-
Mahojiano na Balozi Joshua I Gatimu wa Kenya mjini Tehran + Sauti
Dec 13, 2021 13:20Jumapili ya jana ya Disemba 12, 2021, Wakenya waliadhimisha siku ambayo taifa hilo lilipata uhuru wake kutoka kwa mkoloni Muingereza.
-
Russia: Iran ni kati ya nchi nne bora duniani katika uzalishaji makombora
Dec 12, 2021 04:42Naibu Mkuu wa Akademia ya Makombora Russia amesema katika uga wa kijeshi Iran ni miongoni mwa nchi zilizoendelea na katika uundaji wa mifumo ya makombora Iran na ni miongoni mwa nchi nne bora duniani.
-
Ijumaa tarehe 10 Disemba 2021
Dec 10, 2021 01:11Leo ni Ijumaa tarehe 5 Jamadil Awwal 1443 Hijria sawa na Disemba 10 mwaka 2021.
-
Iran yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya mahakama ya ICC
Dec 09, 2021 01:11Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Raisi: Uhusiano wa Iran na Uturuki utaingia katika marhala mpya
Dec 09, 2021 01:00Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria umuhimu wa uhusiano wa kiuchumi na kibiashara wa Tehran na Ankara na kusema kuwa, kustawi kwa ushirikiano wa pande mbili kutaingia katika hatua mpya karibuni hivi, kwa kufanyika kongamano hapa Tehran.
-
New York Post: Biden ni dhaifu, hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran
Dec 08, 2021 10:56Gazeti la Marekani la New York Post limemtaja rais wa sasa wa nchi hiyo kuwa ni dhaifu na mwenye kutetereka na kwamba hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran katika maeneo mbalimbali ya dunia.
-
Mkuu wa CIA akiri kuwa mpango wa nyuklia wa Iran hauna malengo ya kijeshi
Dec 07, 2021 23:26Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA amekiri kuwa mpango wa nyuklia wa Iran hauna malengo ya kijeshi.
-
Shamkhani: Marekani inataka kulifufua kundi la ISIS
Dec 07, 2021 10:43Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Marekani ilighadhabishwa mno na kitendo cha kusambaratika kwa kundi la kigaidi la ISIS katika nchi za Syria na Iraq, na hivi sasa linafanya juu chini kulifufua genge hilo ili kuzusha mgogoro mpya katika eneo.
-
Raisi: Iran inaunga mkono usalama wa nchi za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi
Dec 06, 2021 23:23Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa usalama wa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi unafungamana na kwamba Iran inaunga mkono usalama wa nchi za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi.
-
Shamkhani: Usalama na uthabiti wa Asia Magharibi utapatikana kwa kuweko ushirikiano wa kikanda
Dec 06, 2021 09:35Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa kuweko ushirikiano wa mataifa ya Asia Magharibi ni jambo la dharura na la lazima kwa ajili ya kupatikana amani na usalama wa eneo hili.