-
Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?
Aug 08, 2025 02:11Siku ya Jumatano, Agosti 6, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini amri ya kuweka ushuru wa ziada wa asilimia 25 dhidi ya bidhaa za India ili kukabiliana na hatua ya nchi hiyo ya kuendelea kununua mafuta ya Russia, na hivyo kuongeza ushuru jumla kwa bidhaa za India hadi asilimia 50.
-
Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?
Jul 19, 2025 09:38Wizara ya Mambo ya Nje ya India imepinga vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia na kiwanda cha kusafisha mafuta cha India na pia "sera za kindumakuwili" za umoja huo katika uga wa biashara ya nishati.
-
Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan
May 27, 2025 06:39Rais Masoud Pezeshkian wa Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono usitishaji vita wa kudumu kati ya India na Pakistan, akitoa mwito wa kufanyika mazungumzo kati ya nchi za kikanda ili kutatua mizozo iliyopo na kuimarisha amani.
-
Jumapili, 18 Mei 2025
May 18, 2025 02:28Leo ni Jumapili 20 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 18 Mei 2025 Miladia.
-
Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan
May 12, 2025 01:58Mzozo wa India na Pakistan ni moja ya migogoro sugu na ya muda mrefu zaidi katika eneo la Asia Kusini.
-
Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31
May 08, 2025 07:05Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amesema nchi hiyo "italipiza kisasi cha damu za mashahidi wetu wasio na hatia" baada ya watu wasiopungua 31 kuripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya India kwenye mkoa wa Punjab na Kashmir inayodhibitiwa na Pakistan.
-
Baqaei: Iran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mzozo kati ya India na Pakistan
May 08, 2025 02:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mivutano kati ya India na Pakistan na amezitolea wito pande mbili kujizuia kuchukua hatua.
-
Umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa Iran na India katika nyanja mbalimbali
Mar 18, 2025 04:44Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa X akiashiria historia ndefu ya uhusiano kati ya nchi mbili za Iran na India kwamba: Uhusiano huu umekuwa muhimu sana katika kuandaa mazingira ya kuimarishwa ushirikiano wa pande zote.
-
Mwanafunzi wa Iran ashinda 'Tuzo ya Mtafiti Kijana wa Mwaka' ya BRICS na SCO
Feb 17, 2025 03:11Hosna Salimi, mwanafunzi wa Kiirani wa Kitivo cha Taaluma za Dunia (FWS) cha Chuo Kikuu cha Tehran ameshinda Tuzo ya 'Mtafiti Kijana Bora wa Mwaka' katika taasisi ya BRICS na Tuzo ya Viongozi Vijana ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) kwa mwaka 2025 kutokana na kazi bora aliyofanya katika sayansi na utafiti.
-
Mahakama Kuu ya India yabatilisha hukumu ya kuzifunga Madrasa 17,000 za Waislamu
Nov 09, 2024 06:35Baada ya uhakiki na uchunguzi uliochukua muda wa miezi kadhaa, Mahakama Kuu ya India hatimaye imetoa uamuzi wa kubakishwa Madrasa 17,000 za Waislamu zilizotaka kufungwa katika jimbo kubwa zaidi la nchi hiyo la Uttar Pradesh.