Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • PGCC: Hizbullah ni taasisi ya kigaidi

    PGCC: Hizbullah ni taasisi ya kigaidi

    Mar 02, 2016 23:40

    Nchi sita wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi zimeiweka Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah ambayo inaendesha mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Kizayuni na magaidi huko Syria katika orodha eti ya magaidi.

  • Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati

    Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati

    Mar 01, 2016 23:20

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinachochea fitna na mizozo ya kimadhehebu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.

  • Hizbullah: Hatuwezi kuiomba Saudia msamaha

    Hizbullah: Hatuwezi kuiomba Saudia msamaha

    Feb 28, 2016 04:33

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imeukosoa utawala wa Saudi Arabia kwa kula njama ya kuitumbukiza Lebanon katika mzozo wa ndani na kuongeza kuwa katu haiwezi kuiomba msahama serikali ya Riyadh kwa kusema ukweli.

  • 'Sudan inaiuzia Saudia habari za kipelelezi kuhusu Hizbullah'

    'Sudan inaiuzia Saudia habari za kipelelezi kuhusu Hizbullah'

    Feb 27, 2016 22:56

    Gazeti la al Akbar la Lebanon limeripoti kuwa, serikali ya Sudan inaiuzia Saudi Arabia habari za kipelelezi kuhusu mbinu zinazotumiwa na Hizbullah katika masuala mbalimbali hususan mbinu za harakati hiyo ya Kiislamu za kupambana na utawala ghasibu wa Israel.

  • Hizbullah: Lebanon haitatawaliwa na Saudia

    Hizbullah: Lebanon haitatawaliwa na Saudia

    Feb 27, 2016 13:23

    Harakati ya Hizbullah imeonya kuwa Lebanon kamwe haitakuwa chini ya mamlaka ya Saudi Arabia licha ya kuwepo mashinikizo ya ufalme huo kwa maafisa wa Lebanon.

  • Hizbullah ya Lebanon: Saudi Arabia ndio inayochafua jina la dini tukufu ya Kiislamu

    Hizbullah ya Lebanon: Saudi Arabia ndio inayochafua jina la dini tukufu ya Kiislamu

    Feb 27, 2016 04:00

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, Saudi Arabia ndiyo mchafuzi mkubwa wa haiba na sura ya Uislamu ulimwenguni.

  • Hizbullah yasisitizia uhusiano mwema na harakati ya Hamas

    Hizbullah yasisitizia uhusiano mwema na harakati ya Hamas

    Feb 24, 2016 21:41

    Mjumbe wa mrengo wa Hizbullah katika Bunge la Lebanon, Hassan Hubullah, amesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano mwema baina ya harakati hiyo na ile ya Palestina Hamas katika ngazi ya viongozi.

  • Al Arabiya yamtimua aliyerusha filamu kuhusu Nasrullah

    Al Arabiya yamtimua aliyerusha filamu kuhusu Nasrullah

    Feb 23, 2016 22:16

    Mkurugenzi wa Kanali ya Televisheni ya Kiarabu ya Al Arabiya amefutwa kazi kwa kutangaza filamu ya matukio ya kweli ambayo ilionekana kumuunga mkono kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrullah.

  • Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia dhidi ya Iran

    Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia dhidi ya Iran

    Feb 20, 2016 09:56

    Akizungumza kwenye mahojiano na kanali ya CNN katika kuhalalisha hatua zake za kisiasa katika eneo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameituhumu Iran kuwa inatekeleza siasa za kuibua malumbano ya kimadhehebu katika eneo.

  • Sheikh Naeem Qassim: Hizbullah haijaghafilika katu na Israel

    Sheikh Naeem Qassim: Hizbullah haijaghafilika katu na Israel

    Feb 12, 2016 23:52

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya muqawa wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah, amesema muqawama katu haujaghafilika na njama na vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS