Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Amir Abdolahian: Iran itaendelea kuunga mkono usalama wa Iraq kwa nguvu zake zote

    Amir Abdolahian: Iran itaendelea kuunga mkono usalama wa Iraq kwa nguvu zake zote

    Feb 01, 2021 04:43

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran inauhesabu usalama wa jirani yake Iraq kuwa ni sawa na usalama wake, hivyo itatumia nguvu zake zote kuunga mkono usalama wa nchi hiyo.

  • Kuchaguliwa Robert Malley kama mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran na kelele zisizo na maana zilizofuata

    Kuchaguliwa Robert Malley kama mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran na kelele zisizo na maana zilizofuata

    Jan 31, 2021 06:41

    Baada ya kuingia madarakani serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani na kutangazwa msimamo wake kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran ambayo ni maarufu kama JCPOA, ilikuwa inatarajiwa kuwa kungekuwa na mabadiliko maalumu katika uga huu.

  • Iran yajibu bwabwaja za Ufaransa juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran yajibu bwabwaja za Ufaransa juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 30, 2021 23:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema silaha za Ufaransa na nchi nyingine za Magharibi ndilo chimbuko kuu la ukosefu wa uthabiti katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Iran: Ni Marekani ndiyo yenye wajibu wa kurudi kwenye JCPOA

    Iran: Ni Marekani ndiyo yenye wajibu wa kurudi kwenye JCPOA

    Jan 29, 2021 09:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, hivi sasa ni Marekani ndiyo yenye wajibu wa kurejea kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kutekeleza ahadi na majukumu yake.

  • Iran na Kenya zasisitiza kupanuliwa ushirikiano kati ya mashirika ya teknolojia ya nchi mbili

    Iran na Kenya zasisitiza kupanuliwa ushirikiano kati ya mashirika ya teknolojia ya nchi mbili

    Jan 29, 2021 09:41

    Makamu wa Rais wa Iran anayeshughulikia masuala ya sayansi na teknolojia, Dakta Sorena Sattari amesisitiza kupanuliwa ushirikiano wa kiteknolojia kati ya mashirika ya Iran na Kenya.

  • Qatar yaishukuru Iran; sisitizo la nafasi chanya ya Iran katika kuleta uthabiti na amani katika eneo

    Qatar yaishukuru Iran; sisitizo la nafasi chanya ya Iran katika kuleta uthabiti na amani katika eneo

    Jan 29, 2021 06:03

    Huku akisisitiza kuwa uhusiano wa Qatar na nchi mbili za Iran na Uturuki ni mzuri sana, Lolwah al Khater, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amezishukuru nchi hizo kwa kuwa pembeni ya taifa hilo wakati ilipokuwa chini ya mgogoro mkubwa wa kuzingirwa na majirani zake.

  • Iran yasema huenda ikapunguza kiwango cha ushirikiano wake na IAEA

    Iran yasema huenda ikapunguza kiwango cha ushirikiano wake na IAEA

    Jan 28, 2021 23:22

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao Vienna amesema yumkini Tehran itatazama upya kiwango cha ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.

  • Kujitakia makuu serikali ya Biden kuhusu Iran na mapatano ya JCPOA

    Kujitakia makuu serikali ya Biden kuhusu Iran na mapatano ya JCPOA

    Jan 28, 2021 07:23

    Maafisa wa serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani ambao huko nyuma walikuwa wakitoa matamshi kinyume na msimamo wa serikali ya wakati huo ya nchi hiyo, hivi sasa wanaonyesha kuwa na mitazamo sawa, bali hata kutumia lugha ile ile ya serikali ya Donald Trump kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran yazindua 'Jumba la Ubunifu na Teknolojia' Nairobi, Kenya

    Iran yazindua 'Jumba la Ubunifu na Teknolojia' Nairobi, Kenya

    Jan 28, 2021 00:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuzinduliwa Kituo cha Ubunifu na Teknolojia cha Iran (IHIT) katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kumefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi baina ya Iran na Kenya na hata nchi nyingine za kanda ya Afrika Mashariki.

  • Vaezi: Israel haina nguvu za kijeshi za kutoa pigo kwa Iran

    Vaezi: Israel haina nguvu za kijeshi za kutoa pigo kwa Iran

    Jan 28, 2021 00:47

    Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mpango, uwezo, nguvu wala mkakati wa kulishambulia kijeshi taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS