Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Vyombo vya habari vya Kizayuni: Hizbullah ina makombora 150,000 yafikayo umbali wa kilomita 700

    Vyombo vya habari vya Kizayuni: Hizbullah ina makombora 150,000 yafikayo umbali wa kilomita 700

    Jul 15, 2021 07:48

    Vyombo vya habari utawala wa Kizayuni vimekiri kuhusu hatua kubwa iliyopiga harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika sekta ya makombora na kueleza kwamba Hizbullah ina makombora laki moja na nusu na endapo yatatokea makabiliano katika siku za usoni itakuwa na uwezo wa kufyatua makombora elfu moja hadi elfu tatu kwa siku kuelekea Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu).

  • Hizbullah: Marekani itashindwa katika vita ya kiuchumi kama ilivyoshindwa katika vita vya kijeshi

    Hizbullah: Marekani itashindwa katika vita ya kiuchumi kama ilivyoshindwa katika vita vya kijeshi

    Jul 11, 2021 08:08

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mhimili wa Marekani kama ulivyoshindwa katika vita vya kijeshi katika eneo la Asia Magharibi utashindwa pia katika vita vya kiuchumi.

  • Nasrullah: Daesh ilianzishwa ili kuwasahaulisha Waislamu kadhia ya Palestina

    Nasrullah: Daesh ilianzishwa ili kuwasahaulisha Waislamu kadhia ya Palestina

    Jul 06, 2021 03:08

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa moja kati ya malengo ya kuanzishwa kundi la kigaidi la Daesh ni kuwasahaulisha Waislamu kadhia ya ukombozi wa Palestina.

  • Sheikh Naim Qassim: Hali ya kiafya ya Sayyid Hassan Nasrullah ni nzuri

    Sheikh Naim Qassim: Hali ya kiafya ya Sayyid Hassan Nasrullah ni nzuri

    May 29, 2021 02:58

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali jumla ya kiafya ya kiongozi wa harakati hiyo, Sayyid Hassan Nasrullah ni nzuri.

  • Hizbullah: Vita vya

    Hizbullah: Vita vya "Seif al-Quds" vimeonyesha kuwa, Israel ni dhaifu kuliko nyumba ya buibui

    May 21, 2021 08:16

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, vita vya "Seif al-Quds" vimeonyesha kuwa, utawala haramu wa Israel ni dhaifu kuliko hata nyumba ya buibui.

  • Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah atilia mkazo umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah atilia mkazo umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

    May 04, 2021 03:25

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran uliopatikana kwa uongozi wa Imam Khomeini (MA), kiongozi huyo alisema, Siku ya Quds ni siku ya Uislamu na Siku ya Walionyongeshwa duniani.

  •  Hizbullah ya Lebanon: Palestina ndio dira halisi ya umma wa Kiislamu

    Hizbullah ya Lebanon: Palestina ndio dira halisi ya umma wa Kiislamu

    Apr 24, 2021 03:21

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa kulaani hatua za kijinai walizofanyiwa hivi karibuni wananchi wa Palestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na kusisitiza mshikamano wake na taifa tukufu la Palestina.

  • Naim Qassem: Marekani na Israel wanajua, Hizbullah itajibu mapigo

    Naim Qassem: Marekani na Israel wanajua, Hizbullah itajibu mapigo

    Mar 04, 2021 06:25

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel zinajua vyema kwamba uamuzi madhubuti wa harakati hiyo wa kujibu mapigo na uchokozi wa aina yoyote hauwezi kubadilika.

  • Kuuliwa Luqman Salim sambamba na mafanikio ya kijeshi ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon

    Kuuliwa Luqman Salim sambamba na mafanikio ya kijeshi ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon

    Feb 06, 2021 13:13

    Luqman Salim mwanaharakati wa kisiasa na mwandishi wa Lebanon aliuawa Alhamisi katika mji wa Nabatiyah ambao wakazi wake wengi ni Waislamu wa madhehebu ya Shia huko kusini mwa Lebanon.

  • Hizbullah: Kumwekea vikwazo Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi ni mwendelezo wa jinai za Marekani

    Hizbullah: Kumwekea vikwazo Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi ni mwendelezo wa jinai za Marekani

    Jan 09, 2021 12:54

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema, hatua ya Marekani ya kumwekea vikwazo Mkuu wa Jeshi la kujitolea la wananchi wa Iraq la Al-Hashdu-Sha'abi ni "jinai".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS