Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Jumuiya ya Kimataifa ya Wahadhiri wa Kiislamu yalaani mauaji ya Waislamu nchini India

    Jumuiya ya Kimataifa ya Wahadhiri wa Kiislamu yalaani mauaji ya Waislamu nchini India

    Mar 02, 2020 22:56

    Jumuiya ya Kimataifa ya Wahadhiri Waislamu wa Vyuo Vikuu (International Association of Muslim University Professors) imelaani mauaji yanayofanyika nchini India dhidi ya Waislamu na kutoa wito wa kukomeshwa kimya cha kimataifa kuhusiana na jinai hiyo.

  • Iran yasikitishwa na ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini India

    Iran yasikitishwa na ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini India

    Mar 02, 2020 09:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake kuhusiana na ukandamizaji wanaofanyiwa Waislamu nchini India na kusema kuwa, Tehran inaitambua India kuwa ni nchi ya kuvumiliana kidini; hivyo habari za kuwepo ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini humo ni suala linalotia wasiwasi mkubwa.

  • Mamia waandamana katika miji ya US kulaani mauaji ya Waislamu India

    Mamia waandamana katika miji ya US kulaani mauaji ya Waislamu India

    Mar 01, 2020 04:26

    Mamia ya raia wa Marekani wenye asili ya India wamefanya maandamano katika miji mikubwa ya Marekani kulaani na kupinga ghasia zilizopelekea makumi ya watu kuuawa katika mji mkuu wa India, New Delhi.

  • Wasiwasi wa Pakistan kuhusu mkataba wa mauzo ya silaha baina ya India na Marekani

    Wasiwasi wa Pakistan kuhusu mkataba wa mauzo ya silaha baina ya India na Marekani

    Feb 29, 2020 23:04

    Serikali ya Pakistan imetahadharisha kuhusu athari mbaya za mkataba wa kijeshi uliotiwa saini baina ya nchi za India na Marekani.

  • Kumalizika ziara ya Trump nchini India

    Kumalizika ziara ya Trump nchini India

    Feb 27, 2020 04:38

    Ziara ya siku mbili ya Rais Donald Trump wa Marekani huko India imemalizika katika hali ambayo hakujatangazwa habari yoyote kuhusu kufikiwa mapatano makubwa ya kibiashara kati ya nchi mbili hizo.

  • Ghasia zashtadi India, waliouawa New Delhi wafika 24

    Ghasia zashtadi India, waliouawa New Delhi wafika 24

    Feb 26, 2020 22:55

    Idadi ya waliouawa katika ghasia zilizosababishwa na sheria tatu yenye kuwabagua Waislamu katika mji mkuu wa India, New Delhi imeongezeka na kufikia watu 24.

  • Ghasia za umwagaji damu baina ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria mpya ya uraia nchini India

    Ghasia za umwagaji damu baina ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria mpya ya uraia nchini India

    Feb 26, 2020 22:54

    Kwa akali watu 23 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 150 wamejeruhiwa katika mji mkuu wa India New Delhi, kufuatia ghasia zilizoibuka kati ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria tata ya kuwapa uraia wa nchi hiyo watu wasio Waislamu.

  • Watu 13 wafariki dunia na 150 wajeruhiwa katika ghasia za mjini New Delhi, India

    Watu 13 wafariki dunia na 150 wajeruhiwa katika ghasia za mjini New Delhi, India

    Feb 26, 2020 01:10

    Watu 13 wamefariki dunia na wengine 150 wamejeruhiwa katika ghasia zilizoibuka kati ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria tata ya kuwapa uraia wa nchi hiyo watu wasio Waislamu.

  • Guterres ataka kutekelezwa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa Kashmir

    Guterres ataka kutekelezwa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa Kashmir

    Feb 20, 2020 08:23

    Katika siku ya mwisho ya safari yake nchini Pakistan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekumbusha kadhia ya eneo la Kashmir na kuitaka serikali ya India iheshimu azimio la baraza la Usalama la umoja huo kuhusiana na Kashmir.

  • Alkhamisi, tarehe 20 Februari, 2020

    Alkhamisi, tarehe 20 Februari, 2020

    Feb 20, 2020 00:52

    Leo ni Alkhamisi tarehe 25 Jamadithani 1441 Hijria sawa na Februuari 20 mwaka 2020.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS