-
Jumatano, Novemba 2, 2016
Nov 01, 2016 23:03Leo ni Jumatano tarehe Pili Mfunguo Tano Safar 1438 Hijria sawa Novemba Pili 2016 Milaadia.
-
Vumbi na moshi wa sumu umesababisha vifo vya watu laki moja Indonesia
Sep 19, 2016 09:28Matokeo ya uchunguzi mpya uliofanywa yameonyesha kuwa kuna uwezekano kwamba vumbi la moshi wa sumu uliotokana na moto uliowashwa mwaka uliopita katika maeneo ya misitu ya Indonesia vimesababisha vifo vya kabla ya wakati vya watu wapatao laki moja katika maeneo hayo.
-
Iran yapania kuimarisha uhusiano na nchi za bara Asia
Jul 30, 2016 03:47Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza juu ya umuhimu wa kuimarisha uhusiano wake na nchi za bara Asia.
-
Wazayuni wamzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia kuingia Palestina
Mar 13, 2016 21:54Utawala wa kizayuni wa Israel umemzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia, Retno Marsudi kuingia katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, ambapo alitazamiwa kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Palestina.