• Arubaini, Kuenea Utamaduni wa Ashura (2)

    Arubaini, Kuenea Utamaduni wa Ashura (2)

    Nov 14, 2016 04:16

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi tena katika sehemu nyingine ya mfululizo wa makala hizi zinazokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib as.

  • Alkhamisi, Oktoba 13, 2016

    Alkhamisi, Oktoba 13, 2016

    Oct 12, 2016 23:08

    Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 13 2016.

  • Waislamu duniani wakumbuka kuuawa Shahidi Imam Hussein AS

    Waislamu duniani wakumbuka kuuawa Shahidi Imam Hussein AS

    Oct 11, 2016 23:40

    Leo Jumatano inasadifiana na tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram, siku ya Ashura ya mapambano ya Imam Husain AS huko Karbala. Maombolezo ya kukumbuka siku hiyo ya majonzi yanawashirikisha Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu kote duniani.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (2)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (2)

    Sep 16, 2018 05:57

    Je, tukio la Ashuraa na mauaji ya mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) katika siku ya tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria lina umuhimu katika utamaduni wa Waislamu wa madhehebu ya Shia peke yao? Au la, madhehebu nyingine za Kiislamu pia kama madhehebu za Ahlusunna, zinajali sana tukio hilo na kuumizwa mno na masaibu ya Hussein bin Ali na dhulma zilizofanywa na madhalimu dhidi ya familia hiyo ya Mtume?