-
Harakati ya Nujaba ya Iraq: Tutaendelea kupambana na Marekani na utawala haramu wa Israel
May 07, 2019 20:55Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujaba nchini Iraq ameitaja Marekani na utawala haramu wa Kizayuni kuwa chanzo cha shari duniani na kusisitiza kwamba wataendeleza mapambano yao dhidi ya shari hizo.
-
Jeshi la Iraq lafelisha njama za genge la Daesh (ISIS) za kutaka kurejea tena nchini humo
May 04, 2019 21:57Maafisa usalama nchini Iraq wametangaza kwamba, kikosi cha upelelezi cha nchi hiyo kimefanikiwa kufelisha njama za magaidi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa ajili ya kuandaa mazingira ya kurejea tena ndani ya nchi hiyo.
-
Kama si Iran leo Iraq na Syria zingekuwa zimegawanyika vipande vipande
May 02, 2019 03:29Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran asema uthabiti na usalama katika eneo umepatikana kwa gharama kubwa na kuongeza kuwa: "Kama si ushirikiano wa kujitolea wa Iran, leo Iraq na Syria zingekuwa zimegawanyika vipande vipande mikononi mwa waovu na maadui wa amani na usalama."
-
Jasusi aliyesababisha mauaji ya kikatili ya watu 40 Iraq atiwa mbaroni
May 01, 2019 09:33Shirika la Ujasusi wa Kijeshi la Iraq limetangaza habari ya kutiwa mbaroni jasusi mmoja wa genge la ukufurishaji la Daesh (ISIS) mjini Mosul ambaye alisababisha watu 40 kuuliwa kikatili nchini humo.
-
Usalama warejea Syria, wafanyaziara wa Iraq waingia kwa mabasi baada ya miaka 5 ya vita
Apr 23, 2019 05:20Vyombo vya habari nchini Iraq vimeripoti kwamba kwa mara ya kwanza mabasi yaliyowabeba wafanyaziara wa Iraq yameingia Syria kwa ajili ya kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya kidini ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
-
Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq yataka kufurushwa haraka askari wa Marekani kaskazini mwa nchi hiyo
Apr 22, 2019 09:15Msemaji wa Hashdu sh-Sha'abi nchni Iraq upande wa kaskazini wa mchi hiyo ameashiria ukwamishaji mambo wa Marekani kwa shughuli za jeshi la Iraq kwa ajili ya kutokomeza harakati za siri za genge la kigaidi la Daesh (ISIS), na hivyo ametaka kufurushwa askari wa Kimarekani nchini humo.
-
Siasa athirifu za nje, kiashiria cha serikali mpya ya Iraq
Apr 21, 2019 21:02Jumamosi iliyopita Baghdad mji mkuu wa Iraq, ulikuwa mwenyeji wa kikao cha siku moja cha jumbe za mabunge ya nchi jirani zinazojumuisha Iran, Saudi Arabia, Uturuki, Syria, Jordan na Kuwait.
-
Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq
Apr 21, 2019 02:09Duru za habari zimeripoti kuwa mwanajeshi mmoja gaidi wa Marekani ameuawa kaskazini mwa Iraq.
-
Wairaqi wafanya onyesho kubwa la 'Shukurani kwa Iran' katika siku ya kukumbuka kuundwa harakati ya Hashdu sh-Sha'abi
Apr 20, 2019 00:05Sambamba na Wairaqi kusherehekea siku ilipoundwa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini humo katika onyesho kubwa lililofanyika mjini Baghdad, mji mkuu wa Iraq, wameshukuru nafasi chanya ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH la nchi hii kwa mchango wao mkubwa kwenye vita dhidi ya kundi hatari la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).
-
Sababu ya umuhimu wa kufikiwa makubaliano ya Iraq na Syria kwa ajili ya kufunguliwa vivuko vya kiistratijia
Apr 13, 2019 22:00Serikali ya Iraq imetangaza habari ya kufikiwa makubaliano na Syria juu ya kufunguliwa vivuko vya pamoja vya mpakani.