Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Muungano wa al Faf'h Iraq: Trump na Biden ni pande mbili za sarafu moja

    Muungano wa al Faf'h Iraq: Trump na Biden ni pande mbili za sarafu moja

    Nov 04, 2020 07:45

    Muungano wa al Fat'h katika Bunge la Iraq umetangaza kuwa Donald Trump na Joe Biden ni pande mbili za sarafu moja na kwamba, yeyote atakayeshinda uchaguzi wa rais wa Marekani baina ya wawili hao atahudumia maslahi ya harakati za Wazayuni za kutaka kujipanua zaidi katika eneo hili la magharibi mwa Asia.

  • Maandamano ya kulaani misimamo ya Macron dhidi ya Uislamu yafanyika Iran na Iraq

    Maandamano ya kulaani misimamo ya Macron dhidi ya Uislamu yafanyika Iran na Iraq

    Oct 29, 2020 06:53

    Maelfu ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono vitendo vya kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Kiislamu.

  • Serikali ya Iraq: Hatuitambui Ikhwanul Muslimin ya Iraq kuwa ni kundi la kigaidi

    Serikali ya Iraq: Hatuitambui Ikhwanul Muslimin ya Iraq kuwa ni kundi la kigaidi

    Oct 26, 2020 02:31

    Msemaji wa serikali ya Iraq amesema kundi la Ikhwanul Muslimin ni sehemu ya mchakato wa kisiasa wa nchi hiyo na wala serikali hiyo haiitambui harakati hiyo kuwa ni kundi la kigaidi.

  • Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi

    Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi

    Oct 24, 2020 07:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuwekea vikwazo Balozi wa Marekani nchini Iraq, Matthew Tueller kwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi.

  • Iraq: Baghdad inaunga mkono haki ya Wapalestina ya kujiamulia muskatabali wao

    Iraq: Baghdad inaunga mkono haki ya Wapalestina ya kujiamulia muskatabali wao

    Oct 23, 2020 08:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amekanusha habari za uvumi zinazodai kuwa Baghdad inataka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, taifa hilo linaunga mkono haki ya Wapalestina ya kujiamulia muskatabali wao wenyewe.

  • Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq

    Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq

    Oct 20, 2020 12:11

    Askari jeshi wa Iraq wamewatia mbarono magaidi watano wa kundi la kitakfiri la Daesh katika oparesheni waliyoifanya katika mkoa wa Salahuddin nchini humo.

  • Uungaji mkono wa kisiasa wa watu wa Iraq kwa Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi

    Uungaji mkono wa kisiasa wa watu wa Iraq kwa Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi

    Oct 18, 2020 06:41

    Hatua ya mwanachama mmoja wa chama cha Demokrasia cha Kusdistan KDP ya kuivunjia heshima Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq, Hashdu sh-Sha'abi, imekabiliwa na radiamali kali ya kisiasa ya wananchi hao ambao wameandamana na hata kuchoma moto ofisi ya chama hicho mjini Baghdad.

  • Askari elfu 12 wa al Hashdul Shaabi wajitayarisha kusimamia maombolezo ya kifo cha Mtume Muhammad (saw), Iraq

    Askari elfu 12 wa al Hashdul Shaabi wajitayarisha kusimamia maombolezo ya kifo cha Mtume Muhammad (saw), Iraq

    Oct 15, 2020 11:28

    Harakati ya al Hashdul Shaabi ya Iraq imetangaza kuwa inatekeleza mpango wa usalama na kutoa huduma kwa maelfu ya Waislamu watakaoshiriki katika shughuli ya maombolezo na kukumbuka tukio chungu la kuaga dunia Mtume Muhammad (saw) utakaosimamiwa na askari elfu 12 wa harakati hiyo hususan katika mji mtakatifu wa Najaf.

  • Harakati ya Muqawama ya Iraq yatahadharisha kuhusu kuchelewa Marekani kuondoka nchini humo

    Harakati ya Muqawama ya Iraq yatahadharisha kuhusu kuchelewa Marekani kuondoka nchini humo

    Oct 12, 2020 03:09

    Msemaji wa Harakati ya Kataeb Hizbullah ya Iraq ameashiria ombi la Marekani la kusitishwa operesheni zinazolenga vikosi vya nchi hiyo na kusisitiza kuwa: Wanamapambano wa Iraq hawatakaa kimya hata kidogo mkabala na kuchelewa Washington kuondoa wanajeshi wake katika ardhi ya Iraq.

  • Milioni ya Wairaq wafanya ziara ya Arubaini kuwawakisha Waislamu wenzao duniani

    Milioni ya Wairaq wafanya ziara ya Arubaini kuwawakisha Waislamu wenzao duniani

    Oct 08, 2020 07:32

    Milioni ya Wairaq wamewasili katika Haram ya Imam Husain AS huko Karbala kuwawakilisha mamilioni ya wapenzi wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad SAW ambao mwaka huu wameshindwa kwenda Iraq kushiriki kumbukumbu hizo kutokana na corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS