Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumanne, tarehe 19 Mei, 2020

    Jumanne, tarehe 19 Mei, 2020

    May 18, 2020 21:51

    Leo ni Jumanne tarehe 25 Ramadhan mwaka 1441 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 19 Mei mwaka 2020 Miladia.

  • Kamati ya Bunge la Iran yaidhinisha muswada dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Kamati ya Bunge la Iran yaidhinisha muswada dhidi ya utawala wa Kizayuni

    May 18, 2020 05:30

    Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiisalmu (Bunge la Iran) imeidhinisha muswada wa namna ambavyo Iran itakabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika upeo wa kitaifa na kimataifa.

  • Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    May 17, 2020 02:17

    Baada ya serikali ya Rais Donald Trump kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2018 katika fremu ya sera za mashinikizo ya juu kabisa na kisha kushadidisha vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na licha ya kuibuka ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran, lakini bado Trump anasisitiza kuendeleza vikwazo vyake vilivyo dhidi ya ubinadamu dhidi ya taifa hili.

  • Marekani ya Trump; nembo na mshirika wa ugaidi wa kiserikali ulimwenguni

    Marekani ya Trump; nembo na mshirika wa ugaidi wa kiserikali ulimwenguni

    May 15, 2020 21:58

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani ni nembo ya ugaidi wa kiserikali na kueleza kwamba, historia ya nchi hiyo katika kuunga mkono ugaidi iko wazi kabisa.

  • Waliopona ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran wakaribia 92,000

    Waliopona ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran wakaribia 92,000

    May 15, 2020 08:02

    Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari ya Wizara ya Afya ya Iran ametangaza kuwa, hadi hivi sasa waathiriwa zaidi ya 91,836 wa ugonjwa wa COVID-19 au corona humu nchini wamepata afueni na kuruhusiwa kurejea nyumbani kutoka mahospitalini.

  • Sayyid Hassan Nasrallah atetea msimamo wa Iran kuhusu mgogoro wa Syria

    Sayyid Hassan Nasrallah atetea msimamo wa Iran kuhusu mgogoro wa Syria

    May 15, 2020 03:03

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ametoa hotuba yenye kukosoa vikali sera za Marekani na utawala Israel kuhusu misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mgogoro wa Syria.

  • Corona; dhihirisho la tabia ya kigaidi ya Marekani dhidi ya taifa la Iran

    Corona; dhihirisho la tabia ya kigaidi ya Marekani dhidi ya taifa la Iran

    May 14, 2020 19:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, licha ya kuwa siku zote Marekani inajulikana kuwa ni nchi ya kigaidi, lakini si kwa kiwango hiki cha hata kuzuia bidhaa za afya na tiba zikiwemo dawa kuwafikia watu wa Iran.

  • Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa

    Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa

    May 13, 2020 23:20

    Uhusiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umepanuka sana kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani ambaye amechukua hatua nyingi za kutekeleza kivitendo matakwa haramu ya 'Israel.'

  • Iran yaapa kutoa jibu kali kwa chokochoko za kijeshi za Marekani

    Iran yaapa kutoa jibu kali kwa chokochoko za kijeshi za Marekani

    May 13, 2020 23:20

    Iran itatoa jibu kali kwa chokochoko za kijeshi za Marekani baada ya Rais Donald Trump kutumia turufu yake kupinga azimio la Bunge la Kongresi la hatua ya kijeshi isichukuliwe dhidi ya Iran kabla ya idhini ya wabunge.

  • Russia: Hatuitaruhusu Marekani irefushe vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Russia: Hatuitaruhusu Marekani irefushe vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 13, 2020 03:48

    Russia imesema itapinga jitihada zozote za Marekani za kutaka muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran uongezwe utakapomalizika mwezi Oktoba mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS