-
Iran: Uhusiano wetu na Tanzania unazidi kustawi na kuimarika
Aug 27, 2022 07:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kuwa, uhusiano wa Tehran na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unazidi kuwa imara.
-
Amir-Abdollahian asisitiza utekelezwaji mapatano ya Iran na Tanzania
Aug 27, 2022 03:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu utekelezwaji wa mapatano yaliyofikiwa katika kikao cha kwanza cha Tume ya Pamoja ya Ushirikiano wa Iran na Tanzanjia.
-
Rais wa Tanzania akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Aug 26, 2022 23:29Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian mjini Dodoma.
-
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akutana na Rais wa Zanzibar
Aug 26, 2022 05:23Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu7 ya Iran aliyeko ziarani nchini Tanzania leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar na wawili hao wamesitizia udharura wa kuimarishwa ushirikiano baina ya pande mbili.
-
Amir-Abdollahian: Afrika ni moja ya vipaumbele vikuu vya diplomasia ya kiuchumi ya Iran
Aug 25, 2022 06:54Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeko ziarani nchini Tanzania amesema kuwa, bara la Afrika ni moja ya vipaumbele vikuu vya diplomasia ya kiuchumi ya Iran.
-
Sisitizo la Iran katika kuimarisha uhusiano na Tanzania
Aug 24, 2022 22:46Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliwasili nchini Tanzania Jumatano usiku na kusema kwamba kunatayarishwa ramani ya njia kuhusiana na kuimarisha uhusiano wa Iran na Tanzania ili mchakato huo uchukue mkondo wa kasi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Tanzania akitokea nchini Mali
Aug 24, 2022 10:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumatano ameelekea nchini Tanzania baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi katika nchi ya Mali ya Magharibi mwa Afrika.
-
Iran yapongeza juhudi za nchi ya Mali za kupambana na makundi ya Kigaidi
Aug 24, 2022 03:35Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeko safarini Bamako mji mkuu wa Mali ameipongeza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kwa juhudi zake kubwa za kupambana na makundi ya kigaidi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awasali nchini Mali na kuonana na wenyeji wake
Aug 23, 2022 06:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anaendelea na ziara yake ya kuzitembelea nchi za Afrika na tayari ameanza mazungumzo na viongozi wa Mali akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Safari ya kwanza ya Amir-Abdollahian barani Afrika; azma ya Iran ya kupanua uhusiano
Aug 23, 2022 04:46Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu ya jana aliondoka hapa mjini Tehran na kuelekea Bamako mji mkuu wa Mali, hii ikiwa ni safarii yake ya kwanza barani Afrika tangu alipoteuliwa kuchukua wadhifa huo.