Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Lavrov: Russia inaunga mkono msimamo wa Iran katika kufufua JCPOA

    Lavrov: Russia inaunga mkono msimamo wa Iran katika kufufua JCPOA

    Jun 23, 2022 08:00

    Waziri wa mambo ya nje wa Russia amesema nchi yake inaunga mkono, bila kuongezwa wala kupunguzwa, yaliyomo katika msimamo wa Iran kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Raisi asisitiza: Ni marufuku kuwepo kivyovyote na kuingilia nchi ajinabi katika bahari ya Kaspi

    Raisi asisitiza: Ni marufuku kuwepo kivyovyote na kuingilia nchi ajinabi katika bahari ya Kaspi

    Jun 23, 2022 03:33

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu umuhimu wa kushirikiana nchi majirani katika eneo la Kaspi na kupigwa marufuku uwepo wowote wa wanajeshi ajinabi katika eneo hilo hasa katika mazingira maalumu ya eneo la Pwani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Afisa wa Iran: Ubaguzi umekita mizizi katika historia ya Uingereza

    Afisa wa Iran: Ubaguzi umekita mizizi katika historia ya Uingereza

    Jun 22, 2022 23:08

    Ubaguzi na udhalilishaji wa binadamu ni mambo yaliyokita mizizi katika historia ya Uingereza. Hayo yamesemwa na Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Iran, Kazem Gharibabadi katika ujumbe wake kwa njia ya Twitter.

  • Ukosoaji mkali wa Tehran dhidi ya ripoti ya UN kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran

    Ukosoaji mkali wa Tehran dhidi ya ripoti ya UN kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran

    Jun 22, 2022 21:53

    Kamati ya Haki za Binadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kujibu ripoti ya hali ya haki za binadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliyowasilishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwenye kikao cha 50 cha Baraza la Haki za Binadamu la umoja huo.

  • Iran yalaani shambulio lililoua mamia ya watu nchini Ethiopia

    Iran yalaani shambulio lililoua mamia ya watu nchini Ethiopia

    Jun 21, 2022 03:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio lililopelekea kuuawa mamia ya watu katika eneo la Oromia nchini Ethiopia, na kueleza kuwa Tehran imesikitishwa mno na mauaji hayo ya halaiki.

  • Iran yaonya kuhusu kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Iran yaonya kuhusu kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Jun 20, 2022 22:52

    Balozi wa mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa indhari kuhusu kuongezeka vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Waziri wa Ulinzi asisitiza kuongezwa uwezo wa jeshi la majini la Iran kulingana na ukubwa wa vitisho

    Waziri wa Ulinzi asisitiza kuongezwa uwezo wa jeshi la majini la Iran kulingana na ukubwa wa vitisho

    Jun 19, 2022 01:15

    Akiwa ziarani katika mkoa wa Hormozgan kusini mwa Iran, Brigedia Jenerali Mohammad Reza Ashtiani, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametembelea miradi ya majini ya wizara hiyo huko Bandar Abbas hususan utengenezaji wa manowari, meli za kawaida za kivita na nyambizi na kusema kuwa kuimarishwa nguvu katika pande zote za ulinzi ikiwa ni pamoja na nchi kavu anga, na hasa baharini, ni moja ya vipaumbele vya mipango ya ulinzi wa nchi.

  • Hatua na jumbe za kindumakuwili za Marekani kuhusiana na JCPOA na Iran

    Hatua na jumbe za kindumakuwili za Marekani kuhusiana na JCPOA na Iran

    Jun 18, 2022 21:53

    Moja ya zilizokuwa nara na madai muhimu ya Marekani wakati Rais Joe Biden alipoingia madarakani ni kuirejesha Washington katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Iran: Tumeitaarifu IAEA kuhusu shughuli zetu katika kituo cha nyuklia cha Natanz

    Iran: Tumeitaarifu IAEA kuhusu shughuli zetu katika kituo cha nyuklia cha Natanz

    Jun 18, 2022 08:02

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu imelitaarifu Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu mpango wake wa kuhamishia mji wa Natanz katikati ya Iran, shughuli za kituo cha nyuklia cha TESA kilichoko katika mji wa Karaj, viungani mwa mji mkuu Tehran.

  • Iran: Tutaendelea na mazungumzo bila ya kufumbia macho haki zetu zilizo wazi

    Iran: Tutaendelea na mazungumzo bila ya kufumbia macho haki zetu zilizo wazi

    Jun 17, 2022 20:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itaendelea na mazungumzo, haitatoka kwenye mkondo wa kuyafikisha kwenye tija mazungumzo hayo na haitofumbia macho haki zake zilizo wazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS