Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Iraq yatahadharisha kuhusu hatari ya mashambulizi ya wanawake Madaesh katika nchi mbalimbali

    Iraq yatahadharisha kuhusu hatari ya mashambulizi ya wanawake Madaesh katika nchi mbalimbali

    Aug 05, 2019 01:24

    Mkurugenzi wa Kitengo cha Kupambana na Ugaidi katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq ametahadharisha kuhusu hatari ya wanawake wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wanaoelekea katika baadhi ya nchi za Kiarabu na zisizo za Kiarabu kwa ajili ya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi.

  • Trump atishia kuwaachilia magaidi wa Daesh warejee katika nchi za Ulaya

    Trump atishia kuwaachilia magaidi wa Daesh warejee katika nchi za Ulaya

    Aug 02, 2019 11:57

    Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kubuni na kueneza shughuli za makundi ya kigaidi likiweo la Daesh katika mgogoro wa Syria kwa lengo la kuindoa madarakani serikali halali ya nchi hiyo.

  • Vyombo vya ujasusi vya Iraq: Kiongozi wa Daesh yuko Syria, amepooza viungo vya mwili

    Vyombo vya ujasusi vya Iraq: Kiongozi wa Daesh yuko Syria, amepooza viungo vya mwili

    Jul 30, 2019 02:59

    Kundi la Vipanga (Falcons) la shirika la upelelezi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq limetangaza kuwa, kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al Baghdadi amejificha Syria na angali na satua baina ya wafuasi wa kundi hilo japokuwa amepooza viungo.

  • Mkuu wa Muungano wa al Fat'h asema, watawala wa Bahrain watakumbwa na hatima kama ya Saddam na Gaddafi

    Mkuu wa Muungano wa al Fat'h asema, watawala wa Bahrain watakumbwa na hatima kama ya Saddam na Gaddafi

    Jul 28, 2019 15:51

    Mwenyekiti wa Muungano wa al Fat'h nchini Iraq amesema kuwa hatua ya utawala wa Bahrain ya kuwanyonga vijana wawili wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia ina maana ya mwisho wa utawala wa ukoo wa Aal Khalifa sawa kabisa na hatima iliyowapata madikteta walioangamizwa wa Iraq na Libya.

  • Waziri Mkuu wa Iraq atoa amri ya kuundwa tume ya uchunguzi ya kubaini ukweli

    Waziri Mkuu wa Iraq atoa amri ya kuundwa tume ya uchunguzi ya kubaini ukweli

    Jul 20, 2019 08:10

    Waziri Mkuu wa Iraq Adil Abdul-Mahdi ametoa amri ya kuundwa kamati ya uchunguzi kwa ajili ya kuchunguza shambulio la anga lililotekelezwa katika kambi ya Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi katika jimbo la Salah ad Din.

  • Waziri wa Mafuta wa Daesh (ISIL) auawa na askari wa Iraq nchini Syria

    Waziri wa Mafuta wa Daesh (ISIL) auawa na askari wa Iraq nchini Syria

    Jul 20, 2019 08:02

    Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Daesh ameangamizwa na vikosi vya kiintelijensia vya Iran katika mkoa wa Deir Ezzur, mashariki mwa Syria.

  • Marekani yaiwekea vikwazo harakati ya Hashd al Shaabi ya Iraq

    Marekani yaiwekea vikwazo harakati ya Hashd al Shaabi ya Iraq

    Jul 19, 2019 06:24

    Naibu Rais wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo imeamua kuwawekea vikwazo makamanda wanne waandamizi wa harakati ya wananchi ya Hashd al Shaabi ya Iraq.

  • Wabunge wa Iraq: Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni kituo cha Mossad na Daesh

    Wabunge wa Iraq: Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni kituo cha Mossad na Daesh

    Jul 15, 2019 11:51

    Mbunge mwenye ushawishi mkubwa wa Iraq amefichua kwamba, ubalozi wa Marekani mjini Baghdad unajihusisha na harakati zinazotia wasiwasi na kwamba maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad, na kundi la kigaidi la Daesh wamekuwa wakionekana wakiingia na kutoka katika jengo la ubalozi huo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kujitoa Marekani katika JCPOA, sababu kuu ya mgogoro Mashariki ya Kati

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kujitoa Marekani katika JCPOA, sababu kuu ya mgogoro Mashariki ya Kati

    Jul 14, 2019 02:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amefanya mazungumzo na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya mjini Baghdad ambapo alisema kuwa hatua ya Marekani ya kujitoa kwa upande mmoja katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni sababu kuu ya mgogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Nouri al-Maliki: Hashdu sh-Sha'abi inadhamini usalama wa Iraq

    Nouri al-Maliki: Hashdu sh-Sha'abi inadhamini usalama wa Iraq

    Jul 13, 2019 07:02

    Nouri al-Maliki, Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq amesema kuwa, wapiganaji wa kujitolea wa Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi, wanadhamini usalama wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS