-
Mdahalo wa tatu wa urais wa Iran, wagombea waeleza mipango yao na kukosoa mitazamo na utendajikazi
Jun 13, 2021 10:39Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa uchaguzi wa rais wa awamu ya 13 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ulifanyika Jumamosi alasiri.
-
Iran: Marekani inalia machozi ya mamba, haijaachana na sera za Trump
Jun 12, 2021 08:36Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesema ni kinaya kuiona Marekani inalia machozi ya mamba katika hali ambayo Washington inaendeleza jitihada zake za kuwataabisha na kuwahangaisha kwa njaa na umaskini Wairani milioni 82.
-
Hatua mpya za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Jun 11, 2021 08:25Wizara ya Biashara ya Marekani Alkhamisi ya jana iliwaweka watu na mashirika kadhaa katika orodha yake ya vikwazo kwa kisingizio cha nafasi yao katika kudhamini fedha kwa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) na harakati ya wapiganaji wa kujitolea ya Ansarullah nchini Yemen.
-
Uchaguzi wa Rais wa Iran kufanyika London, miji mingine 6 ya Uingereza
Jun 11, 2021 03:29Ubalozi wa Iran nchini Uingereza umesema wananchi wa Iran walioko katika nchi hiyo ya bara Ulaya watakuwa na fursa ya kupiga kura katika uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu katika mji mkuu London, na miji mingine sita mikubwa ya nchi hiyo.
-
Pentagon yaingiwa na kiwewe baada ya manowari za Iran kuwasili Atlantic
Jun 10, 2021 22:22Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imeingiwa na kiwewe na wahaka mkubwa baada ya msafara wa meli za kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwasili katika Bahari ya Atlantic pasi na kupitia katika bandari za nchi nyingine kwa mara ya kwanza katika historia.
-
Rouhani: Iran inaunda vituo 2 vya nishati ya nyuklia kwa ushirikiano na Russia
Jun 10, 2021 08:21Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imeanza ujenzi wa vinu viwili vipya vya nishati ya nyuklia kwa ushirikiano na Russia.
-
Mdahalo wa Pili wa Urais nchini Iran unafanyika leo
Jun 08, 2021 03:39Mdahalo wa pili wa wagombea wa urais nchini Iran unafanyika alasiri ya leo mwendo wa saa kumi na moja kwa saa za hapa nchini, kupitia televisheni na radio za taifa.
-
Iran yaonya dhidi ya misimamo hasi ya wakala wa IAEA
Jun 07, 2021 23:09Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika asasi za kimataifa zenye makao yao mjini Vienna Austria ametahadharisha kuhusu misimamo hasi na ya uhasama ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya Tehran.
-
Siri ya kubakia hai Jamhuri ya Kiislamu katika mtazamo wa Kiongozi Muadhamuu
Jun 05, 2021 03:42Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa ubunifu mkubwa zaidi ya hayati Imam Ruhullah Khomeini ni Jamhuri ya Kiislamu, kwa maana ya demokrasia ya kidini ambayo imetambulika rasmi kwa anwani ya Jamhuri ya Kiislamu na kwa anwani ya mfumo wa utawala uliojengeka kwa fikra za taifa la Iran na uongozi wa Imam Khomeini.
-
Balozi wa Syria: Mapinduzi ya Kiislamu Iran yalikuwa tukio muhimu duniani
Jun 04, 2021 03:38Balozi wa Syria nchini mjini Tehran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa nchi yenye nafasi muhimu zaidi katika eneo la Magharibi mwa Asia na pia katika sera za kimataifa na inahusika katika kuibua mfumo mpya ya kimataifa.