Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Raisi: Visiwa 3 vya Ghuba ya Uajemi ni sehemu isiyotenganishika na Iran

    Raisi: Visiwa 3 vya Ghuba ya Uajemi ni sehemu isiyotenganishika na Iran

    Feb 01, 2024 23:29

    Rais wa Iran amesema visiwa vitatu vinavyomilikiwa na nchi hii vya Bu Musa, Tomb Ndogo na Tomb Kubwa katika Ghuba ya Uajemi daima vitasalia kuwa milki ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Spika ya Majlisi ya Iran: Utamaduni wa kufa shahidi unawatia hofu maadui

    Spika ya Majlisi ya Iran: Utamaduni wa kufa shahidi unawatia hofu maadui

    Feb 01, 2024 23:12

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameeleza kuwa utamaduni wa kufa shahidi unawatia hofu maadui.

  • Iran yaitaka Marekani iache kutumia lugha ya vitisho dhidi yake

    Iran yaitaka Marekani iache kutumia lugha ya vitisho dhidi yake

    Feb 01, 2024 07:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameitaka Marekani iache kutumia lugha ya vitisho dhidi ya taifa hili na kusisitiza kuwa, vitisho vyovyote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu vitakabiliwa na jibu madhubuti na la haraka.

  • Maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaanza rasmi nchini Iran

    Maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaanza rasmi nchini Iran

    Feb 01, 2024 03:45

    Alkhamisi ya leo ya tarehe Mosi Februari 2024 inasadifiana na tarehe 12 Bahman 1402 kwa kalenda ya Iran ya Hijria Shamsia. Tarehe kama hii kila mwaka huwa ndio mwanzo wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran.

  • Mipaka ya Iran na Pakistan kubadilishwa kuwa ya kiuchumi na kiurafiki

    Mipaka ya Iran na Pakistan kubadilishwa kuwa ya kiuchumi na kiurafiki

    Jan 31, 2024 23:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, juhudi zinafanyika kuhakikisha kwamba, mipaka ya nchi yake na Pakistan inabadilika na kuwa ya kiuchumi, amani na urafiki.

  • Iran: US inajua ni 'suluhisho la kisiasa' tu ndilo linaloweza kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel Gaza

    Iran: US inajua ni 'suluhisho la kisiasa' tu ndilo linaloweza kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel Gaza

    Jan 30, 2024 23:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Marekani inajua vyema kwamba ni suluhisho la kisiasa pekee ndilo linaloweza kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kumaliza mgogoro unaoikumba Asia Magharibi.

  • Nchi tatu za Ulaya zapinga ustawi wa Iran katika sekta ya anga za mbali

    Nchi tatu za Ulaya zapinga ustawi wa Iran katika sekta ya anga za mbali

    Jan 28, 2024 23:31

    Katika taarifa ya pamoja, Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, ambazo kidiplomasia zinajulikana kama Troika ya Ulaya, zimelaani hatua ya Iran wiki iliyopita ya kurusha satalaiti ya Soraya au Thurayya katika mzunguko wa kilomita 750 kutoka ardhini kwa kutumia roketi ya "Qaim 100".

  • Iran yatuma angani satalaiti tatu kwa mafanikio

    Iran yatuma angani satalaiti tatu kwa mafanikio

    Jan 28, 2024 10:01

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kutuma angani satalaiti tatu kwa mpigo zilizotengenezwa na wataalamu wa hapa nchini.

  • Kan'ani: Mashirika ya 'haki za binadamu' ya Magharibi hayana tena itibari

    Kan'ani: Mashirika ya 'haki za binadamu' ya Magharibi hayana tena itibari

    Jan 28, 2024 09:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mashirika yanayojidai kuwa ya kutetea haki za binadamu katika nchi za Magharibi yamepoteza itibari na uhalali wao kwa kufumbia macho jinai za kutisha zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Tehran: Iran na Pakistan hazitaruhusu maadui waharibu uhusiano wao wa kindugu

    Tehran: Iran na Pakistan hazitaruhusu maadui waharibu uhusiano wao wa kindugu

    Jan 28, 2024 04:24

    Kufuatia shambulio lililowalenga raia wa Pakistan ndani ya Iran, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Tehran na Islamabad hazitavumilia chokochoko za kuharibu uhusiano wa nchi hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS