Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Malengo na umuhimu wa safari ya Amir wa Kuwait nchini Iraq

    Malengo na umuhimu wa safari ya Amir wa Kuwait nchini Iraq

    Jun 21, 2019 02:40

    Swabah al-Ahmad al-Jabir as-Swabah Amir wa Kuwait siku ya Jumatano alifanya safari nchini Iraq ambapo alilakiwa na kufanya mazungumzo na Rais Barham Swaleh wa nchini hiyo.

  • Hizbullah ya Iraq: Uwepo wa askari wa kigeni ni tishio kwa usalama wa taifa na kwa majirani

    Hizbullah ya Iraq: Uwepo wa askari wa kigeni ni tishio kwa usalama wa taifa na kwa majirani

    Jun 20, 2019 07:15

    Kwa mara nyingine Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesisitizia kuondoka askari magaidi wa Kimarakeni katika ardhi ya nchi hiyo kama njia ya kuimarisha uthabiti na usalama wa Iraq.

  • Iraq: Marekani ihitimishe siasa zake za kupenda vita na ifuate njia ya mazungumzo

    Iraq: Marekani ihitimishe siasa zake za kupenda vita na ifuate njia ya mazungumzo

    Jun 02, 2019 23:48

    Rais Barham Ahmed Salih wa Iraq ameitaka serikali ya Marekani kuhitimisha siasa zake za kupenda vita na kuibua mizozo kupitia miamala yake hasi katika eneo la Asia Magharibi na badala yake ifuate mkondo wa mazungumzo.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq: Kuna baadhi hawaoni mambo mema ya Iran

    Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq: Kuna baadhi hawaoni mambo mema ya Iran

    Jun 01, 2019 22:06

    Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq, Nouri al-Maliki amesema kuwa, baadhi ya viongozi wa nchi za Kiarabu ni wakaidi kupindukia na wanajifanya hawaoni nafasi muhimu na uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kadhia ya Palestina na kupigania kwake usalama wa mataifa ya eneo hili.

  • Iraq yawahukumu kifo raia wa Ufaransa waliojiunga na ISIS (Daesh)

    Iraq yawahukumu kifo raia wa Ufaransa waliojiunga na ISIS (Daesh)

    May 26, 2019 23:48

    Mahakama nchini Iraq imewahukumu adhabu ya kunyongwa raia watatu wa Ufaransa, waliopatikana na hatia ya kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Wairaq wafanya maandamano makubwa kulaani siasa za Marekani dhidi ya Iran

    Wairaq wafanya maandamano makubwa kulaani siasa za Marekani dhidi ya Iran

    May 26, 2019 06:56

    Maelfu ya raia wa Iraq wamefanya maandamano makubwa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mkoa wa Baghdad na Basra wakilalamikia siasa za uhasama za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Harakati ya al-Nujaba ya Iraq: Marekani inatafuta wenzo wa kuibua machafuko Asia Magharibi

    Harakati ya al-Nujaba ya Iraq: Marekani inatafuta wenzo wa kuibua machafuko Asia Magharibi

    May 20, 2019 05:23

    Mkuu wa Baraza la Utendaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujaba nchini Iraq, Nasr al-Shammari amesema kuwa, Marekani inafuatilia wenzo wa kuibua machafuko katika eneo eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ikiwemo Iraq.

  • Kamanda wa Iraq: Mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran ni dalili ya upumbavu

    Kamanda wa Iraq: Mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran ni dalili ya upumbavu

    May 19, 2019 20:50

    Kamanda wa ngazi za juu wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq amesema hatua ya Marekani kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaashiria 'upumbavu mpya' na hali ya kukanganyikiwa Washington.

  • Viongozi wa Iraq wamwambia Pompeo, Baghdad itaendelea kuwa rafiki wa Iran

    Viongozi wa Iraq wamwambia Pompeo, Baghdad itaendelea kuwa rafiki wa Iran

    May 08, 2019 07:53

    Waziri Mkuu na Rais wa Iraq wamemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwamba Baghdad itaendelea kuimarisha ushirikiano, urafiki na majirani wake ikiwemo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Pompeo: Safari nchini Iraq ilikuwa kuhusiana na Iran

    Pompeo: Safari nchini Iraq ilikuwa kuhusiana na Iran

    May 08, 2019 03:23

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ameitaja safari yake ya ghafla huko Baghdad kuwa inahusiana na mivutano ya sasa kati ya nchi hiyo na Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS