-
Ushirikiano wa genge la kigaidi la ISIS na Marekani wazidi kufichuliwa
Nov 21, 2020 02:34Televisheni moja ya Iraq imesambamba nyaraka mpya zinazoonesha kuweko ushirikiano mkubwa baina ya genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na Shirika la Kijasusi la Marekani, CIA.
-
Mashambulizi ya jeshi la Marekani yameua raia 13,000 Syria na Iraq
Nov 20, 2020 03:39Shirika lisilo la kiserikali la Airwars lenye makao yake mjini London Uingereza limeripoti kuwa, raia wasiopungua 13,000 wa Syria na Iraq wameuawa katika mashambulizi ya muungano unaodaiwa kupambana na magaidi wa Daesh wa Marekani katika kipindi cha miaka sita iliyopita.
-
Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi
Nov 18, 2020 02:23Uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuondolewa askari wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi hususan Afghanistan na Iraq ambao unatarajiwa kutangazwa katika siku za usoni na iliyokuwa moja ya ahadi muhimu za Trump umekabiliwa na upinzani mkali wa chama chake cha Repulican katika Kongresi ya nchi hiyo.
-
Meja Jenerali Salami: Tutalipiza kisasi cha damu ya kamanda Suleimani kwa waliomuua
Nov 16, 2020 07:59Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza tena akisema: "Tutalipiza kisasi cha damu ya kamanda shahidi Qassim Suleimani kwa waliomuua."
-
Mbunge wa Iraq: Muswada wa kutimuliwa wanajeshi wa Marekani, utekelezwe haraka
Nov 15, 2020 08:07Mjumbe mmoja wa Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesisitiza kwamba, hakutakuwa na tofauti yoyote kubadilishwa sura ya rais wa Marekani, lililo muhimu kwa Iraq ni kutekelezwa muswada uliopasishwa na bunge la nchi hiyo wa kutimuliwa wanajeshi wa Marekani nchini Iraq.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iraq aonana na Brigedia Jenerali Baqeri
Nov 15, 2020 08:05Waziri wa Ulinzi wa Iraq ambaye yuko ziarani hapa nchini Iran ameonana na kuzungumza na Mkuu wa Komandi Kuu ya Vikozi vya Ulinzi vya Iran.
-
Waziri wa Ulinzi: Iran iko tayari kudhamini mahitaji ya vikosi vya ulinzi vya Iraq
Nov 15, 2020 04:02Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kudhamini mahitaji ya vikosi vya ulinzi vya Iraq kwa shabaha ya kuimarisha uwezo wa kiulinzi wa nchi hiyo.
-
Iraq yasisitiza tena msimamo wake wa kupinga kuanzisha mapatano na utawala haramu wa Israel
Nov 14, 2020 12:12Msemaji wa Waziri Mkuu wa Iraq kwa mara nyingine tena amesisitia msimamo wa hapo awali wa nchi hiyo wa kupinga kuanzisha mapatano na utawala haramu wa Israel
-
Imarati na Israel zashirikiana kurejesha magaidi kusini mwa Syria
Nov 13, 2020 01:36Vyombo vya usalama vimefichua kwamba, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umetuma ujumbe wa taasisi za upelelezi na ujasusi huko Israel kwa ajili ya kuchunguza mpango wa kurejesha makundi ya kigaidi katika miji ya kusini mwa Syria inayopakana na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni za Palestina.
-
Sheria mpya ya uchaguzi Iraq; namna ilivyotungwa na jinsi ilivyopokewa
Nov 09, 2020 02:32Sheria mpya ya uchaguzi ya Iraq imesainiwa na rais Barham Salih baada ya kupitishwa na bunge la nchi hiyo.