji vita yamfanya Waziri wa Vita wa Israel ajiuzulu
Nov 14, 2018 11:05Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Avigdor Liberman ametangaza kujiuzulu wadhifa wake eti kulalamikia hatua ya harakati za mapambano za Palestina ikiwemo Hamas kufikia makubaliano ya kusitisha vita na utawala huo dhalimu katika Ukanda wa Gaza kupitia upatanishi wa Misri.
-
Wanamapambano wa Kipalestina wajiweka tayari Ukanda wa Ghaza kukabiliana na Wazayuni
Nov 12, 2018 04:23Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imewaagiza wapiganaji wake kujiweka tayari kufuatia kuuliwa shahidi na kujeruhiwa wanamuqawama wake kadhaa huko Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Ghaza. Mauaji hayo yamefanywa na Wazayuni.
-
Safari ya Waziri Mkuu wa Israel nchini Oman yalaaniwa ndani na nje ya Palestina
Oct 27, 2018 12:11Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa taarifa ya kulaani hatua ya nchi za Kiarabu ya kuwapokea viongozi wa kisiasa na timu za wanamichezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas yatoa indhari kwa utawala haramu wa Kizayuni
Oct 21, 2018 19:48Mshauri wa masuala ya habari wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameutahadharisha utawala wa Kizayuni dhidi ya kutenda jinai ya aina yoyote dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Waziri Mzayuni ataka kubomolewa nyumba za viongozi wa HAMAS
Oct 21, 2018 04:13Yisrael Katz, Waziri wa Usafiri wa utawala haramu wa Israel ametoa wito wa kubomolewa nyumba za viongozi wa Harakati ya Mapambano ya kiislamu ya Palestina (HAMAS).
-
Waziri wa Vita wa Israel: "Maandamano ya Kurejea" ni silaha ya kistratejia ya HAMAS
Oct 14, 2018 12:48Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeyageuza maandamano ya haki ya kurejea kuwa silaha ya kistratejia.
-
Waziri wa Israel: Tel Aviv haina uwezo wa kupambana na HAMAS
Oct 01, 2018 04:41Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Utawala Haramu wa Kizayuni amesema kuwa, kile kinachojiri katika Ukanda wa Gaza, kina upande wa usalama na ni matokeo ya siasa za kupenda vita za Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa Israel.
-
Askari wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina wawatia nguvuni wanachama 100 wa HAMAS Ufukwe wa Magharibi
Sep 27, 2018 12:10Askari usalama wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina wamewatia nguvuni makumi ya wanachama waandamizi na wafuasi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika eneo la Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
HAMAS: Matamshi ya Mahmoud Abbas yanabainisha mtazamo wake binafsi
Sep 22, 2018 13:14Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuhusu matamshi aliyotoa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuwa tayari kufanya mazungumzo na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, kwamba matamshi hayo yanaakisi mtazamo wake binafsi, wala hayawakilishi maoni ya wananchi wa Palestina.