-
Shauku maradufu ya Azerbaijan ya kupanua ushirikiano na Iran
Jan 02, 2022 09:23Viongozi wa Iran na Jamhuri ya Azerbaijan wakiwa na lengo la kupanua uhusiano wa pande mbili na kustawisha ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara wamo mbioni kupiga hatua kubwa katika uwanja huo.
-
Kamanda wa IRGC adungwa chanjo ya COVID-19 ya Noora ya Iran
Jan 02, 2022 04:38Chanjo nyingine ya COVID-19 iliyotegenezwa Iran ijulikanayo kama Noora imeingia awamu ya tatu ya majaribio kwa mwanaadamu kwa kudungwa Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
-
Iran yalaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu mauaji ya polisi Wairani
Jan 02, 2022 04:36Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu Iran amekosoa kimya na kutochukua hatua taasisi za kimataifa kuhusu mauaji ya maafisa wa polisi wa nchi hii wanaopoteza maisha katika mapambano dhidi ya magaidi, wafanya magendo wenye silaha na magenge.
-
Baqeri Kani: Zimepigwa hatua nzuri katika suala la uondoaji vikwazo
Dec 30, 2021 08:56Kiongozi wa ujumbe wa Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA amesema, kutokana na mazungumzo ya karibuni mjini Vienna, zimepigwa hatua nzuri katika suala la uondoaji vikwazo.
-
Rais wa Iran kuitembelea Russia kufuatia mwaliko wa Putin
Dec 29, 2021 04:17Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kuitembelea Russia mapema mwaka ujao 2022, kufuatia mwaliko wa mwenzake wa nchi hiyo, Vladimir Putin.
-
Iran: Inawezekana kufikia makubaliano mazuri katika mazungumzo ya Vienna
Dec 29, 2021 01:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini yake ya kufikiwa mapatano ya kuridhisha katika mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 linaloundwa na mataifa ya Russia, China, Uingereza, Ufaransa pamoja Ujerumani yanayoendelea huko Vienna, Austria.
-
Kamanda: Adui hawezi kustahamili gharama za makabiliano na Iran
Dec 29, 2021 01:02Kamanda mwandamizi wa kijeshi nchini Iran amewashauri maadui wasithubutu kupima uwezo wa kijeshi wa Iran kwa kufanya chokochoko kwani hawataweza kustahamili gharama za vita vya pande zote na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani
Dec 27, 2021 09:57Rais Nicholas Maduro wa Venezuela amesema jamii ya kimataifa inapaswa kulaani vikali mauaji ya kigaidi ya mwaka 2020 ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani wa Iran ambaye alikuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Iran yasikitishwa na mauaji yaliyofanywa na magaidi Burkina Faso
Dec 27, 2021 09:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametangaza kufungamana na familia za raia wa Burkina Faso ambao waliuawa katika hujuma ya kigaidi hivi karibuni.
-
Iran yafanya majaribio ya makombora 16 ya balistiki kwa mafanikio
Dec 25, 2021 01:09Katika siku ya mwisho ya mazoezi makubwa ya kijeshi yaliyopewa jina la "Mtume Mtukufu SAW 17", Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimevurumisha kwa pamoja makombora 16 ya balistiki ambayo yamelenga shabaha kwa mafanikio ya kiwango cha juu.