Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mahojiano na Balozi Joshua I Gatimu wa Kenya mjini Tehran + Sauti

    Mahojiano na Balozi Joshua I Gatimu wa Kenya mjini Tehran + Sauti

    Dec 13, 2021 13:20

    Jumapili ya jana ya Disemba 12, 2021, Wakenya waliadhimisha siku ambayo taifa hilo lilipata uhuru wake kutoka kwa mkoloni Muingereza.

  • Russia: Iran ni kati ya nchi nne bora duniani katika uzalishaji makombora

    Russia: Iran ni kati ya nchi nne bora duniani katika uzalishaji makombora

    Dec 12, 2021 04:42

    Naibu Mkuu wa Akademia ya Makombora Russia amesema katika uga wa kijeshi Iran ni miongoni mwa nchi zilizoendelea na katika uundaji wa mifumo ya makombora Iran na ni miongoni mwa nchi nne bora duniani.

  • Ijumaa tarehe 10 Disemba 2021

    Ijumaa tarehe 10 Disemba 2021

    Dec 10, 2021 01:11

    Leo ni Ijumaa tarehe 5 Jamadil Awwal 1443 Hijria sawa na Disemba 10 mwaka 2021.

  • Iran yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya mahakama ya ICC

    Iran yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya mahakama ya ICC

    Dec 09, 2021 01:11

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Raisi: Uhusiano wa Iran na Uturuki utaingia katika marhala mpya

    Raisi: Uhusiano wa Iran na Uturuki utaingia katika marhala mpya

    Dec 09, 2021 01:00

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria umuhimu wa uhusiano wa kiuchumi na kibiashara wa Tehran na Ankara na kusema kuwa, kustawi kwa ushirikiano wa pande mbili kutaingia katika hatua mpya karibuni hivi, kwa kufanyika kongamano hapa Tehran.

  • New York Post: Biden ni dhaifu, hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran

    New York Post: Biden ni dhaifu, hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran

    Dec 08, 2021 10:56

    Gazeti la Marekani la New York Post limemtaja rais wa sasa wa nchi hiyo kuwa ni dhaifu na mwenye kutetereka na kwamba hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • Mkuu wa CIA akiri kuwa mpango wa nyuklia wa Iran hauna malengo ya kijeshi

    Mkuu wa CIA akiri kuwa mpango wa nyuklia wa Iran hauna malengo ya kijeshi

    Dec 07, 2021 23:26

    Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA amekiri kuwa mpango wa nyuklia wa Iran hauna malengo ya kijeshi.

  • Shamkhani: Marekani inataka kulifufua kundi la ISIS

    Shamkhani: Marekani inataka kulifufua kundi la ISIS

    Dec 07, 2021 10:43

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Marekani ilighadhabishwa mno na kitendo cha kusambaratika kwa kundi la kigaidi la ISIS katika nchi za Syria na Iraq, na hivi sasa linafanya juu chini kulifufua genge hilo ili kuzusha mgogoro mpya katika eneo.

  • Raisi: Iran inaunga mkono usalama wa nchi za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi

    Raisi: Iran inaunga mkono usalama wa nchi za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi

    Dec 06, 2021 23:23

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa usalama wa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi unafungamana na kwamba Iran inaunga mkono usalama wa nchi za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi.

  •  Shamkhani: Usalama na uthabiti wa Asia Magharibi utapatikana kwa kuweko ushirikiano wa kikanda

    Shamkhani: Usalama na uthabiti wa Asia Magharibi utapatikana kwa kuweko ushirikiano wa kikanda

    Dec 06, 2021 09:35

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa kuweko ushirikiano wa mataifa ya Asia Magharibi ni jambo la dharura na la lazima kwa ajili ya kupatikana amani na usalama wa eneo hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS