Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Siasa athirifu za nje, kiashiria cha serikali mpya ya Iraq

    Siasa athirifu za nje, kiashiria cha serikali mpya ya Iraq

    Apr 22, 2019 01:32

    Jumamosi iliyopita Baghdad mji mkuu wa Iraq, ulikuwa mwenyeji wa kikao cha siku moja cha jumbe za mabunge ya nchi jirani zinazojumuisha Iran, Saudi Arabia, Uturuki, Syria, Jordan na Kuwait.

  • Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq

    Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq

    Apr 21, 2019 06:39

    Duru za habari zimeripoti kuwa mwanajeshi mmoja gaidi wa Marekani ameuawa kaskazini mwa Iraq.

  • Wairaqi wafanya onyesho kubwa la 'Shukurani kwa Iran' katika siku ya kukumbuka kuundwa harakati ya Hashdu sh-Sha'abi

    Wairaqi wafanya onyesho kubwa la 'Shukurani kwa Iran' katika siku ya kukumbuka kuundwa harakati ya Hashdu sh-Sha'abi

    Apr 20, 2019 04:35

    Sambamba na Wairaqi kusherehekea siku ilipoundwa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini humo katika onyesho kubwa lililofanyika mjini Baghdad, mji mkuu wa Iraq, wameshukuru nafasi chanya ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH la nchi hii kwa mchango wao mkubwa kwenye vita dhidi ya kundi hatari la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).

  • Sababu ya umuhimu wa kufikiwa makubaliano ya Iraq na Syria kwa ajili ya kufunguliwa vivuko vya kiistratijia

    Sababu ya umuhimu wa kufikiwa makubaliano ya Iraq na Syria kwa ajili ya kufunguliwa vivuko vya kiistratijia

    Apr 14, 2019 02:30

    Serikali ya Iraq imetangaza habari ya kufikiwa makubaliano na Syria juu ya kufunguliwa vivuko vya pamoja vya mpakani.

  • Rais Barham Salih wa Iraq: Kamwe nchi yetu haitakuwa ngome kwa ajili ya kuwaudhi majirani zetu

    Rais Barham Salih wa Iraq: Kamwe nchi yetu haitakuwa ngome kwa ajili ya kuwaudhi majirani zetu

    Apr 12, 2019 07:50

    Rais Barham Salih wa Iraq amesema kuwa, kamwe nchi hiyo haiwezi kukubali kugeuka kwa aina yoyote kuwa ngome ya kieneo kwa ajili ya kuziudhi nchi majirani.

  • Rais Rouhani: Ushirikiano wa Iran na Iraq utastawi zaidi

    Rais Rouhani: Ushirikiano wa Iran na Iraq utastawi zaidi

    Apr 06, 2019 14:52

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amehimiza kustawishwa zaidi uhusiano wa nchi yake na Iraq katika pande zote.

  • Waziri Mkuu wa Iraq awasili Iran katika safari ya kuimarisha uhusiano wa Baghdad na Tehran

    Waziri Mkuu wa Iraq awasili Iran katika safari ya kuimarisha uhusiano wa Baghdad na Tehran

    Apr 06, 2019 07:56

    Waziri Mkuu wa Iraq amewasili hapa nchini mapema leo katika ziara yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa Tehran na Baghdad.

  • Rais Barham Salih wa Iraq: Mfumo wowote wa eneo hili hauwezi kuipuuza Iran

    Rais Barham Salih wa Iraq: Mfumo wowote wa eneo hili hauwezi kuipuuza Iran

    Apr 03, 2019 01:17

    Rais Barham Salih wa Iraq amesema kuwa, hakuna mfumo wowote mpya katika eneo la Asia Magharibi unaoweza kuipuuza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kama ambavyo hauwezi pia kufumbia macho umuhimu wa taifa la Iraq.

  • Wairaq watangaza mshikamano na waathiriwa wa mafuriko nchini Iran

    Wairaq watangaza mshikamano na waathiriwa wa mafuriko nchini Iran

    Mar 31, 2019 13:15

    Kufuatia mafuriko yaliyoikumba mikoa kadhaa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, makundi tofauti ya Wairaq yametangaza mshikamano wao na waathirika wa mafuriko hayo kwa kuchukua hatua ya kukusanya misaada ya fedha na isiyo ya fedha kwa ajili ya watu hao.

  • Makaburi tisa ya umati yagunduliwa katika mji wa Sinjar, Iraq

    Makaburi tisa ya umati yagunduliwa katika mji wa Sinjar, Iraq

    Mar 18, 2019 14:32

    Mjumbe wa Kamati ya Haki za Binadamu ya Iraq ametangaza taarifa ya kugunduliwa makaburi 9 ya umati ya raia wa Kiizadi waliouliwa na kundi la kigaidi la Daesh katika mji wa Sinjar wa magharibi mwa mkoa wa Nainawa (Nineveh) huko Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS