Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mjumbe Maalumu wa UN nchini Yemen afanya mazungumzo na mshauri wa Zarif

    Mjumbe Maalumu wa UN nchini Yemen afanya mazungumzo na mshauri wa Zarif

    Feb 08, 2021 04:33

    Mjumbe Malumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amefanya mazungumzo na mshauri maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambapo wamejadili matukio ya hivi karibuni ya Yemen.

  • Afrika Kusini yapiga marufuku chanjo ya corona kutoka Uingereza

    Afrika Kusini yapiga marufuku chanjo ya corona kutoka Uingereza

    Feb 08, 2021 04:21

    Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kusitisha mipango ya kuanza utoaji chanjo ya corona au COVID-19 kutoka Uingereza ya AstraZeneca na Oxford baada ya utafiti kubaini kuwa chanjo hiyo haiwezi kukabiliana na aina mpya ya corona iliyopatikana nchini humo.

  • Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia

    Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia

    Feb 07, 2021 04:10

    Afisa Mkuu Mtendaji wa Shirika la Kuzalisha Matrekta la Iran amesema nchi hii imeanza kuuza kwa wingi tingatinga katika nchi za Afrika, Asia na Amerika ya Latini.

  • Iran itatoa jibu kali kwa tishio na uchokozi wowote wa Israel

    Iran itatoa jibu kali kwa tishio na uchokozi wowote wa Israel

    Feb 07, 2021 03:55

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametahadharisha juu ya matamshi ya kichokozi na ya kupiga ngoma ya vita ya maafisa wa utawala haramu wa Israel na kusema kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa tishio lolote la Wazayuni dhidi yake.

  • Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu

    Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu

    Feb 05, 2021 09:00

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Marekani inaendelea kukanyaga azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la umoja huo kwa kuliwekea taifa hili vikwazo kinyume cha sheria.

  • Meja Jenerali Salami: Adui hawezi kuvumilia kuona Iran inastawi

    Meja Jenerali Salami: Adui hawezi kuvumilia kuona Iran inastawi

    Feb 04, 2021 23:23

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanahamaki na kushindwa kuvumilia hatua za maendeleo na ustawi zinazopigwa na taifa hili.

  • Shehena ya kwanza ya chanjo ya Covid-19 ya Russia yawasili Iran

    Shehena ya kwanza ya chanjo ya Covid-19 ya Russia yawasili Iran

    Feb 04, 2021 10:45

    Shehena ya kwanza ya chanjo ya kukabiliana na virusi vya corona ya Sputnik V ya Russia imewasili hapa nchini Iran leo Alkhamisi.

  • Rais Rouhani: Kwa mara nyingine tena, Iran imeipiga mweleka Marekani

    Rais Rouhani: Kwa mara nyingine tena, Iran imeipiga mweleka Marekani

    Feb 04, 2021 09:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kukataa pingamizi la Marekani kuhusu mashataka ya Tehran dhidi yake, ni ushindi mwingine kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ustawi wa Kisayansi wa Iran katika uga wa anga za mbali; jibu erevu kwa vikwazo vya Marekani

    Ustawi wa Kisayansi wa Iran katika uga wa anga za mbali; jibu erevu kwa vikwazo vya Marekani

    Feb 03, 2021 23:13

    Siku ya Jumatatu, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilirusha kwa mafanikio katika anga za mbali kombora la kubeba sataliti ambalo limepewa jina la Zuljanah.

  • Rais Rouhani: Iran itaanza kutoa chanjo ya corona baada ya wiki mbili

    Rais Rouhani: Iran itaanza kutoa chanjo ya corona baada ya wiki mbili

    Feb 02, 2021 09:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema chanjo ya corona au COVID-19 nchini itaanza kutolewa baada ya wiki tatu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS