-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na kiongozi wa Hamas mjini Doha
Jan 12, 2022 01:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amekutana na Ismail Haniyeh kiongozi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.
-
Brigedia Jenerali Shekarchi: Marekani ni mfadhili mkuu wa ugaidi, chanzo cha ukosefu wa usalama duniani kote
Jan 11, 2022 10:46Msemaji wa Jeshi la Iran ameitaja Marekani kuwa nchi inayoongoza kwa kufadhili ugaidi duniani na kusema Washington ndiyo chanzo cha ukosefu wa usalama kote duniani.
-
Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo
Jan 09, 2022 23:19Rais wa Kamati ya Taifa ya Olimpiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeikashifu na kuikosoa vikali Marekani kwa hatua yake ya kususia Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi Kali itakayofanyika huko Beijing, China.
-
Iran yaijia juu WSJ ya US kwa kuchapisha makala ya kipumbavu
Jan 08, 2022 09:10Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelikosoa vikali gazeti la Kimarekani la Wall Street Journal kwa kuchapisha makala ya kipumbavu na ya kihasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, wakati huu wa kuendelea kufanyika mazungumzo ya kuiondolea vikwazo Iran huko Vienna.
-
Iran: Korea Kusini lazima itulipe deni letu
Jan 07, 2022 00:04Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa na kiongozi wa ujumbe wa Iran katika mazungumzo ya Vienna amesema Korea Kusini haina chaguo jingine isipokuwa kutekeleza wajibu wake na kuilipa Jamhuri ya Kiislamu deni lake.
-
Iran: Wakazakhstan wanaweza kutatua matatizo yao bila uingiliaji wa maajinabi
Jan 07, 2022 00:03Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wananchi wa Kazakhstan wana uwezo wa kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo, pasi na kutegemea uingiliaji wa madola ajinabi.
-
Mahakama ya Iran yakosoa sera za kupenda vita za Wamagharibi
Jan 05, 2022 23:20Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amekosoa vikali sera za kupenda na kuchochea vita za nchi za Magharibi, huku akizilaani nchi hizo kwa madai yao bandia kuhusu suala la haki za binadamu.
-
Brigedia Jenerali Qaani: Wauaji wa Kamanda Soleimani hawatakuwa salama
Jan 05, 2022 04:15Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Wauaji wa Luteni Jenerali Qasem Soleimani walidhani kuwa wameshinda kwa kumuua, lakini hawakujua kwamba hawatakuwa salama.
-
Jumatano tarehe 5 Januari mwaka 2022
Jan 04, 2022 23:05Leo ni Jumatano tarehe Pili Jamadithani 1443 Hijria sawa na na Januari 5 mwaka 2022.
-
Iran: Uzayuni hauna nafasi katika mustakabali wa dunia
Jan 04, 2022 04:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kulinda na kutetea haki, maslahi na ustawi wake kwa izza na mantiki; na kusisitiza kuwa utawala wa Kizayuni hauna nafasi katika mustakabali wa dunia.