Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • 'Kuitaja Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni njama ya Saudia'

    'Kuitaja Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni njama ya Saudia'

    Mar 06, 2016 22:34

    Mkuu wa Kamati ya Intifadha ya Quds nchini Iran amesema kuwa kuiita Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi ni njama iliyobuniwa na Saudi Arabia na Wazayuni kwa amri ya viongozi wa Israel.

  • Waitifaki wa Israel wameitaja Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Waitifaki wa Israel wameitaja Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Mar 06, 2016 03:46

    Kamanda mwandamizi wa kijeshi nchini Iran amesema waitifaki wa utawala haramu wa Israel ndio wallioitaja harakati ya muqawama ya Hizbullah kuwa kundi la kigaidi.

  • Alaeddin Boroujerdi: Msimamo wa PGCC ni tusi kwa serikali na wananchi wa Lebanon

    Alaeddin Boroujerdi: Msimamo wa PGCC ni tusi kwa serikali na wananchi wa Lebanon

    Mar 05, 2016 04:20

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, msimamo wa hivi karibuni wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi dhidi ya Hizbullah ni baraka kwa Israel na ni tusi kwa serikali na wananchi wa Lebanon.

  • Kuitangaza Hizbullah kundi la kigaidi, zawadi bora ya kuutunukia utawala wa Kizayuni

    Kuitangaza Hizbullah kundi la kigaidi, zawadi bora ya kuutunukia utawala wa Kizayuni

    Mar 05, 2016 03:52

    Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imelaani taarifa iliyotolewa karibuni na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC ya kuliweka jina la harakati hiyo kwenye orodha ya "mashirika ya kigaidi" na kueleza kwamba hatua hiyo imechukuliwa katika muelekeo wa pamoja wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Israel yakiri kuhusu nguvu ya Hizbullah ya Lebanon

    Israel yakiri kuhusu nguvu ya Hizbullah ya Lebanon

    Mar 04, 2016 23:35

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiri kuhusu uwezo wa kijeshi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Watunisia walaani uamuzi wa [P]GCC wa kuitaja Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Watunisia walaani uamuzi wa [P]GCC wa kuitaja Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Mar 04, 2016 04:19

    Washindi wa tunzo ya amani ya Nobel kutoka Tunisia wamelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon katika orodha ya makundi ya kigaidi.

  • Saudia yaendelea kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Saudia yaendelea kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 03, 2016 23:16

    Kufuatia kuongezeka wasiwasi kuhusu kuimarika ushawishi wa Iran katika eneo baada ya kutiwa saini mapatano ya nyuklia, Israel na Saudia zimezidi kukurubiana ili kukabiliana na hali hiyo.

  • Iran yapinga vikali taarifa ya GCC

    Iran yapinga vikali taarifa ya GCC

    Mar 03, 2016 11:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali taarifa iliyotolewa na Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi inaliyoitambua harakatri ya Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi.

  • Algeria yapinga kutolewa tuhuma za ugaidi dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Algeria yapinga kutolewa tuhuma za ugaidi dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Mar 03, 2016 04:28

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Algeria Algeria imepinga kutolewa taarifa ya Mawaziri wa Mambo ya Ndani wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Abdulahiyan: Kuiita Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi hakuna maskahi kwa M. ya Kati

    Abdulahiyan: Kuiita Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi hakuna maskahi kwa M. ya Kati

    Mar 03, 2016 03:18

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa hatua ya kuiweka harakati ya Huzbullah ya Lebanon katika orodha ya makundi ya kigaidi ni sawa na kufumbia macho jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel suala ambalo halina faida kwa usalama na amani na eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS