-
Spoti, Agosti 30
Sep 06, 2021 01:39Hujambo mpenzi msikilizaji na haswa mfuatiliaji wa masuala ya spoti natumai huna neno. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia....
-
Qalibaf: Kuondoka kwa madhila Afghanistan, dalili ya kusambaratika US
Sep 05, 2021 22:34Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema hatua ya Marekani kuondoka kwa fedheha na madhila nchini Afghanistan imeonesha wazi kuwa Washington iko katika mkondo wa kusambaratika na kupoteza nguvu na ushawishi wake katika uga wa kimataifa.
-
Shahram: Iran iko mstari wa mbele kustawisha amani, urafiki kimataifa
Sep 04, 2021 22:15Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Admeri Shahram Irani anasema Jamhuri ya Kiislamu iko mstari wa mbele katika kampeni ya kuanzisha na kukuza amani na urafiki wa kimataifa.
-
Amir-Abdollahian: Iran iko tayari kuiuzia Lebanon mafuta zaidi
Sep 03, 2021 21:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuendelea kuiuzia serikali na wafanyabiashara wa Lebanon mafuta.
-
Putin alaani vikwazo vya Wamagharibi katika kivuli cha janga la Corona Iran
Sep 03, 2021 21:55Rais wa Russia amesema Iran inahitaji usaidizi katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID-19, lakini nchi za Magharibi zimekataa katakata kuiondolea vikwazo na vizuizi Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mtazamo wa serikali mpya ya Iran kuhusu kuhuishwa mazungumzo ya nyuklia
Sep 03, 2021 21:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na mawaziri wa mambo ya nje wa Ujerumani, Ufaransa na Austria kuhusu sera za kigeni zenye mlingano, kuratibu uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Ershadi: Iran ni mhanga mkubwa wa silaha za kemikali duniani
Sep 03, 2021 02:05Naibu mwakilishi wa kudumu wa Iran katika umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mhanga mkubwa wa silaha za kemikali inatoa wito wa kutekelezwa kikamilifu, kwa njia athirifu na bila ya ubaguzi mkataba wa kuzuia silaha za kemikali.
-
"Kushirikiana na majirani, kipaumbele cha serikali mpya ya Iran"
Sep 01, 2021 03:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itashirikiana na majirani zake ili kufikia upeo wa juu wa ushirikiano wa kieneo.
-
Guterres: UN iko tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Aug 31, 2021 09:02Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtumia ujumbe Rais wa Iran na kusema kuwa, taasisi hiyo ya kimataifa iko tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yaionya Marekani; Msithubutu kuzuia meli zetu za mafuta zinazoelekea Lebanon
Aug 30, 2021 07:01Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haina haki wala mamlaka ya kuzuia biashara halali baina ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi nyinginezo duniani huku akiionya vikali Washington dhidi ya kuzuia meli za mafuta za nchi hii zinazoelekea Lebanon.