Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Mitazamo miwili kuhusiana na matukio ya usalama nchini Iraq

    Mitazamo miwili kuhusiana na matukio ya usalama nchini Iraq

    Oct 06, 2020 12:51

    Katika majuma ya hivi karibuni Iraq imeshuhudia mashambulio ya mara kwa mara dhidi ya ubalozi wa Marekani na vile vile mashambulio ya Washington dhidi ya ngome za Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi.

  • Malengo ya Marekani ya kuwasilisha mpango wa kufunga ubalozi wake Baghdad

    Malengo ya Marekani ya kuwasilisha mpango wa kufunga ubalozi wake Baghdad

    Oct 03, 2020 07:00

    Serikali ya Marekani imetangaza mpango wa kufunga ubalozi wake katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad kutokana na kuendelea mashambulizi ya maroketi dhidi ya ubalozi huo.

  • Iraq; mwaka mmoja baada ya maandamano ya Oktoba Mosi

    Iraq; mwaka mmoja baada ya maandamano ya Oktoba Mosi

    Oct 02, 2020 07:33

    Oktoba Mosi mwaka uliopita, Iraq ilishuhudia maandamano makubwa ya watu yaliyogeuka na kuwa ya vurugu na hivyo kupelekea maelfu ya watu kuuawa na kujeruhiwa.

  • Ijumaa tarehe Pili Oktoba mwaka 2020

    Ijumaa tarehe Pili Oktoba mwaka 2020

    Oct 02, 2020 00:37

    Leo ni Ijumaa tarehe 14 Safar 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe Pili Oktoba mwaka 2020.

  • Tishio la Mike Pompeo la kufunga ubalozi wa Marekani mjini Baghdad

    Tishio la Mike Pompeo la kufunga ubalozi wa Marekani mjini Baghdad

    Oct 01, 2020 02:27

    Marekani imekuwa nchini Iraq kwa upana zaidi tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na hadi sasa kuna maelfu ya wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Walioshambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni mamluki wa Washington

    Walioshambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni mamluki wa Washington

    Sep 27, 2020 13:48

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujabaa ya Iraq amesema, shambulio lililolenga maeneo jirani na ubalozi wa Marekani mjini Baghdad limefanywa na mamluki wa Marekani yenyewe.

  • "Shambulizi la Marekani dhidi ya mashujaa wa kukabiliana na ugaidi ni tusi kwa Iraq"

    Sep 27, 2020 08:03

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema shambulizi la jeshi la Marekani lililoua shahidi mashujaa wa kupambana na ugaidi katika eneo la Asia Magharibi mapema mwaka huu ni tusi kwa mamlaka ya kujitawala Iraq.

  • Muqtada al-Sadr: Iraq si koloni la nchi ajinabi

    Muqtada al-Sadr: Iraq si koloni la nchi ajinabi

    Sep 27, 2020 07:57

    Kiongozi wa Harakati ya Al-Sadr ya nchini Iraq amesema Wairaqi hawataruhusu nchi yao igeuzwe koloni la nchi yoyote ajinabi.

  • Pompeo atishia kufunga ubalozi wa Marekani nchini Iraq endapo utaendelea kushambuliwa

    Pompeo atishia kufunga ubalozi wa Marekani nchini Iraq endapo utaendelea kushambuliwa

    Sep 26, 2020 07:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo ametoa vitisho kwa viongozi wa Iraq kwamba Washington inaweza kuamua kuufunga ubalozi wake ulioko mjini Baghdad.

  • Saudia, Imarati, Israel; zashirikiana kuchochea machafuko nchini Iraq

    Saudia, Imarati, Israel; zashirikiana kuchochea machafuko nchini Iraq

    Sep 22, 2020 11:37

    Mbunge mmoja nchini Iraq amefichhua njama zinazofanywa na Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na utawala wa Kizayuni wa Israel, za kuzusha machafuko nchini Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS