Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Jumamosi, 18 Mei, 2024

    Jumamosi, 18 Mei, 2024

    May 18, 2024 04:02

    Leo ni Jumamosi 9 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1445 Hijria sawa na 18 Mei 2024 Miladia.

  • Wanafunzi wa kigeni washambuliwa India kwa kusali Tarawehe kwenye dakhalia ya chuo

    Wanafunzi wa kigeni washambuliwa India kwa kusali Tarawehe kwenye dakhalia ya chuo

    Mar 18, 2024 11:12

    Wanafunzi wasiopungua wanne wa kigeni wamejeruhiwa baada ya kundi la Wahindu wenye chuki za kidini kuvamia dakhalia ya chuo kikuu katika jimbo la Gujarat magharibi mwa India na kushambulia kundi la wanafunzi waliokuwa wanasali Sala ya Tarawehe katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Iran na India zatiliana saini makubaliano ya mwisho ya maendeleo ya bandari ya Chabahar

    Iran na India zatiliana saini makubaliano ya mwisho ya maendeleo ya bandari ya Chabahar

    Jan 16, 2024 07:05

    Waziri wa Barabara na Maendeleo ya Miji wa Iran na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa India wamekubaliana kuendeleza Bandari ya Chabahar, iliyoko katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, Kusini Mashariki mwa Iran.

  • Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani

    Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani

    Dec 01, 2023 02:29

    Gazeti la Washington Post la Marekani limetahadharisha kuhusu mienendo ya chama tawala nchini India na jinsi kinavyotumia vibaya vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni 'mashetani'.

  • Kuongezeka mpasuko katika G20

    Kuongezeka mpasuko katika G20

    Sep 12, 2023 02:26

    Wakati Marekani inajaribu kueneza fikra kwamba kundi la G20 ni mojawapo ya mashirika ya kimataifa yenye mpangilio bora zaidi ambako Washington inaweza kutumia ushawishi wake kuongoza shughuli zake, malengo na mipango yake, lakini mkutano wa G20 huko nchini India na upinzani wa China dhidi ya kufanyika mkutano wa 2026 nchini Marekani vinaonyesha kuongezeka kwa tofauti na mpasuko katika G20.

  • Vyama 28 vya siasa India kuungana dhidi ya Modi katika uchaguzi wa Mei 2024

    Vyama 28 vya siasa India kuungana dhidi ya Modi katika uchaguzi wa Mei 2024

    Sep 02, 2023 07:33

    Vyama 28 vya upinzani nchini India vimeamua kushiriki kwa pamoja katika uchaguzi mkuu wa 2024 dhidi ya Waziri Mkuu Narendra Modi lengo likiwa ni kuzuia ushindi wa tatu mfululizo wa chama tawala cha Hindu Bharatiya Janata (BJP).

  • Hasira zatanda India baada ya mwalimu kuwataka watoto wamchape vibao mwanafunzi Muislamu

    Hasira zatanda India baada ya mwalimu kuwataka watoto wamchape vibao mwanafunzi Muislamu

    Aug 27, 2023 13:32

    Wimbi la hasira limeibuka nchini India baada ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii vidio inayomuonyesha mwalimu wa skuli moja katika jimbo la Uttar Pradesh akimdhalilisha mwanafunzi Muislamu darasani kwa kuwataka wanafunzi wenzake wamchape vibao na kutaka pia afukuzwe skulini hapo kwa sababu ya dini yake.

  • Wahindu wenye chuki na Uislamu wamuua Imamu na kuuchoma moto msikiti katika mji wa Gurugram, India

    Wahindu wenye chuki na Uislamu wamuua Imamu na kuuchoma moto msikiti katika mji wa Gurugram, India

    Aug 01, 2023 13:25

    Naibu Imamu wa Sala ya jamaa ameuawa baada ya kundi la Wahindu wenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia kuufyatulia risasi na kuuchoma moto msikiti katika kitongoji cha mji mkuu wa India, New Delhi, saa chache baada ya ghasia mbaya za kijamii zilizozuka katika wilaya jirani.

  • Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India

    Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India

    Jun 16, 2023 02:28

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni wa Kituo cha Utafiti wa Jamii Zinazoendelea (CSDS) huko New Delhi unaonyesha kuwa, sera za Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, zimezidisha mgawanyiko wa kidini nchini humo.

  • Chama cha Modi chang'olewa Karnataka, jimbo la India lililopiga marufuku Hijabu

    Chama cha Modi chang'olewa Karnataka, jimbo la India lililopiga marufuku Hijabu

    May 14, 2023 11:27

    Chama cha upinzani cha Congress nchini India kimeshinda katika uchaguzi wa jimbo muhimu la Karnataka kusini mwa nchi hiyo na kuking'oa chama tawala cha Waziri Mkuu Narendra Modi, BJP mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa kitaifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS