-
Iran yaadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Palestina
Sep 30, 2020 09:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumatano ya Septemba 30 (tarehe 9 Mehr kwa mujibu wa kalenda ya Kiirani ya Hijria Shamsia), imeadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Kipalestina.
-
Iran yatuma salamu za rambi rambi baada ya kuaga dunia Amir wa Kuwait
Sep 30, 2020 04:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia Sheikh Swabah al-Ahmad Jabir as-Swabah, Amir wa Kuwait.
-
Uwezo wa jeshi la majini la Iran, udharura wa kijilinda na kukabiliana na adui
Sep 28, 2020 21:58Uwezo wa jeshi la majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika pwani ndefu ya kaskazini na kusini mwa nchi una umuhimu mkubwa katika ngazi ya kikanda na kimataifa.
-
Iran yakadhibisha madai ya kufanya mazungumzo na Marekani nchini Oman
Sep 28, 2020 08:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha vikali taarifa zinazodai kuwa Jamhuri ya Kiislamu imefanya mazungumzo na Marekani huko nchini Oman.
-
Iran yaitaka Armenia na Azerbaijan zisitishe mapigano, makumi wauawa
Sep 28, 2020 08:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Armenia na Azerbaijan zijizuie na zisitishe mapigano yanayoshuhudiwa katika mpaka wa nchi mbili hizo tokea jana Jumapili.
-
Ulimwengu wa Michezo, Septemba 28
Sep 28, 2020 04:55Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa....
-
"Shambulizi la Marekani dhidi ya mashujaa wa kukabiliana na ugaidi ni tusi kwa Iraq"
Sep 27, 2020 04:33Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema shambulizi la jeshi la Marekani lililoua shahidi mashujaa wa kupambana na ugaidi katika eneo la Asia Magharibi mapema mwaka huu ni tusi kwa mamlaka ya kujitawala Iraq.
-
Kurejea kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA, hatua ya kwanza inayopasa kuchukuliwa na Marekani
Sep 27, 2020 00:38Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akiyataja mapatano ya nyuklia ya JCPOA kuwa ndiyo mapatano mabaya zaidi kwa nchi yake na hatimaye mwezi Mei mwaka 2018 aliiondoa nchi hiyo kwenye mapatano hayo na kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vikali. Hivi sasa Joe Biden mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Democratic huko Marekani amesema iwapo atashinda uchaguzi huo wa mwezi Novemba mwaka huu atairejesha Marekani katika mapatano hayo ya JCPOA.
-
Taarifa ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; mwendelezo wa misimamo ya kindumakuwili kuhusu haki za binadamu
Sep 26, 2020 06:50Nchi za Magharibi zimekariri tena madai yao ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Iran wakati idadi kubwa ya nchi hizo, kama Ufaransa na Uingereza, zimewekwa kwenye orodha ya wakiukaji wa haki hizo za binadamu.
-
Sisitizo la maseneta wa Marekani, vikwazo vya Trump kwa Iran vimeshindwa
Sep 26, 2020 02:25Serikali ya Donald Trump nchini Marekani na hatua yake ya kujitoa kijeuri katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA hapo mwezi Mei 2018 kama sehemu ya siasa zake za kuiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha ambavyo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijawahi kuwekewa mfano wake katika historia yake yote, imezidi kufeli kiasi kwamba sasa maseneta wa chama cha Democrats wanamshutumu na kumlaumu vikali Trump kwa siasa zake mbovu.