Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Msuguano katika Uhusiano wa Ufaransa na Saudi Arabia

    Msuguano katika Uhusiano wa Ufaransa na Saudi Arabia

    May 30, 2018 08:04

    Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa amedai kuwa alikuwa na nafasi muhimu katika utatuzi wa mgogoro wa Lebanon mwaka jana. Aidha amefichua kuwa, Saudi Arabia ilikuwa imemkamata kwa wiki kadhaa Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri.

  • Hizbullah: Saudia inaumia kuiona harakati hii ikijumuishwa katika serikali mpya ya Lebanon

    Hizbullah: Saudia inaumia kuiona harakati hii ikijumuishwa katika serikali mpya ya Lebanon

    May 21, 2018 14:57

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah, amesema kuwa viongozi wa utawala wa Aal-Saud wanaumia mno kuona harakati hiyo ikijumuishwa katika serikali mpya ya Lebanon na kwamba viongozi hao ni madhaifu sana kuweza kuizuia Hizbullah kuingia serikalini.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Ni ujinga wa hali ya juu kuiamini Marekani

    Sayyid Hassan Nasrullah: Ni ujinga wa hali ya juu kuiamini Marekani

    May 14, 2018 17:25

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria kitendo cha Marekani cha kuvunja mikataba na maazimio ya kimataifa na kusema kuwa, baada ya tajriba zote ambazo zimeshuhudiwa kwa Washington, ni ujinga wa hali ya juu kuiamini nchi hiyo.

  • Naeem Qassim: Hizbullah haitaweka chini silaha ila baada ya kuangamizwa Israel

    Naeem Qassim: Hizbullah haitaweka chini silaha ila baada ya kuangamizwa Israel

    Apr 28, 2018 16:13

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, harakati hiyo itakuwa tayari kuweka chini silaha pale tu itakapohakikisha utawala wa Kizayuni wa Israel umeangamizwa.

  • Israel yatishia kwamba huwenda mwaka huu 2018 itapigana vita kali na Hizbullah ya Lebanon

    Israel yatishia kwamba huwenda mwaka huu 2018 itapigana vita kali na Hizbullah ya Lebanon

    Apr 02, 2018 15:07

    Mkuu wa Jeshi la Utawala Haramu za Israel, Gadi Eizenkot amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa utawala huo ukapigana vita vikali na angamizi kati yake na Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon.

  • Olmert: Tulishindwa na Hizbullah katika vita; ufisadi wa Netanyahu hautasawariki

    Olmert: Tulishindwa na Hizbullah katika vita; ufisadi wa Netanyahu hautasawariki

    Mar 17, 2018 04:21

    Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwamba jeshi la utawala huo dhalimu lilishindwa na Hizbullah ya Lebanon katika vita vya mwaka 2006.

  • Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina

    Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina

    Mar 14, 2018 03:35

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa njia ya ufumbuzi wa kadhia ya Palestina haiko mikononi mwa Marekani, bali kinachopasa kufanywa ni kuzifuatilia jinai zinazotendwa na Marekani.

  • Hizbullah: Chimbuko la matatizo yote Mashariki ya Kati ni donda la saratani la Israel

    Hizbullah: Chimbuko la matatizo yote Mashariki ya Kati ni donda la saratani la Israel

    Mar 05, 2018 04:03

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, chimbuko la matatizo yote katika nchi za Kiislamu na Kiarabu na hata kufukuzwa Wapalestina kutoka katika ardhi zao ni utawala ghasibu wa Israel.

  • Baada ya miaka 19 TV ya Al-Manar yaonyesha taswira ya kuangamizwa kamanda wa jeshi la Israel na Hizbullah

    Baada ya miaka 19 TV ya Al-Manar yaonyesha taswira ya kuangamizwa kamanda wa jeshi la Israel na Hizbullah

    Mar 03, 2018 07:56

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimesema kuonyeshwa na kanali ya televisheni ya Al-Manar ya Lebanon taswira ya kuangamizwa kamanda mmoja wa jeshi la utawala huo miaka 19 iliyopita kunabeba ujumbe wa vita vya kinafsi na kisaikolojia vinavyoendeshwa na harakati ya Hizbullah dhidi ya Tel Aviv.

  • Hizbullah yasisitiza tena kwamba, itakabiliana vilivyo na uvamizi wa Wazayuni

    Hizbullah yasisitiza tena kwamba, itakabiliana vilivyo na uvamizi wa Wazayuni

    Feb 20, 2018 04:22

    Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena imesisitiza kwamba, itakabiliana vilivyo na uvamizi wa aina yoyote ile wa utawala haramu wa Israel dhidi ya ardhi ya Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS