-
Ijumaa, Juni 6, 2025
Jun 05, 2025 22:48Leo ni Ijumaa 10 Mfunguo Tatu Dhulhija 1446 Hijria mwafaka na 6 Juni 2025 Milaadia.
-
Iran: Tutaendelea kuiunga mkono Lebanon kwa hali na mali
Jun 05, 2025 03:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu kuimarisha ushirikiano na Lebanon, alipokutana na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah, Sheikh Naim Qassem mjini Beirut.
-
Hizbullah yapinga madai ya kuhusika na shambulio la maroketi
Mar 22, 2025 23:18Baada ya utawala wa Israel kudai kwamba maroketi 5 yalirushwa kuelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu jana Jumamosi, Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imekanusha kuhusika kivyovyote na shambulio hilo.
-
Hizbullah: Lebanon haitaanzisha katu uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni Israel
Mar 17, 2025 02:06Mwakilishi wa Hizbullah katika Bunge la Lebanon amesisitizia msimamo wa kudumu wa nchi hiyo kuhusiana na utawala wa Kizayuni wa Israel na akasema, Lebanon kamwe haitokubali kufuata mkondo wa kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala huo ghasibu.
-
Hizbullah: Muqawama uliilazimisha Israel kukubali usitishaji vita
Mar 10, 2025 07:56Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah amesema Israel ilikubali kusitisha mapigano na Lebanon baada ya kupata vipigo vikali kutoka kwa wapiganaji shupavu wa Muqawama.
-
Waziri Mkuu wa Yemen: Hizbullah imempigisha magoti adui Mzayuni
Feb 23, 2025 04:15Waziri Mkuu wa Serikali ya Mabadiliko na Ujenzi ya Yemen amesema kuwa Harakati ya Muqawama ya Lebanon, Hizbullah, imempigisha magoti adui Mzayuni.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Hatutasalimu amri na wala hatutashindwa
Feb 17, 2025 03:18Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem, amesema katika hotuba aliyotoa kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuwaenzi makamanda waliouawa shahidi kwamba: Haj Imad Mughniyah alikuwa shakhsia wa kiusalama na kijeshi na mbunifu ambaye aliwaongoza Mujahidina kwa msingi wa moyo wa imani.
-
Hizbullah ya Lebanon: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalibadilisha sura ya historia
Feb 10, 2025 23:15Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa salamu za kheri na baraka kwa taifa la Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 46 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ikisisitiza kuwa mapinduzi hayo yalibadilisha mkondo wa matukio na sura ya historia.
-
Hizbullah ya Lebanon: Tutaendelea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina hadi Israel itakapoangamizwa
Jan 21, 2025 03:38Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesisitiza katika taarifa yake kuwa itaendelea kuwasaidia na kushikama na wananchi wa Palestina hadi utawala wa Kizayuni wa Israel utakapoangamizwa.
-
Sheikh Naim Qassim: Nafasi ya Gaza itasajiliwa katika historia
Jan 18, 2025 08:16Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepongeza makubaliano ya kustisha vita katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa nafasi ya Gaza katika kujitolea itasajiliwa katika historia.