Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Waziri Mkuu wa Pakistan aapa kutoa jibu kali kwa  India kuhusu Kashmir

    Waziri Mkuu wa Pakistan aapa kutoa jibu kali kwa India kuhusu Kashmir

    Sep 06, 2019 22:02

    Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema serikali yake itatoa jibu kali zaidi linalowezekana katika kukabiliana na hatua za India huko Kashmir, lakini akasisitiza kuwa, nchi yake haitaki vita na India.

  • Jeshi la Pakistan: Vita vitaibuka kutokana na hatua za India huko Kashmir

    Jeshi la Pakistan: Vita vitaibuka kutokana na hatua za India huko Kashmir

    Sep 05, 2019 00:05

    Jeshi la Pakistan limetahadharisha kuwa hatua ambazo India imechukua huko Kashmir zinaweza kuchochea vita katika eneo.

  • Mgogoro wa Kashmir.. Imran Khan atahadharisha juu ya kutokea vita vya dunia vya nyuklia

    Mgogoro wa Kashmir.. Imran Khan atahadharisha juu ya kutokea vita vya dunia vya nyuklia

    Aug 31, 2019 22:13

    Waziri Mkuu wa Pakistan ameeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro unaoendelea kushadidi baina ya nchi hiyo na India na kutahadharisha kwamba, kuna uwezekano wa kutokea vita vipya vya dunia kwa kutumia silaha za nyuklia baina ya nchi hizo mbili.

  • Wakati Waislamu Kashmir wanakandamizwa, UAE yamtunukia Waziri Mkuu wa India nishani ya juu kabisa ya uraia wa heshima

    Wakati Waislamu Kashmir wanakandamizwa, UAE yamtunukia Waziri Mkuu wa India nishani ya juu kabisa ya uraia wa heshima

    Aug 25, 2019 07:59

    Hatua ya serikali ya Imarati (UAE) ya kumtunukia Waziri Mkuu wa India Narendra Modi nishani ya juu kabisa ya uraia wa heshima imeamsha moto mkubwa wa malalamiko na ukosoaji wa wanaharakati wa kutetea haki kutokana na ukandamizaji unaoendelea kufanywa na serikali yake dhidi ya Waislamu wa eneo la Kashmir.

  • Independent: India inafanya mikakati ya kuwapokonya uraia mamilioni ya Waislamu

    Independent: India inafanya mikakati ya kuwapokonya uraia mamilioni ya Waislamu

    Aug 19, 2019 22:05

    Gazeti la Independent linalochapishwa nchini Uingereza limefichua kwamba, serikali ya India inapanga mikakati ya kuwapokonya uraia watu wasiopungua milioni nne aghlabu yao wakiwa ni Waislamu na kuwatambua kuwa ni wahajiri wa kigeni.

  • Wakashmir 4,000 wamekamatwa na serikali ya India tangu Kashmir inyang'anywe mamlaka ya kujiendeshea mambo yake

    Wakashmir 4,000 wamekamatwa na serikali ya India tangu Kashmir inyang'anywe mamlaka ya kujiendeshea mambo yake

    Aug 18, 2019 22:13

    Maelfu ya watu wametiwa nguvuni katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India kwa hofu ya kuzuka machafuko baada ya serikali ya New Delhi kutengua mamlaka maalumu liliyokuwa nayo eneo hilo ya kujiendeshea mambo yake.

  • Kikao cha Baraza la Usalama  kuhusu eneo la Kashmir chamalizika bila ya natija yoyote

    Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu eneo la Kashmir chamalizika bila ya natija yoyote

    Aug 17, 2019 03:41

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoitshwa kujadili uamuzi ulioibua makelele wa serikali ya India wa kubatilisha mamlaka maalumu ya utawala wa ndani eneo la Kashmir kimemalizika bila ya matunda yoyote.

  • Mashauriano ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan na Russia kuhusiana na Kashmir

    Mashauriano ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan na Russia kuhusiana na Kashmir

    Aug 15, 2019 22:05

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan Shah Mehmood Qureshi amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Russia, Sergey Lavrov kuhusiana na hali ya eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.

  • Iran yaunga mkono kuanza mchakato wa kumtibu kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Iran yaunga mkono kuanza mchakato wa kumtibu kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Aug 13, 2019 06:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono mchakato wa kuanza kumpatia matibabu Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kueleza kufurahishwa na hatua ya kuelekea India Sheikh Zakzaky na mkewe kwa ajili ya matibabu.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan atahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea vita na India

    Waziri Mkuu wa Pakistan atahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea vita na India

    Aug 07, 2019 03:30

    Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuwa, kuna uwezekano wa kutokea vita baina ya nchi yake na India baada ya New Delhi kufuta kifungu cha katiba kinacholipa mamlaka ya utawala wa ndani jimbo linalozozaniwa na Kashmir.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS