-
Mitazamo miwili kuhusiana na matukio ya usalama nchini Iraq
Oct 06, 2020 12:51Katika majuma ya hivi karibuni Iraq imeshuhudia mashambulio ya mara kwa mara dhidi ya ubalozi wa Marekani na vile vile mashambulio ya Washington dhidi ya ngome za Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi.
-
Malengo ya Marekani ya kuwasilisha mpango wa kufunga ubalozi wake Baghdad
Oct 03, 2020 07:00Serikali ya Marekani imetangaza mpango wa kufunga ubalozi wake katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad kutokana na kuendelea mashambulizi ya maroketi dhidi ya ubalozi huo.
-
Iraq; mwaka mmoja baada ya maandamano ya Oktoba Mosi
Oct 02, 2020 07:33Oktoba Mosi mwaka uliopita, Iraq ilishuhudia maandamano makubwa ya watu yaliyogeuka na kuwa ya vurugu na hivyo kupelekea maelfu ya watu kuuawa na kujeruhiwa.
-
Ijumaa tarehe Pili Oktoba mwaka 2020
Oct 02, 2020 00:37Leo ni Ijumaa tarehe 14 Safar 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe Pili Oktoba mwaka 2020.
-
Tishio la Mike Pompeo la kufunga ubalozi wa Marekani mjini Baghdad
Oct 01, 2020 02:27Marekani imekuwa nchini Iraq kwa upana zaidi tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na hadi sasa kuna maelfu ya wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Walioshambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni mamluki wa Washington
Sep 27, 2020 13:48Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujabaa ya Iraq amesema, shambulio lililolenga maeneo jirani na ubalozi wa Marekani mjini Baghdad limefanywa na mamluki wa Marekani yenyewe.
-
"Shambulizi la Marekani dhidi ya mashujaa wa kukabiliana na ugaidi ni tusi kwa Iraq"
Sep 27, 2020 08:03Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema shambulizi la jeshi la Marekani lililoua shahidi mashujaa wa kupambana na ugaidi katika eneo la Asia Magharibi mapema mwaka huu ni tusi kwa mamlaka ya kujitawala Iraq.
-
Muqtada al-Sadr: Iraq si koloni la nchi ajinabi
Sep 27, 2020 07:57Kiongozi wa Harakati ya Al-Sadr ya nchini Iraq amesema Wairaqi hawataruhusu nchi yao igeuzwe koloni la nchi yoyote ajinabi.
-
Pompeo atishia kufunga ubalozi wa Marekani nchini Iraq endapo utaendelea kushambuliwa
Sep 26, 2020 07:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo ametoa vitisho kwa viongozi wa Iraq kwamba Washington inaweza kuamua kuufunga ubalozi wake ulioko mjini Baghdad.
-
Saudia, Imarati, Israel; zashirikiana kuchochea machafuko nchini Iraq
Sep 22, 2020 11:37Mbunge mmoja nchini Iraq amefichhua njama zinazofanywa na Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na utawala wa Kizayuni wa Israel, za kuzusha machafuko nchini Iraq.