Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Mufti 'tipwatipwa' wa DAESH mwenye uzito wa kilo 245 atiwa nguvuni mjini Mosul, Iraq

    Mufti 'tipwatipwa' wa DAESH mwenye uzito wa kilo 245 atiwa nguvuni mjini Mosul, Iraq

    Jan 18, 2020 14:07

    Vikosi vya usalama vya Iraq vimemtia nguvuni Abu Abdul Bari, mufti wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) katika mji wa Mosul, kaskazini mwa nchi hiyo. Abu Abdul Bari ni maarufu kwa utoaji fatua za kuwafanya wanawake watumwa, za ubakaji, utesaji na uangamizaji wa kimbari.

  • CNN: Marekani inakaribia kuondoka kimadhila katika ardhi ya Iraq

    CNN: Marekani inakaribia kuondoka kimadhila katika ardhi ya Iraq

    Jan 18, 2020 14:53

    Kanali ya televisheni ya CNN imeeleza kuhusu kuongezeka mashinikizo ya kulitaka jeshi la Marekani liondoke Iraq na kubainisha kuwa: Huo ni mwisho wa kimadhila wa kazi maalumu na ya muda mrefu iliyofanywa na jeshi la Marekani; kazi ambayo imeteketeza mabilioni ya dola.

  • Kamati ya usalama Iraq: Marekani haijawa na nafasi yoyote ya kuimarisha usalama nchini

    Kamati ya usalama Iraq: Marekani haijawa na nafasi yoyote ya kuimarisha usalama nchini

    Jan 17, 2020 02:52

    Mjumbe mwandamizi wa kamati ya usalama na ulinzi ya bunge la Iraq amesema kuwa askari vamizi wa Marekani hawajawahi kuwa na nafasi yoyote ya kuimarisha usalama na amani nchini humo.

  • Alkhamisi tarehe 16 Januari 2020

    Alkhamisi tarehe 16 Januari 2020

    Jan 16, 2020 02:32

    Leo ni Alkhamisi tarehe 20 Jamadil Awwal 1441 Hijria sawa na Januari 16 mwaka 2020.

  • Sadr aitisha maandamano ya

    Sadr aitisha maandamano ya "watu milioni moja" Iraq ya kulaani kuwepo kijeshi kwa Marekani

    Jan 15, 2020 08:05

    Kiongozi wa Harakati ya Sadr nchini Iraq ametoa mwito kwa wananchi kufanya maandamano ya watu wasiopungua milioni moja ya kulaani kuwepo kijeshi Marekani nchini humo.

  • Misimamo ya kugongana ya Washington kuhusu sababu za kumuua kigaidi Luteni Soleimani

    Misimamo ya kugongana ya Washington kuhusu sababu za kumuua kigaidi Luteni Soleimani

    Jan 14, 2020 04:28

    Tarehe 3 Januari 2020, Marekani ilifanya jinai na ugaidi mkubwa wa kumuua kidhulma Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu tena akiwa mgeni rasmi wa serikali ya Iraq.

  • Marekani kuzuia pesa za mafuta za Baghdad wanajeshi wake wakitimuliwa Iraq

    Marekani kuzuia pesa za mafuta za Baghdad wanajeshi wake wakitimuliwa Iraq

    Jan 13, 2020 00:38

    Utawala wa Washington umetishia kuzuia akaunti za benki zenye mabilioni ya dola za Iraq, iwapo serikali ya Baghdad itakeleza mpango wake wa kuwatimua nchini humo wanajeshi wa Marekani.

  • Jenerali apaa na kukumbatiwa na Malaika

    Jenerali apaa na kukumbatiwa na Malaika

    Jan 12, 2020 12:18

    مِنَ الْمُؤْمِنِینَ رِجَالٌ صَدَقُوا مَا عَاهَدُوا اللَّهَ عَلَیْهِ فَمِنْهُمْ مَنْ قَضَى نَحْبَهُ وَمِنْهُمْ مَنْ یَنْتَظِرُ وَمَا بَدَّلُوا تَبْدِیلًا

  • Ngome kubwa ya ISIS yaharibiwa kaskazini mwa Iraq

    Ngome kubwa ya ISIS yaharibiwa kaskazini mwa Iraq

    Jan 12, 2020 12:13

    Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi vimeharibu pango kubwa zaidi la magaidi wa ISIS (Daesh) kaskazini mwa Iraq.

  • Umati mkubwa wa Wairaqi wakusanyika mahali walipouawa shahidi Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis

    Umati mkubwa wa Wairaqi wakusanyika mahali walipouawa shahidi Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis

    Jan 10, 2020 08:11

    Mamia ya Wairaqi wamekusanyika mahali makombora ya jeshi la kigaidi la Marekani yalipoulenga msafara wa magari yaliyokuwa yamewabeba Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Jeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq la Al-hashdu-Sha'abi na kulaani jinai hiyo ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS