Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Harakati ya Muqawama ya Iraq yatahadharisha kuhusu kuchelewa Marekani kuondoka nchini humo

    Harakati ya Muqawama ya Iraq yatahadharisha kuhusu kuchelewa Marekani kuondoka nchini humo

    Oct 11, 2020 23:39

    Msemaji wa Harakati ya Kataeb Hizbullah ya Iraq ameashiria ombi la Marekani la kusitishwa operesheni zinazolenga vikosi vya nchi hiyo na kusisitiza kuwa: Wanamapambano wa Iraq hawatakaa kimya hata kidogo mkabala na kuchelewa Washington kuondoa wanajeshi wake katika ardhi ya Iraq.

  • Milioni ya Wairaq wafanya ziara ya Arubaini kuwawakisha Waislamu wenzao duniani

    Milioni ya Wairaq wafanya ziara ya Arubaini kuwawakisha Waislamu wenzao duniani

    Oct 08, 2020 04:02

    Milioni ya Wairaq wamewasili katika Haram ya Imam Husain AS huko Karbala kuwawakilisha mamilioni ya wapenzi wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad SAW ambao mwaka huu wameshindwa kwenda Iraq kushiriki kumbukumbu hizo kutokana na corona.

  • Mitazamo miwili kuhusiana na matukio ya usalama nchini Iraq

    Mitazamo miwili kuhusiana na matukio ya usalama nchini Iraq

    Oct 06, 2020 09:21

    Katika majuma ya hivi karibuni Iraq imeshuhudia mashambulio ya mara kwa mara dhidi ya ubalozi wa Marekani na vile vile mashambulio ya Washington dhidi ya ngome za Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi.

  • Malengo ya Marekani ya kuwasilisha mpango wa kufunga ubalozi wake Baghdad

    Malengo ya Marekani ya kuwasilisha mpango wa kufunga ubalozi wake Baghdad

    Oct 03, 2020 03:30

    Serikali ya Marekani imetangaza mpango wa kufunga ubalozi wake katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad kutokana na kuendelea mashambulizi ya maroketi dhidi ya ubalozi huo.

  • Iraq; mwaka mmoja baada ya maandamano ya Oktoba Mosi

    Iraq; mwaka mmoja baada ya maandamano ya Oktoba Mosi

    Oct 02, 2020 04:03

    Oktoba Mosi mwaka uliopita, Iraq ilishuhudia maandamano makubwa ya watu yaliyogeuka na kuwa ya vurugu na hivyo kupelekea maelfu ya watu kuuawa na kujeruhiwa.

  • Ijumaa tarehe Pili Oktoba mwaka 2020

    Ijumaa tarehe Pili Oktoba mwaka 2020

    Oct 01, 2020 21:07

    Leo ni Ijumaa tarehe 14 Safar 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe Pili Oktoba mwaka 2020.

  • Tishio la Mike Pompeo la kufunga ubalozi wa Marekani mjini Baghdad

    Tishio la Mike Pompeo la kufunga ubalozi wa Marekani mjini Baghdad

    Sep 30, 2020 22:57

    Marekani imekuwa nchini Iraq kwa upana zaidi tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na hadi sasa kuna maelfu ya wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Walioshambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni mamluki wa Washington

    Walioshambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni mamluki wa Washington

    Sep 27, 2020 10:18

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujabaa ya Iraq amesema, shambulio lililolenga maeneo jirani na ubalozi wa Marekani mjini Baghdad limefanywa na mamluki wa Marekani yenyewe.

  • "Shambulizi la Marekani dhidi ya mashujaa wa kukabiliana na ugaidi ni tusi kwa Iraq"

    Sep 27, 2020 04:33

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema shambulizi la jeshi la Marekani lililoua shahidi mashujaa wa kupambana na ugaidi katika eneo la Asia Magharibi mapema mwaka huu ni tusi kwa mamlaka ya kujitawala Iraq.

  • Muqtada al-Sadr: Iraq si koloni la nchi ajinabi

    Muqtada al-Sadr: Iraq si koloni la nchi ajinabi

    Sep 27, 2020 04:27

    Kiongozi wa Harakati ya Al-Sadr ya nchini Iraq amesema Wairaqi hawataruhusu nchi yao igeuzwe koloni la nchi yoyote ajinabi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS