Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Ushirikiano wa genge la kigaidi la ISIS na Marekani wazidi kufichuliwa

    Ushirikiano wa genge la kigaidi la ISIS na Marekani wazidi kufichuliwa

    Nov 21, 2020 02:34

    Televisheni moja ya Iraq imesambamba nyaraka mpya zinazoonesha kuweko ushirikiano mkubwa baina ya genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na Shirika la Kijasusi la Marekani, CIA.

  • Mashambulizi ya jeshi la Marekani yameua raia 13,000 Syria na Iraq

    Mashambulizi ya jeshi la Marekani yameua raia 13,000 Syria na Iraq

    Nov 20, 2020 03:39

    Shirika lisilo la kiserikali la Airwars lenye makao yake mjini London Uingereza limeripoti kuwa, raia wasiopungua 13,000 wa Syria na Iraq wameuawa katika mashambulizi ya muungano unaodaiwa kupambana na magaidi wa Daesh wa Marekani katika kipindi cha miaka sita iliyopita.

  • Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi

    Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi

    Nov 18, 2020 02:23

    Uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuondolewa askari wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi hususan Afghanistan na Iraq ambao unatarajiwa kutangazwa katika siku za usoni na iliyokuwa moja ya ahadi muhimu za Trump umekabiliwa na upinzani mkali wa chama chake cha Repulican katika Kongresi ya nchi hiyo.

  • Meja Jenerali Salami: Tutalipiza kisasi cha damu ya kamanda Suleimani kwa waliomuua

    Meja Jenerali Salami: Tutalipiza kisasi cha damu ya kamanda Suleimani kwa waliomuua

    Nov 16, 2020 07:59

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza tena akisema: "Tutalipiza kisasi cha damu ya kamanda shahidi Qassim Suleimani kwa waliomuua."

  • Mbunge wa Iraq: Muswada wa kutimuliwa wanajeshi wa Marekani, utekelezwe haraka

    Mbunge wa Iraq: Muswada wa kutimuliwa wanajeshi wa Marekani, utekelezwe haraka

    Nov 15, 2020 08:07

    Mjumbe mmoja wa Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesisitiza kwamba, hakutakuwa na tofauti yoyote kubadilishwa sura ya rais wa Marekani, lililo muhimu kwa Iraq ni kutekelezwa muswada uliopasishwa na bunge la nchi hiyo wa kutimuliwa wanajeshi wa Marekani nchini Iraq.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iraq aonana na Brigedia Jenerali Baqeri

    Waziri wa Ulinzi wa Iraq aonana na Brigedia Jenerali Baqeri

    Nov 15, 2020 08:05

    Waziri wa Ulinzi wa Iraq ambaye yuko ziarani hapa nchini Iran ameonana na kuzungumza na Mkuu wa Komandi Kuu ya Vikozi vya Ulinzi vya Iran.

  • Waziri wa Ulinzi: Iran iko tayari kudhamini mahitaji ya vikosi vya ulinzi vya Iraq

    Waziri wa Ulinzi: Iran iko tayari kudhamini mahitaji ya vikosi vya ulinzi vya Iraq

    Nov 15, 2020 04:02

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kudhamini mahitaji ya vikosi vya ulinzi vya Iraq kwa shabaha ya kuimarisha uwezo wa kiulinzi wa nchi hiyo.

  • Iraq yasisitiza tena msimamo wake wa kupinga kuanzisha mapatano na utawala haramu wa Israel

    Iraq yasisitiza tena msimamo wake wa kupinga kuanzisha mapatano na utawala haramu wa Israel

    Nov 14, 2020 12:12

    Msemaji wa Waziri Mkuu wa Iraq kwa mara nyingine tena amesisitia msimamo wa hapo awali wa nchi hiyo wa kupinga kuanzisha mapatano na utawala haramu wa Israel

  • Imarati na Israel zashirikiana kurejesha magaidi kusini mwa Syria

    Imarati na Israel zashirikiana kurejesha magaidi kusini mwa Syria

    Nov 13, 2020 01:36

    Vyombo vya usalama vimefichua kwamba, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umetuma ujumbe wa taasisi za upelelezi na ujasusi huko Israel kwa ajili ya kuchunguza mpango wa kurejesha makundi ya kigaidi katika miji ya kusini mwa Syria inayopakana na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni za Palestina.

  • Sheria mpya ya uchaguzi Iraq; namna ilivyotungwa na jinsi ilivyopokewa

    Sheria mpya ya uchaguzi Iraq; namna ilivyotungwa na jinsi ilivyopokewa

    Nov 09, 2020 02:32

    Sheria mpya ya uchaguzi ya Iraq imesainiwa na rais Barham Salih baada ya kupitishwa na bunge la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS