Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Iran yalaani mauaji ya raia wa Iraq, Uturuki yakanusha kuhusika na shambulio

    Iran yalaani mauaji ya raia wa Iraq, Uturuki yakanusha kuhusika na shambulio

    Jul 21, 2022 22:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani shambulio lililofanywa katika mji wa Zakho na kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono kikamilifu uthabiti na usalama wa Iraq.

  • Iran yaipongeza Iraq kwa kushajiisha mazungumzo katika eneo

    Iran yaipongeza Iraq kwa kushajiisha mazungumzo katika eneo

    Jul 18, 2022 03:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameipongeza Iraq kwa nafasi yake athirifu na jitihada zake za kushajiisha utumiaji wa mazungumzo kwa ajili ya kujaribu kutatua matatizo na changamoto zinaolikabili eneo hili la Asia Magharibi.

  • Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi mjini Tehran

    Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi mjini Tehran

    Jun 27, 2022 06:09

    Mustafa la Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq, baada ya kukutana na wakuu wa Saudi Arabia mjini Jeddah, moja kwa moja ameelekea Tehran Jumapili Juni 26 na kulakiwa rasmi na Rais Ebrahim Raeisi wa Iran.

  • Rais wa Iran afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Iraq mjini Tehran

    Rais wa Iran afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Iraq mjini Tehran

    Jun 26, 2022 10:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mchana wa leo amemlaki rasmi Waziri Mkuu wa Iraq hapa Tehran.

  • Njama mpya za Marekani na Saudi Arabia nchini Syria

    Njama mpya za Marekani na Saudi Arabia nchini Syria

    Jun 25, 2022 22:02

    Baadhi ya vyanzo vya habari vimeripoti kuwa Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha jitihada za pamoja za kuunda upya kikosi kinachojulikana kwa jina la Jaish Maghawir al-Thawra (Jeshi la Makomando wa Mapinduzi) katika kituo cha Al-Tanf kinachosimamiwa na Marekani kilichoko kwenye mpaka wa Jordan, Syrian na Iraq.

  • Iraq yatakiwa kuchunguza wizi wa mafuta yanayopelekwa Israel

    Iraq yatakiwa kuchunguza wizi wa mafuta yanayopelekwa Israel

    Jun 18, 2022 06:58

    Serikali ya Iraq imetakiwa ifanye uchunguzi wa kina kuhusu wizi wa mafuta ya nchi hiyo katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan, kaskazini mwa nchi na kupelekwa katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Kauli zisizo za kirafiki za Fuad Hussein; ulazima wa kutoa ufafanuzi uko kwa Iran au Iraq?

    Kauli zisizo za kirafiki za Fuad Hussein; ulazima wa kutoa ufafanuzi uko kwa Iran au Iraq?

    Jun 15, 2022 03:39

    Waziri wa mambo ya nje wa Iraq, kwa mara ya kwanza ametoa matamshi ya kuituhumu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba inaingilia masuala ya ndani ya nchi yake na kudai kuwa uhusiano wa Iran na Iraq umetoka kwenye hatua ya "ukimya" na kufikia hatua ya kuhitajika "ufafanuzi".

  • Nujaba: Hashdu Shaabi itaendelea kupambana na ugaidi wa US, Israel nchini Iraq

    Nujaba: Hashdu Shaabi itaendelea kupambana na ugaidi wa US, Israel nchini Iraq

    Jun 14, 2022 22:00

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya al-Nujaba nchini Iraq amesema Jeshi la kujitolea la wananchi wa Iraq la al-Hashdu-Sha'abi limefanikiwa kuzima njama nyingi za maadui dhidi ya taifa hilo la Kiarabu, na litaendelea kupambana na ugaidi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo.

  • Hashdu Shaabi yashambulia maficho ya magaidi Iraq; yaua kadhaa miongoni mwao

    Hashdu Shaabi yashambulia maficho ya magaidi Iraq; yaua kadhaa miongoni mwao

    Jun 07, 2022 03:33

    Wanamapambano wa harakati ya wanamuqawa ya Hashdu Shaabi ya Iraq wameshambulia ngome na maficho ya mabaki ya wanachama wa magenge ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi ajinabi kaskazini mwa Baghdad, mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Hatua muhimu mno ya kiistratijia ya Bunge la Iraq; uhusiano wowote na Israel ni uhalifu

    Hatua muhimu mno ya kiistratijia ya Bunge la Iraq; uhusiano wowote na Israel ni uhalifu

    May 28, 2022 02:40

    Juzi Alkhamisi tarehe 26 Mei, 2022, Bunge la Iraq lilipasisha kwa kauli moja sheria ya kutambua kuwa ni uhalifu, hatua yoyote ya kuweka uhusiano wa kawaida baina ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS