Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Spoti, Agosti 30

    Spoti, Agosti 30

    Sep 06, 2021 01:39

    Hujambo mpenzi msikilizaji na haswa mfuatiliaji wa masuala ya spoti natumai huna neno. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia....

  • Qalibaf: Kuondoka kwa madhila Afghanistan, dalili ya kusambaratika US

    Qalibaf: Kuondoka kwa madhila Afghanistan, dalili ya kusambaratika US

    Sep 05, 2021 22:34

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema hatua ya Marekani kuondoka kwa fedheha na madhila nchini Afghanistan imeonesha wazi kuwa Washington iko katika mkondo wa kusambaratika na kupoteza nguvu na ushawishi wake katika uga wa kimataifa.

  • Shahram: Iran iko mstari wa mbele kustawisha amani, urafiki kimataifa

    Shahram: Iran iko mstari wa mbele kustawisha amani, urafiki kimataifa

    Sep 04, 2021 22:15

    Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Admeri Shahram Irani anasema Jamhuri ya Kiislamu iko mstari wa mbele katika kampeni ya kuanzisha na kukuza amani na urafiki wa kimataifa.

  • Amir-Abdollahian: Iran iko tayari kuiuzia Lebanon mafuta zaidi

    Amir-Abdollahian: Iran iko tayari kuiuzia Lebanon mafuta zaidi

    Sep 03, 2021 21:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuendelea kuiuzia serikali na wafanyabiashara wa Lebanon mafuta.

  • Putin alaani vikwazo vya Wamagharibi katika kivuli cha janga la Corona Iran

    Putin alaani vikwazo vya Wamagharibi katika kivuli cha janga la Corona Iran

    Sep 03, 2021 21:55

    Rais wa Russia amesema Iran inahitaji usaidizi katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID-19, lakini nchi za Magharibi zimekataa katakata kuiondolea vikwazo na vizuizi Jamhuri ya Kiislamu.

  • Mtazamo wa  serikali mpya ya Iran kuhusu kuhuishwa mazungumzo ya nyuklia

    Mtazamo wa serikali mpya ya Iran kuhusu kuhuishwa mazungumzo ya nyuklia

    Sep 03, 2021 21:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na mawaziri wa mambo ya nje wa Ujerumani, Ufaransa na Austria kuhusu sera za kigeni zenye mlingano, kuratibu uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ershadi: Iran ni mhanga mkubwa wa silaha za kemikali duniani

    Ershadi: Iran ni mhanga mkubwa wa silaha za kemikali duniani

    Sep 03, 2021 02:05

    Naibu mwakilishi wa kudumu wa Iran katika umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mhanga mkubwa wa silaha za kemikali inatoa wito wa kutekelezwa kikamilifu, kwa njia athirifu na bila ya ubaguzi mkataba wa kuzuia silaha za kemikali.

  • "Kushirikiana na majirani, kipaumbele cha serikali mpya ya Iran"

    Sep 01, 2021 03:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itashirikiana na majirani zake ili kufikia upeo wa juu wa ushirikiano wa kieneo.

  • Guterres: UN iko tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Guterres: UN iko tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Aug 31, 2021 09:02

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtumia ujumbe Rais wa Iran na kusema kuwa, taasisi hiyo ya kimataifa iko tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran yaionya Marekani; Msithubutu kuzuia meli zetu za mafuta zinazoelekea Lebanon

    Iran yaionya Marekani; Msithubutu kuzuia meli zetu za mafuta zinazoelekea Lebanon

    Aug 30, 2021 07:01

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haina haki wala mamlaka ya kuzuia biashara halali baina ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi nyinginezo duniani huku akiionya vikali Washington dhidi ya kuzuia meli za mafuta za nchi hii zinazoelekea Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS