Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yakanusha madai ya kuzungumza na timu ya Joe Biden

    Iran yakanusha madai ya kuzungumza na timu ya Joe Biden

    Nov 20, 2020 23:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la New York Times la Marekani kwamba Tehran imewasiliana na timu ya Rais mteule wa nchi hiyo, Joe Biden.

  • Vikwazo vipya na kuendelea mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran

    Vikwazo vipya na kuendelea mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran

    Nov 19, 2020 08:46

    Katika hali ambayo imebakia miezi miwili tu hadi kukata roho serikali ya Donald Trump huko Marekani, lakini rahisi huyo mwenye chuki za kidini ameendelea kuwawekea vikwazo wananchi wa Iran katika muendelezo wa vikwazo vyake vya kiwango cha juu dhidi ya taifa hili la Kiislamu huku kukiwa na taarifa kwamba amekusudia kutangaza vikwazo vipya kila wiki dhidi ya Tehran.

  • Rouhani: Utawala wa sasa wa Marekani ni wa kijinai na kigaidi

    Rouhani: Utawala wa sasa wa Marekani ni wa kijinai na kigaidi

    Nov 18, 2020 08:31

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kuhusu mienendo haribifu na ugaidi wa kiuchumi wa Washington na kusema kuwa, utawala ulioko madarakani hivi sasa nchini Marekani ni mtenda jinai na dola la kigaidi.

  • Mambo yasiyo na uwazi katika mpango wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Karabakh

    Mambo yasiyo na uwazi katika mpango wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Karabakh

    Nov 16, 2020 06:49

    Mambo ya kutiliwa shaka na yasiyofahamika vizuri katika mkataba wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Azerbaijan na Armenia juu ya eneo la Nagorno Karabakh, yamenyamaziwa kimya na viongozi wa Azerbaijan na Uturuki.

  • Ulimwengu wa Spoti, Nov 16

    Ulimwengu wa Spoti, Nov 16

    Nov 16, 2020 04:57

    Hujambo mpenzi mwanaspoti wa na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.

  • Meja Jenerali Salami: Tutalipiza kisasi cha damu ya kamanda Suleimani kwa waliomuua

    Meja Jenerali Salami: Tutalipiza kisasi cha damu ya kamanda Suleimani kwa waliomuua

    Nov 16, 2020 04:29

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza tena akisema: "Tutalipiza kisasi cha damu ya kamanda shahidi Qassim Suleimani kwa waliomuua."

  • Rouhani: Bajeti ijayo ya Iran haitategemea mapato ya mafuta

    Rouhani: Bajeti ijayo ya Iran haitategemea mapato ya mafuta

    Nov 15, 2020 09:30

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema muswada wa bajeti ya mwaka ujao wa kifedha wa Iran unapania kufuta kikamilifu utegemezi wa mapato ya mauzo ya mafuta.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iraq aonana na Brigedia Jenerali Baqeri

    Waziri wa Ulinzi wa Iraq aonana na Brigedia Jenerali Baqeri

    Nov 15, 2020 04:35

    Waziri wa Ulinzi wa Iraq ambaye yuko ziarani hapa nchini Iran ameonana na kuzungumza na Mkuu wa Komandi Kuu ya Vikozi vya Ulinzi vya Iran.

  • Jumapili tarehe 15 Novemba 2020

    Jumapili tarehe 15 Novemba 2020

    Nov 14, 2020 23:02

    Leo ni tarehe 29 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na Novemba 15 mwaka 2020.

  • Iran yapuuzilia mbali madai ya kuuawa kinara wa al-Qaeda hapa nchini

    Iran yapuuzilia mbali madai ya kuuawa kinara wa al-Qaeda hapa nchini

    Nov 14, 2020 04:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu Iran amekanusha vikali habari za kipropaganda zinazodai kuwa kiongozi wa ngazi za juu wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda ameuawa hapa nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS