Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Misafara mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani yashambuliwa nchini Iraq

    Misafara mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani yashambuliwa nchini Iraq

    Dec 25, 2020 23:11

    Duru za kiusalama nchini Iraq zimeripoti kuwa misafara mingine mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani imeshambuliwa katika maeneo ya Dhi Qar, Diwaniya na Babil.

  • Onyo kali la Iran dhidi ya chokochoko yoyote ile ya kijeshi ya Marekani

    Onyo kali la Iran dhidi ya chokochoko yoyote ile ya kijeshi ya Marekani

    Dec 25, 2020 23:09

    Matamshi ya vitisho yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran baada ya kuituhumu Tehran kwamba, ilihusika katika mashambulio ya hivi karibuni ya maroketi dhidi ya ubalozi wa Wsahington mjini Baghdad, yamekabiliwa na radiamali kali ya taifa hili.

  • Ujumbe wanaokusudia kuufikisha Wairaqi kwa maandalizi ya kukumbuka kuuawa shahidi Kamanda Qassem Suleimani

    Ujumbe wanaokusudia kuufikisha Wairaqi kwa maandalizi ya kukumbuka kuuawa shahidi Kamanda Qassem Suleimani

    Dec 24, 2020 22:59

    Wananchi na makundi mbalimbali ya Wairaqi wanajiandaa kwa hauli na maadhimisho ya mwaka wa kwanza tangu alipouliwa shahidi Luteni Jenerali Qassem Suleimani na Abu Mahdi Al-Muhandis.

  • Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq

    Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq

    Dec 24, 2020 04:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemjia juu Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameituhumu Tehran kuwa imehusika na mashambulio ya maroketi dhidi ya ubalozi wa US mjini Baghdad, Iraq.

  • Harakati ya An-Nujabaa: Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni kambi ya jeshi

    Harakati ya An-Nujabaa: Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni kambi ya jeshi

    Dec 22, 2020 09:15

    Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya An-Nujabaa ya Iraq amesema, ubalozi wa Marekani mjini Baghdad si kituo cha kidiplomasia bali ni kambi ya jeshi la nchi hiyo.

  • Mashambulio ya maroketi dhidi ya eneo la kijani Baghdad; watekelezaji na malengo yao

    Mashambulio ya maroketi dhidi ya eneo la kijani Baghdad; watekelezaji na malengo yao

    Dec 22, 2020 06:53

    Ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Iraq Baghdad usiku wa kuamkia jana Jumatatu ulishambuliwa kwa akali na maroketi manane.

  • Askari wa Iraq waangamiza magaidi, wazima hujuma

    Askari wa Iraq waangamiza magaidi, wazima hujuma

    Dec 20, 2020 03:58

    Askari wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi Iraq maarufu kama Hashdu Shaabi wamefanikiwa kuwaangamiza magaidi watano sambamba na kuzima hujuma ya kigaidi katika eneo la al-Oaista mjini Jurf al Nasr mkoani Babel, kusini mwa mji mkuu Baghdad.

  • Hizbullah ya Iraq: Muqawama utaendelea kulitetea taifa la Palestina kwa roho na mali

    Hizbullah ya Iraq: Muqawama utaendelea kulitetea taifa la Palestina kwa roho na mali

    Dec 12, 2020 22:17

    Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesema, wafanya mapatano wa Kiarabu wasio na irada hawana uwezo wa kuzifuta haki za taifa la Palestina na ikasisitiza kwamba, muqawama utaendelea kulihami na kulitetea taifa la Palestina kwa roho na mali.

  • Wabunge Iraq waitaka serikali ijibu mapigo kwa kutowapatia viza raia wa Imarati

    Wabunge Iraq waitaka serikali ijibu mapigo kwa kutowapatia viza raia wa Imarati

    Nov 27, 2020 08:33

    Baada serikali ya Imarati kusitisha utoaji viza kwa raia wa Iraq wanaotaka kuingia nchini humo, sambamba na kuwaweka kizuizini katika mazingira ya kutatanisha Wairaqi kadhaa wanaoishi nchini humo, wabunge wa Iraq wameitaka serikali yao isitishe kutoa viza kwa raia wa Imarati pia wanaotaka kuingia nchini humo.

  • Kuondoka askari wa Marekani nchini Iraq; msimamo wa serikali ya Baghdad na makundi ya mapambano

    Kuondoka askari wa Marekani nchini Iraq; msimamo wa serikali ya Baghdad na makundi ya mapambano

    Nov 24, 2020 23:12

    Katika hali ambayo viongozi wa serikali ya Baghdad wanasema kuwa askari 500 wa Marekani wataanza kutoka katika ardhi ya Iraq miezi miwili ijayo, Sheikh Qais al-Khaz'ali, Katibu Mkuu wa Harakati ya Asaib Ahlul Haq, karibuni hivi alitetea silaha za harakati hiyo ya mapambano ya Kiislamu akisisitiza kuwa muhula wa usitishaji vita na Marekani umekwisha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS