Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Iran: Utawala wa Kizayuni ndiyo sababu ya ugaidi na uharibifu katika eneo hili zima

    Iran: Utawala wa Kizayuni ndiyo sababu ya ugaidi na uharibifu katika eneo hili zima

    Jun 19, 2022 06:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika mazungumzo yake na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwamba kuwepo utawala pandikizi wa Kizayuni katika eneo hili ndiyo sababu ya ukosefu wa utulivu na amani kama ambavyo ndio ulioleta vitendo vya kigaidi na uharibifu katika eneo hili zima.

  • Safari ya pili ya Bennet nchini Imarati katika kipindi cha miezi sita

    Safari ya pili ya Bennet nchini Imarati katika kipindi cha miezi sita

    Jun 10, 2022 10:17

    Naftali Bennet, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Alhamisi Juni 10 aliwasili katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati au UAE) hii ikiwa ni safari yake ya pili nchini humo katika kipndi cha miezi sita.

  • Jihadul-Islami ya Palestina yalaani hatua ya Imarati ya kumpokea waziri mkuu wa Israel

    Jihadul-Islami ya Palestina yalaani hatua ya Imarati ya kumpokea waziri mkuu wa Israel

    Jun 10, 2022 07:35

    Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imelaani hatua ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) ya kumpokea waziri mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Amir Abdollahian: Uhusiano mzuri baina ya majirani unawakatisha tamaa maadui katika eneo

    Amir Abdollahian: Uhusiano mzuri baina ya majirani unawakatisha tamaa maadui katika eneo

    May 17, 2022 07:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria mazungumzo kati yake na Rais mpya wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), na kueleza kuwa uhusiano mwema kati ya nchi jirani ni sababu ya kuvunjika moyo maadui katika eneo.

  • Hali ya madaraka katika Umoja wa Falme za Kiarabu baada ya kuaga dunia Sheikh Khalifa bin Zayed

    Hali ya madaraka katika Umoja wa Falme za Kiarabu baada ya kuaga dunia Sheikh Khalifa bin Zayed

    May 16, 2022 02:21

    Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al Nahyan Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) na mtawala wa Abu Dhabi alifariki dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 73 na sasa Baraza Kuu la Imarati limemteua Sheikh Mohamed bin Zayed bin Sultan Al Nahyan kuwa rais mpya wa nchi hiyo.

  • Kuendelea hatua za Imarati dhidi ya taifa la Palestina

    Kuendelea hatua za Imarati dhidi ya taifa la Palestina

    Apr 20, 2022 08:00

    Ikiwa ni katika kuendeleza hatua zake dhidi ya taifa la Palestina na katika kivuli cha kudumushwa vitendo vya mabavu vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina, serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, imechukua hatua nyingine mbili katika kuimarisha uhusiano wake na utawala huo wa kibaguzi.

  • Libya yakataa kucheza na Israel mchezo wa vitara huko Imarati

    Libya yakataa kucheza na Israel mchezo wa vitara huko Imarati

    Apr 12, 2022 10:26

    Timu ya taifa ya mchezo wa kushindana kwa vitara (fencing) ya Libya imekataa kucheza na utawala haramu wa Israel katika mashindano ya ubingwa wa mchezo huo katika Umoja wa Falme za Kiarabu, ili kuonesha mshikamano wao kwa wananchi wa Palestina.

  • Makombora ya Yemen yateketeza kiwanda cha mafuta cha Aramco Jiddah, Imarati yatangaza hali ya hatari

    Makombora ya Yemen yateketeza kiwanda cha mafuta cha Aramco Jiddah, Imarati yatangaza hali ya hatari

    Mar 26, 2022 08:07

    Wakati moto mkubwa ukiendelea kuteketeza kiwanda cha mafuta cha Aramco huko Jeddah nchini Saudi Arabia, kiwango cha tahadhari kimepandishwa juu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa hofu ya operesheni za kijeshi za jeshi la Yemen na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah wanaolipiza kisasi hujuma za muungano wa vita unaoongoza na Saudia.

  • Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati

    Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati

    Mar 25, 2022 08:11

    Baada ya mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani kufichua hadharani jinai zinazofanywa na Mkuu wa Polisi ya Kimataifa (Interpol) ambaye ni raia wa Imarati; Idara ya Mahakama nchini Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu afisa huyo wa Intepol.

  • Kamanda mwandamizi wa Imarati auawa mjini Aden, Yemen

    Kamanda mwandamizi wa Imarati auawa mjini Aden, Yemen

    Mar 25, 2022 02:29

    Kamanda wa ngazi ya juu wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameuawa katika mripuko wa bomu mjini Aden, kusini mwa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS