-
Jumamosi, 18 Mei, 2024
May 18, 2024 04:02Leo ni Jumamosi 9 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1445 Hijria sawa na 18 Mei 2024 Miladia.
-
Wanafunzi wa kigeni washambuliwa India kwa kusali Tarawehe kwenye dakhalia ya chuo
Mar 18, 2024 11:12Wanafunzi wasiopungua wanne wa kigeni wamejeruhiwa baada ya kundi la Wahindu wenye chuki za kidini kuvamia dakhalia ya chuo kikuu katika jimbo la Gujarat magharibi mwa India na kushambulia kundi la wanafunzi waliokuwa wanasali Sala ya Tarawehe katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
Iran na India zatiliana saini makubaliano ya mwisho ya maendeleo ya bandari ya Chabahar
Jan 16, 2024 07:05Waziri wa Barabara na Maendeleo ya Miji wa Iran na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa India wamekubaliana kuendeleza Bandari ya Chabahar, iliyoko katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, Kusini Mashariki mwa Iran.
-
Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani
Dec 01, 2023 02:29Gazeti la Washington Post la Marekani limetahadharisha kuhusu mienendo ya chama tawala nchini India na jinsi kinavyotumia vibaya vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni 'mashetani'.
-
Kuongezeka mpasuko katika G20
Sep 12, 2023 02:26Wakati Marekani inajaribu kueneza fikra kwamba kundi la G20 ni mojawapo ya mashirika ya kimataifa yenye mpangilio bora zaidi ambako Washington inaweza kutumia ushawishi wake kuongoza shughuli zake, malengo na mipango yake, lakini mkutano wa G20 huko nchini India na upinzani wa China dhidi ya kufanyika mkutano wa 2026 nchini Marekani vinaonyesha kuongezeka kwa tofauti na mpasuko katika G20.
-
Vyama 28 vya siasa India kuungana dhidi ya Modi katika uchaguzi wa Mei 2024
Sep 02, 2023 07:33Vyama 28 vya upinzani nchini India vimeamua kushiriki kwa pamoja katika uchaguzi mkuu wa 2024 dhidi ya Waziri Mkuu Narendra Modi lengo likiwa ni kuzuia ushindi wa tatu mfululizo wa chama tawala cha Hindu Bharatiya Janata (BJP).
-
Hasira zatanda India baada ya mwalimu kuwataka watoto wamchape vibao mwanafunzi Muislamu
Aug 27, 2023 13:32Wimbi la hasira limeibuka nchini India baada ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii vidio inayomuonyesha mwalimu wa skuli moja katika jimbo la Uttar Pradesh akimdhalilisha mwanafunzi Muislamu darasani kwa kuwataka wanafunzi wenzake wamchape vibao na kutaka pia afukuzwe skulini hapo kwa sababu ya dini yake.
-
Wahindu wenye chuki na Uislamu wamuua Imamu na kuuchoma moto msikiti katika mji wa Gurugram, India
Aug 01, 2023 13:25Naibu Imamu wa Sala ya jamaa ameuawa baada ya kundi la Wahindu wenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia kuufyatulia risasi na kuuchoma moto msikiti katika kitongoji cha mji mkuu wa India, New Delhi, saa chache baada ya ghasia mbaya za kijamii zilizozuka katika wilaya jirani.
-
Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India
Jun 16, 2023 02:28Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni wa Kituo cha Utafiti wa Jamii Zinazoendelea (CSDS) huko New Delhi unaonyesha kuwa, sera za Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, zimezidisha mgawanyiko wa kidini nchini humo.
-
Chama cha Modi chang'olewa Karnataka, jimbo la India lililopiga marufuku Hijabu
May 14, 2023 11:27Chama cha upinzani cha Congress nchini India kimeshinda katika uchaguzi wa jimbo muhimu la Karnataka kusini mwa nchi hiyo na kuking'oa chama tawala cha Waziri Mkuu Narendra Modi, BJP mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa kitaifa.