Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Abu Turabi Fard: Marekani na Israel zinavuruga amani Asia Magharibi

    Abu Turabi Fard: Marekani na Israel zinavuruga amani Asia Magharibi

    Dec 24, 2021 12:24

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, katika zama hizi za giza ambapo siasa za Marekani na mamluki wake zinachochea ukosefu wa usalama na machafuko katika eneo la Magharibi mwa Asia na dunia, mfumo wa Kiislamu wa Iran umeweza kuboresha pakubwa kiwango cha usalama katika eneo hilo.

  • Rais wa Iran awapongeza Wakristo maadhimisho ya kuzaliwa Nabii Issa Masih, asema ni fursa ya kukumbuka sira yake

    Rais wa Iran awapongeza Wakristo maadhimisho ya kuzaliwa Nabii Issa Masih, asema ni fursa ya kukumbuka sira yake

    Dec 24, 2021 09:20

    Katika ujumbe wake wa pongezi kwa Kingozi wa Kanisa Katoliki Duniani wa Wakristo wote kwa nasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa Nabii Issa (as), Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutaja kuzaliwa kwa Mtume huyo wa Mwenyezi Mungu kuwa ni fursa ya kukumbuka ruwaza njema ya kuwapenda wanadamu na kutoa bishara njema kwa watu wanaodhulumiwa na kukandamizwa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Azerbaijan

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Azerbaijan

    Dec 23, 2021 00:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian na Rais Ilham Aliyev wa Azerbaijan wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu masuala ya pamoja yanayohusu nchi mbili.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Shahid Irlu alikuwa mtumishi wa wananchi wanaodhulumiwa wa Yemen

    Brigedia Jenerali Qaani: Shahid Irlu alikuwa mtumishi wa wananchi wanaodhulumiwa wa Yemen

    Dec 21, 2021 08:24

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, shahid Hasan Irlu, balozi wa Iran nchini Yemen ambaye amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona, alikuwa mtumishi wa wananchi madhulumu na wanamuqawama wa Yemen.

  • UN yaipongeza Iran kwa kuwahudumia vyema wakimbizi

    UN yaipongeza Iran kwa kuwahudumia vyema wakimbizi

    Dec 21, 2021 04:12

    Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imeipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kupokea idadi kubwa ya wakimbizi licha ya matatizo yanayoikabili na kusema imeisaidia jamii ya kimataifa.

  • Abdollahian asisitiza msimamo wa Iran wa kuliunga mkono taifa la Palestina

    Abdollahian asisitiza msimamo wa Iran wa kuliunga mkono taifa la Palestina

    Dec 20, 2021 01:16

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran itaendelea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina hadi pale mji mtakatifu wa Quds utakapombolewa na kuondoka katika makucha ya Wazayuni maghasibu.

  • Umoja wa Mataifa waipongeza Iran kwa kuwapa huduma wakimbizi

    Umoja wa Mataifa waipongeza Iran kwa kuwapa huduma wakimbizi

    Dec 20, 2021 01:12

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNCHR) ameipongeza Iran kwa ukarimu wake mkubwa katika kuwapa huduma wakimbizi hasa wale waliodhulumiwa kutoka nchi jirani ya Afghanistan.

  • Momeni :Iran inashika rekodi ya dunia ya kukamata dawa za kulevya

    Momeni :Iran inashika rekodi ya dunia ya kukamata dawa za kulevya

    Dec 19, 2021 04:48

    Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Mihadarati nchini Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inashika rekodi ya dunia ya kukamata dawa za kulevya.

  • Iran yakosoa azimio la haki za binadamu lililoungwa mkono na Canada

    Iran yakosoa azimio la haki za binadamu lililoungwa mkono na Canada

    Dec 18, 2021 09:39

    Afisa wa ngazi za juu wa Idara ya Mahakama ya Iran amekosoa azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambalo lilipitishwa hivi karibuni kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran na kusema, azimio hilo ambalo limeungwa mkono na Canada, ni la kisiasa, na halijazingatia uhalisia wa mambo.

  • Abdollahian: Utawala bandia wa Israel ni kiini na chimbuko la matatizo ya Asia Magharibi

    Abdollahian: Utawala bandia wa Israel ni kiini na chimbuko la matatizo ya Asia Magharibi

    Dec 15, 2021 10:27

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, utawala bandia wa Kizayuni wa Israe ni kiini na matatizo ya eneo la Asia magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS