-
Umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa Iran na India katika nyanja mbalimbali
Mar 18, 2025 04:44Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa X akiashiria historia ndefu ya uhusiano kati ya nchi mbili za Iran na India kwamba: Uhusiano huu umekuwa muhimu sana katika kuandaa mazingira ya kuimarishwa ushirikiano wa pande zote.
-
Mwanafunzi wa Iran ashinda 'Tuzo ya Mtafiti Kijana wa Mwaka' ya BRICS na SCO
Feb 17, 2025 03:11Hosna Salimi, mwanafunzi wa Kiirani wa Kitivo cha Taaluma za Dunia (FWS) cha Chuo Kikuu cha Tehran ameshinda Tuzo ya 'Mtafiti Kijana Bora wa Mwaka' katika taasisi ya BRICS na Tuzo ya Viongozi Vijana ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) kwa mwaka 2025 kutokana na kazi bora aliyofanya katika sayansi na utafiti.
-
Mahakama Kuu ya India yabatilisha hukumu ya kuzifunga Madrasa 17,000 za Waislamu
Nov 09, 2024 06:35Baada ya uhakiki na uchunguzi uliochukua muda wa miezi kadhaa, Mahakama Kuu ya India hatimaye imetoa uamuzi wa kubakishwa Madrasa 17,000 za Waislamu zilizotaka kufungwa katika jimbo kubwa zaidi la nchi hiyo la Uttar Pradesh.
-
Jumatatu, Oktoba 21, 2024
Oct 21, 2024 02:21Leo ni Jumatatu tarehe 17 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria sawa na 21 Okktoba 2024 Milaadia.
-
Alkhamisi, 18 Julai, 2024
Jul 18, 2024 02:27Alkhamisi tarehe 12 Muharram 1446 Hijria sawa na Julai 18 mwaka 2024.
-
Jumamosi, 18 Mei, 2024
May 18, 2024 04:02Leo ni Jumamosi 9 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1445 Hijria sawa na 18 Mei 2024 Miladia.
-
Wanafunzi wa kigeni washambuliwa India kwa kusali Tarawehe kwenye dakhalia ya chuo
Mar 18, 2024 11:12Wanafunzi wasiopungua wanne wa kigeni wamejeruhiwa baada ya kundi la Wahindu wenye chuki za kidini kuvamia dakhalia ya chuo kikuu katika jimbo la Gujarat magharibi mwa India na kushambulia kundi la wanafunzi waliokuwa wanasali Sala ya Tarawehe katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
Iran na India zatiliana saini makubaliano ya mwisho ya maendeleo ya bandari ya Chabahar
Jan 16, 2024 07:05Waziri wa Barabara na Maendeleo ya Miji wa Iran na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa India wamekubaliana kuendeleza Bandari ya Chabahar, iliyoko katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, Kusini Mashariki mwa Iran.
-
Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani
Dec 01, 2023 02:29Gazeti la Washington Post la Marekani limetahadharisha kuhusu mienendo ya chama tawala nchini India na jinsi kinavyotumia vibaya vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni 'mashetani'.
-
Kuongezeka mpasuko katika G20
Sep 12, 2023 02:26Wakati Marekani inajaribu kueneza fikra kwamba kundi la G20 ni mojawapo ya mashirika ya kimataifa yenye mpangilio bora zaidi ambako Washington inaweza kutumia ushawishi wake kuongoza shughuli zake, malengo na mipango yake, lakini mkutano wa G20 huko nchini India na upinzani wa China dhidi ya kufanyika mkutano wa 2026 nchini Marekani vinaonyesha kuongezeka kwa tofauti na mpasuko katika G20.