-
Ziara isiyo na tija ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika nchi za Saudia na Imarati
Mar 19, 2022 06:05Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson mbaye alikuwa ziarani katika nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), amejaribu sana kuzishawishi nchi hizo mbili ziongeze kiwango chao cha uzalishaji mafuta, lakini amerejea London mikono mitupu.
-
Imarati inawajengea vitongoji askari wa Israel huko Socotra, Yemen
Mar 09, 2022 10:42Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kujenga vitongoji katika kisiwa cha kistratijia cha Yemen cha Socotra ambacho kinakaliwa kwa mabavu na Imarati, kwa ajili wanajeshi wa utawala haramu wa Israel; zaidi ya mwaka mmoja baada ya tawala hizo mbili kuanzisha uhusiano wa kawaida.
-
Sababu za kubadilika siasa za Imarati kutoka za mashambulizi hadi za mapatano
Mar 07, 2022 04:21Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ni katika nchi za Kiarabu ambazo zilibaki salama katika wimbi la mapinduzi ya wananchi wa nchi za Kiarabu la mwaka 2011. Jambo hilo pamoja na uwezo wa kiuchumi na kupenda makuu Mohammed bin Zayed liliifanya Imarati ifuate siasa za mashambulizi na kupenda vita kama vile kushiriki katika uvamizi wa Yemen.
-
Vikosi vya kimataifa na kuendelea kuwepo Imarati nchini Yemen
Mar 02, 2022 02:21Kwa mara nyingine tena Imarati imeimarisha uwepo wake wa kijeshi usio wa moja kwa moja nchini Yemen kupitia mfumo wa vikosi vya kimataifa.
-
UAE inaiba nishati ya Yemen ili ipate fedha za kulipia silaha za Ufaransa
Feb 07, 2022 02:41Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kuiba rasilimali za nishati ya Yemen ili upate fedha za kufadhili makubaliano ya mauzo ya silaha ya mabilioni ya dola uliofunga na Ufaransa.
-
Malengo ya safari ya Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Imarati
Jan 31, 2022 09:14Isaac Herzog, rais wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, jana Jumapili tarehe 30 Januari aliwasili mjini Abu Dhabi katika safari ya kwanza rasmi ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati.
-
Mitazamo tofauti kuhusu sababu za kuondoka wanajeshi wa Imarati huko Ma'arib na Shabwah nchini Yemen
Jan 30, 2022 14:03Viongozi wa Abu Dhabi wametangaza kuwa wameondoa wanajeshi wao katika mikoa ya Shabwah na Ma'rib nchini Yemen, baada ya mashambulio ya kulipiza kisasi na maonyo makali yaliyotolewa na wanamapambano wa Yemen kwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Jeshi la Yemen latungua droni ya US, laua makumi ya mamluki wa Imarati
Jan 30, 2022 07:44Makumi ya mamluki wa Imarati wameangamizwa na jeshi la Yemen linaloshirikiana na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah katika mkoa wa Shabwah, mashariki mwa Yemen.
-
Mamluki zaidi ya 90 wa Imarati wauawa kusini mwa Yemen
Jan 28, 2022 07:18Duru za Yemen zinaarifu kuwa mamluki zaidi ya 90 wa Imarati wameuawa wakati wa kukabiliana na hujuma ya mamluki hao katika mkoa wa Shibwah.
-
Israel yatiwa hofu na onyo la Yemen la kushambulia Expo Dubai sambamba na safari ya Herzog UAE
Jan 27, 2022 02:36Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na onyo lililotolewa na vikosi vya ulinzi vya Yemen la kushambulia maonyesho ya Expo Dubai, sambamba na kukaribia safari ya rais wa utawala huo nchini Imarati.