-
Zaidi ya wagonjwa 3,000 wapya wa corona wagunduliwa nchini Iran
Sep 25, 2020 07:45Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran ametangaza kuwa, zaidi ya wagonjwa wapya elfu tatu (3,000) wa COVID-19 wamegunduliwa humu nchini katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.
-
Ukurasa mpya wa ushirikiano wa kibiashara kati ya Iran na Afghanistan
Sep 25, 2020 03:06Ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afghanistan upo katika mkondo wa kupiga hatua na katika uwanja huo, na kwa mara ya kwanza kumefanyika maonyesho ya kitaalamu ya Iran kwa muda wa siku tatu katika mji mkuu wa Afghanistan Kabul.
-
Hotuba ya Mfalme Salman katika Baraza Kuu la UN; hasira na chuki mkabala wa uwezo mkubwa wa Iran
Sep 24, 2020 23:06Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz Al Saud amekariri madai yake yasiyo msingi dhidi ya Iran katika hotuba yake kwenye kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Rais wa Ghana: Nitafanya jitihada za kuimarisha uhusiano wetu na Iran
Sep 24, 2020 04:22Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana amesema atafanya juu chini kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Uganda ina hamu ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi, sayansi na Iran
Sep 24, 2020 03:42Spika wa Bunge la Uganda, Rebecca Kadaga amepongeza uhusiano wa kidugu uliopo baina ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, kuna umuhimu wa kuimarishwa zaidi uhusiano huo katika nyuga za uchumi, sayansi na teknolojia baina ya Kampala ya Tehran.
-
Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati
Sep 23, 2020 23:13Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria zimetilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wao katika nyuga mbalimbali hasa za nishati kwa kadiri inavyowezekana.
-
Kamanda Fadavi: Marekani haitoweza kuunda muungano dhidi ya Iran
Sep 23, 2020 23:12Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, njama za Marekani za kuunda muungano ulio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zitashindwa tu.
-
Alkhamisi, tarehe 24 Septemba, 2020
Sep 23, 2020 23:10Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Safar 1442 Hijria sawa na Septemba 24 mwaka 2020.
-
Balozi wa Iran UN: Vikwazo vya Marekani ni jinai dhidi ya binadamu
Sep 23, 2020 03:49Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa iliyoko mjini Geneva Uswisi amesema vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran ni jinai dhidi ya binadamu.
-
Russia kuendelea kushirikiana kijeshi na Iran licha ya vikwazo vya Marekani
Sep 22, 2020 22:04Seneta mmoja wa Russia amesema nchi hiyo itaendelea kuwa na ushirikiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa kijeshi licha ya uhasama, vikwazo na mashinikizo ya Marekani.