Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais Raisi: Zaidi ya 90% ya dawa zinazohitajika zinatengenezwa nchini

    Rais Raisi: Zaidi ya 90% ya dawa zinazohitajika zinatengenezwa nchini

    Jan 23, 2023 08:39

    Rais Ebrahim Raisi amesema, asilimia tisini ya dawa zinazohitajika zinatengenezwa humuhumu nchini.

  • Iran itatoa jibu kwa hatua ya kuwekwa Jeshi la IRGC katika orodha ya 'kigaidi' EU

    Iran itatoa jibu kwa hatua ya kuwekwa Jeshi la IRGC katika orodha ya 'kigaidi' EU

    Jan 23, 2023 01:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameuonya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua za "kujibu mapigo" baada ya Bunge la Ulaya kupiga kura ya kuongeza Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) katika orodha ya makundi ya 'kigaidi' ya Umoja wa Ulaya.

  • Iran yazindua awamu ya operesheni ya mradi wa Satalaiti wa Jenerali Soleimani

    Iran yazindua awamu ya operesheni ya mradi wa Satalaiti wa Jenerali Soleimani

    Jan 23, 2023 01:24

    Mkuu wa Shirika la Anga za Juu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuzinduliwa kwa awamu ya operesheni ya mradi wa kwanza wa mfumo wa satelaiti nchini, uliopewa jina la kamanda wa ngazi ya juu wa kupambana na ugaidi wa Iran, Jenerali Qassem Soleimani.

  • Iran na Zimbabwe kusaini makubaliano ya kuimarisha ushirikiano

    Iran na Zimbabwe kusaini makubaliano ya kuimarisha ushirikiano

    Jan 22, 2023 04:21

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zinanatazamiwa kusaini hati kadhaa za makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili ndani ya wiki kadhaa zijazo.

  • Spika: Majlisi ya Iran itachukua 'hatua nzito' mkabala wa Bunge la Ulaya

    Spika: Majlisi ya Iran itachukua 'hatua nzito' mkabala wa Bunge la Ulaya

    Jan 21, 2023 06:55

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameashiria hatua ya Bunge la Ulaya iliyo dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na kusema kuwa, iwapo Ulaya inataka 'kufunga mlango wa mantiki' na kuunga mkono ugaidi, basi Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kuchukua hatua nzito ya kujibu mapigo.

  • Umoja wa Ulaya washadidisha uingiliaji katika masuala ya ndani ya Iran

    Umoja wa Ulaya washadidisha uingiliaji katika masuala ya ndani ya Iran

    Jan 19, 2023 23:13

    Katika muendelezo wa uingiliaji wa Umoja wa Ulaya katika masuala ya ndani ya Iran, Bunge la Ulaya linatafakari na kujadili suala la kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) katika kile kinachoitwa orodha ya mashirika ya kigaidi.

  • Iran: EU imefanya kosa kubwa kuiweka IRGC katika orodha ya ugaidi

    Iran: EU imefanya kosa kubwa kuiweka IRGC katika orodha ya ugaidi

    Jan 19, 2023 07:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Bunge la Ulaya limefanya kosa kubwa kwa kupiga kura ya kuutaka Umoja wa Ulaya na nchi wanachama wa EU kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) katika orodha ya makundi ya kigaidi.

  • Kwa mnasaba wa Siku ya Gaza, Waarabu watakiwa kuwa bega kwa bega na Muqawama kama ilivyo Iran

    Kwa mnasaba wa Siku ya Gaza, Waarabu watakiwa kuwa bega kwa bega na Muqawama kama ilivyo Iran

    Jan 18, 2023 23:32

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, Iran inaunga mkono kishujaa kadhia na piganio tukufu la Palestina; na inavyotarajiwa, nchi za Kiarabu nazo pia zichukue msimamo kama huo wa Tehran.

  • Amir-Abdollahian: Uhusiano wa Iran na Uturuki upo katika mkondo sahihi

    Amir-Abdollahian: Uhusiano wa Iran na Uturuki upo katika mkondo sahihi

    Jan 17, 2023 09:45

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema uhusiano wa pande mbili wa Jamhuri ya Kiislamu na Uturuki upo katika mkondo sahihi.

  • Radiamali hasi ya Madola ya Magharibi ya kunyongwa jasusi wa Uingereza nchini Iran

    Radiamali hasi ya Madola ya Magharibi ya kunyongwa jasusi wa Uingereza nchini Iran

    Jan 15, 2023 08:13

    Kunyongwa Ali Reza Akbari, jasusi wa shirika la kijasusi la Uingereza la MI6 kumekabiliwa na matamshi ya pupa na radiamali tofauti na hasi za madola ya Magharibi. Radiamali hizo zinaonyesha kupata pigo kubwa mipango ya kijasusi ya Magharibi dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS