-
Waziri wa Ulinzi wa Iraq aonana na Brigedia Jenerali Baqeri
Nov 15, 2020 04:35Waziri wa Ulinzi wa Iraq ambaye yuko ziarani hapa nchini Iran ameonana na kuzungumza na Mkuu wa Komandi Kuu ya Vikozi vya Ulinzi vya Iran.
-
Waziri wa Ulinzi: Iran iko tayari kudhamini mahitaji ya vikosi vya ulinzi vya Iraq
Nov 15, 2020 00:32Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kudhamini mahitaji ya vikosi vya ulinzi vya Iraq kwa shabaha ya kuimarisha uwezo wa kiulinzi wa nchi hiyo.
-
Iraq yasisitiza tena msimamo wake wa kupinga kuanzisha mapatano na utawala haramu wa Israel
Nov 14, 2020 08:42Msemaji wa Waziri Mkuu wa Iraq kwa mara nyingine tena amesisitia msimamo wa hapo awali wa nchi hiyo wa kupinga kuanzisha mapatano na utawala haramu wa Israel
-
Imarati na Israel zashirikiana kurejesha magaidi kusini mwa Syria
Nov 12, 2020 22:06Vyombo vya usalama vimefichua kwamba, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umetuma ujumbe wa taasisi za upelelezi na ujasusi huko Israel kwa ajili ya kuchunguza mpango wa kurejesha makundi ya kigaidi katika miji ya kusini mwa Syria inayopakana na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni za Palestina.
-
Sheria mpya ya uchaguzi Iraq; namna ilivyotungwa na jinsi ilivyopokewa
Nov 08, 2020 23:02Sheria mpya ya uchaguzi ya Iraq imesainiwa na rais Barham Salih baada ya kupitishwa na bunge la nchi hiyo.
-
Muungano wa al Faf'h Iraq: Trump na Biden ni pande mbili za sarafu moja
Nov 04, 2020 04:15Muungano wa al Fat'h katika Bunge la Iraq umetangaza kuwa Donald Trump na Joe Biden ni pande mbili za sarafu moja na kwamba, yeyote atakayeshinda uchaguzi wa rais wa Marekani baina ya wawili hao atahudumia maslahi ya harakati za Wazayuni za kutaka kujipanua zaidi katika eneo hili la magharibi mwa Asia.
-
Maandamano ya kulaani misimamo ya Macron dhidi ya Uislamu yafanyika Iran na Iraq
Oct 29, 2020 03:23Maelfu ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono vitendo vya kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Kiislamu.
-
Serikali ya Iraq: Hatuitambui Ikhwanul Muslimin ya Iraq kuwa ni kundi la kigaidi
Oct 25, 2020 23:01Msemaji wa serikali ya Iraq amesema kundi la Ikhwanul Muslimin ni sehemu ya mchakato wa kisiasa wa nchi hiyo na wala serikali hiyo haiitambui harakati hiyo kuwa ni kundi la kigaidi.
-
Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi
Oct 24, 2020 04:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuwekea vikwazo Balozi wa Marekani nchini Iraq, Matthew Tueller kwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi.
-
Iraq: Baghdad inaunga mkono haki ya Wapalestina ya kujiamulia muskatabali wao
Oct 23, 2020 04:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amekanusha habari za uvumi zinazodai kuwa Baghdad inataka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, taifa hilo linaunga mkono haki ya Wapalestina ya kujiamulia muskatabali wao wenyewe.