• Hamas: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa nguvu Intifadha ya Palestina

    Hamas: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa nguvu Intifadha ya Palestina

    Feb 11, 2016 07:21

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema Mapinduzi ya Kiislamu yaliyotokea mwaka 1979 nchini Iran yameishajiisha na kuipa nguvu Intifadha na mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel ambao unazikalia ardhi za Wapalestina kwa mabavu.

  • Israel yatiwa kiwewe na msimamo wa UN kuwatetea Wapalestina

    Israel yatiwa kiwewe na msimamo wa UN kuwatetea Wapalestina

    Feb 09, 2016 14:54

    Utawala wa kizayuni wa Israel umetiwa kiwewe na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ya kuwatetea Wapalestina ambao ardhi zao zinakaliwa kwa mabavu na Wazayuni maghasibu.