Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ulimwengu wa Spoti, Jan 24

    Ulimwengu wa Spoti, Jan 24

    Jan 24, 2022 04:45

    Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani

    Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani

    Jan 19, 2022 07:16

    Iran imepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana hapa nchini katika kuwawezesha wanawake na wasichana, licha ya vikwazo vya Marekani vilivyo kinyume cha sheria na vya kinyama vinavyolenga nchi hiyo.

  • Kuanza kupelekwa barani Ulaya huduma za nishati za Iran

    Kuanza kupelekwa barani Ulaya huduma za nishati za Iran

    Jan 18, 2022 04:38

    Kufuatia kutiwa saini hati ya mapatano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Romania kwa ajili ya kupelekwa nchini humo huduma za kiufundi za Iran katika sekta ya gesi, kwa mara ya kwanza Iran imejiunga na nchi zinazouza barani Ulaya huduma za nishati.

  • Benki ya Dunia:  Uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021

    Benki ya Dunia: Uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021

    Jan 17, 2022 04:33

    Benki ya Dunia imesema uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021 na hivyo kupiga hatua zaidi ya utabiri wa benki hiyo ambayo ilikuwa imetabiri Juni mwaka jana kuwa ustawi huo ungekuwa kwa asilimia moja.

  • Kamanda: Usalama wa Iran ni mstari mwekundu wa vikosi vya ulinzi

    Kamanda: Usalama wa Iran ni mstari mwekundu wa vikosi vya ulinzi

    Jan 16, 2022 04:32

    Naibu Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran amesema usalama wa taifa hili ni mstari mwekundu wa vikosi vyote vya ulinzi na usalama vya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Rais wa Iran alegeza baadhi ya masharti ya kukabiliana na Corona, huku vifo vikipungua

    Rais wa Iran alegeza baadhi ya masharti ya kukabiliana na Corona, huku vifo vikipungua

    Jan 16, 2022 00:02

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran ameruhusu kuondolewa baadhi ya masharti na vikwazo vilivyokuwa vimetangazwa hapa nchini kwa lengo la kupambana na msambao wa ugonjwa wa Covid-19, huku idadi ya maambukizi na vifo vinavyotokana na maradhi hayo ikiendelea kupungua.

  • Kambi ya jeshi la US nchini Iraq yashambuliwa kwa droni

    Kambi ya jeshi la US nchini Iraq yashambuliwa kwa droni

    Jan 15, 2022 08:43

    Uwanja wa ndege za kijeshi wa Marekani wa Balad ulioko kaskazini mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad umeshambuliwa kwa ndege zisizo na rubani.

  • Balozi za Iran na Saudia kufunguliwa tena karibuni

    Balozi za Iran na Saudia kufunguliwa tena karibuni

    Jan 15, 2022 08:42

    Mwanachama wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Saudia upo katika mkondo wa kuhuishwa.

  • Raisi: Vikwazo na vitisho haviwezi kulizuia taifa kustawi na kupata maendeleo

    Raisi: Vikwazo na vitisho haviwezi kulizuia taifa kustawi na kupata maendeleo

    Jan 14, 2022 08:51

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, vikwazo na vitisho kamwe haviwezi kulizuia taifa la Iran kustawi na kupata maendeleo.

  • Iran: Marekani haina azma ya kufunga jela ya Guantanamo

    Iran: Marekani haina azma ya kufunga jela ya Guantanamo

    Jan 13, 2022 23:23

    Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Idara ya Mahakama ya Iran ameukosoa vikali utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani kwa kufeli kutekeleza ahadi yake ya kufunga jela ya kutisha ya Guantanamo Bay iliyoko nchini Cuba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS