-
Muqtada Sadr atangaza kujiuzulu siasa
Aug 29, 2022 08:16Muqtada Sadr, Kiongozi wa Harakati ya Sadr ya Iraq ametangaza kujiuzulu harakati na shughuli zote za kisiasa.
-
Mazungumzo ya vyama; njia ya kuikwamua Iraq katika mgogoro
Aug 18, 2022 22:10Rais, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge pamoja na vyama kadhaa vya siasa vya nchi hiyo wametoa taarifa wakisisitizia ulazima wa kukomeshwa aina yoyote ile ya mzozo na mvutano katika mitaa na barabara za nchi hiyo.
-
Iraq katika mkondo wa kushtadi zaidi mkwamo wa kisiasa
Aug 16, 2022 22:04Uamuzi wa makundi na mirengo ya kisiasa ya Iraq wa kufanya mikusanyiko ya barabarani umeifanya anga ya kisiasa ya nchi hiyo kuwa tete zaidi na mkwamo wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo kushtadi zaidi.
-
Magaidi 50 wa Daesh wahamishiwa Iraq kutoka nchini Syria
Aug 13, 2022 22:01Kitengo cha upashaji habari cha jeshi la Iraq kimetoa ripoti rasmi na kusema kuwa karibu wanachama 50 wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Dashe (ISIS) wamehamishiwa mkoani Nainawa (Nineveh) Iraq kutoka katika kambi ya al Hawl ya nchini Syria.
-
Wafuasi wa mrengo wa Sadr wavamia tena jengo la Bunge la Iraq
Jul 30, 2022 23:01Wafuasi wa mrengo wa Sadr wamevamia tena kwa mara ya pili jengo la bunge la Iraq zikiwa zimepita chini ya siku tatu tangu walipovamia jengo hilo lililoko kwenye eneo lenye ulinzi mkali katikati ya mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad.
-
Mgogoro Iraq; Bunge lavamiwa huku nara zikipigwa dhidi ya Waziri Mkuu aliyependekezwa
Jul 30, 2022 23:01Mamia ya wananchi wa Iraq tarehe 27 mwezi huu wa Julai waliandamana katika Eneo la Kijani katika mji mkuu Baghdad na kisha wakavamia Bunge na kupiga nara na shaari dhidi ya mwanasiasa aliyependekezwa kwa ajili ya nafasi ya Waziri Mkuu.
-
Kuwasilisha mashtaka Iraq dhidi ya Uturuki UN na kuongezeka hisia za chuki dhidi ya Ankara ndani ya Iraq
Jul 29, 2022 23:10Baada ya Iraq kuwasilisha mashtaka rasmi Umoja wa Mataifa dhidi ya Uturuki, Baraza la Usalama la umoja huo limeitisha kikao cha dharura, ambapo mbali na kulaani shambulio la mizinga lililolenga mkoa wa Duhok, limetangaza uungaji mkono wake pia kwa umoja wa ardhi yote, uhuru na mamlaka ya kujitawala ya Iraq.
-
Iraq: Kikao kijacho cha Iran na Saudia mjini Baghdad kitafanyika hadharani
Jul 23, 2022 21:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema, kikao kijacho cha Saudi Arabia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Baghdad kitakuwa cha mazungumzo ya wazi kutokana na ombi lililotolewa na mrithi wa ufalme wa Saudia.
-
Wanamuqawama wa Iraq wataka jibu kwa shambulio la Uturuki
Jul 23, 2022 06:54Harakati ya Muqawama ya Asa’ib Ahl al-Haq ya Iraq imelitaka Bunge la nchi hiyo lichukue hatua za kivitendo kujibu mashambulizi ya anga ya Uturuki katika eneo la Kurdistan, lililoua na kujeruhi makumi ya raia.
-
Uturuki yaendelea kukiuka mamlaka ya kujitawala Iraq
Jul 22, 2022 23:49Uturuki kwa mara nyingine imekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq kwa kuvamia mikoa ya kaskazini mwa nchi hiyo. Jeshi la Uturuki lilifanya shambulio katika kituo cha utalii katika mkoa wa Zakho ulioko katika eneo la Kurdistan ya Iraq Jumatano, na kuwauwa wanawake na watoto wasiopungua 11.