Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zaidi ya wagonjwa 3,000 wapya wa corona wagunduliwa nchini Iran

    Zaidi ya wagonjwa 3,000 wapya wa corona wagunduliwa nchini Iran

    Sep 25, 2020 07:45

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran ametangaza kuwa, zaidi ya wagonjwa wapya elfu tatu (3,000) wa COVID-19 wamegunduliwa humu nchini katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.

  • Ukurasa mpya wa ushirikiano wa kibiashara kati ya Iran na Afghanistan

    Ukurasa mpya wa ushirikiano wa kibiashara kati ya Iran na Afghanistan

    Sep 25, 2020 03:06

    Ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afghanistan upo katika mkondo wa kupiga hatua na katika uwanja huo, na kwa mara ya kwanza kumefanyika maonyesho ya kitaalamu ya Iran kwa muda wa siku tatu katika mji mkuu wa Afghanistan Kabul.

  • Hotuba ya Mfalme Salman katika Baraza Kuu la UN; hasira na chuki mkabala wa uwezo mkubwa wa Iran

    Hotuba ya Mfalme Salman katika Baraza Kuu la UN; hasira na chuki mkabala wa uwezo mkubwa wa Iran

    Sep 24, 2020 23:06

    Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz Al Saud amekariri madai yake yasiyo msingi dhidi ya Iran katika hotuba yake kwenye kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

  • Rais wa Ghana: Nitafanya jitihada za kuimarisha uhusiano wetu na Iran

    Rais wa Ghana: Nitafanya jitihada za kuimarisha uhusiano wetu na Iran

    Sep 24, 2020 04:22

    Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana amesema atafanya juu chini kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Uganda ina hamu ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi, sayansi na Iran

    Uganda ina hamu ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi, sayansi na Iran

    Sep 24, 2020 03:42

    Spika wa Bunge la Uganda, Rebecca Kadaga amepongeza uhusiano wa kidugu uliopo baina ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, kuna umuhimu wa kuimarishwa zaidi uhusiano huo katika nyuga za uchumi, sayansi na teknolojia baina ya Kampala ya Tehran.

  • Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati

    Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati

    Sep 23, 2020 23:13

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria zimetilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wao katika nyuga mbalimbali hasa za nishati kwa kadiri inavyowezekana.

  • Kamanda Fadavi: Marekani haitoweza kuunda muungano dhidi ya Iran

    Kamanda Fadavi: Marekani haitoweza kuunda muungano dhidi ya Iran

    Sep 23, 2020 23:12

    Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, njama za Marekani za kuunda muungano ulio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zitashindwa tu.

  • Alkhamisi, tarehe 24 Septemba, 2020

    Alkhamisi, tarehe 24 Septemba, 2020

    Sep 23, 2020 23:10

    Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Safar 1442 Hijria sawa na Septemba 24 mwaka 2020.

  • Balozi wa Iran UN: Vikwazo vya Marekani ni jinai dhidi ya binadamu

    Balozi wa Iran UN: Vikwazo vya Marekani ni jinai dhidi ya binadamu

    Sep 23, 2020 03:49

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa iliyoko mjini Geneva Uswisi amesema vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran ni jinai dhidi ya binadamu.

  • Russia kuendelea kushirikiana kijeshi na Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Russia kuendelea kushirikiana kijeshi na Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Sep 22, 2020 22:04

    Seneta mmoja wa Russia amesema nchi hiyo itaendelea kuwa na ushirikiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa kijeshi licha ya uhasama, vikwazo na mashinikizo ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS