Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran

    Mar 18, 2019 01:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq amesisitiza kuwa, Marekani haina ruhusu ya kuzichukulia hatua nchi jirani hususan Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia ardhi ya Iraq.

  • Kumalizaka mazungumzo ya siku tatu ya Sheikhe mwanadiplomasia nchini Iraq

    Kumalizaka mazungumzo ya siku tatu ya Sheikhe mwanadiplomasia nchini Iraq

    Mar 14, 2019 11:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano alihitimisha mazungumzo yake na viongozi wa Iraq katika safari yake ya siku tatu nchini humo kwa kufika mji mtakatifu wa Najaf na kufanya mazungumzo na Ayatullah Sistani, marjaa taqlid wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.

  • Rouhani: Nchi za Magharibi hazikuhusika katika kungamizwa magaidi katika eneo

    Rouhani: Nchi za Magharibi hazikuhusika katika kungamizwa magaidi katika eneo

    Mar 12, 2019 16:45

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Watu wote wanajua kuwa, madola ya Magharibi hayajahusika hata kidogo katika jitihada za kuangamizwa magaidi katika eneo la Asia Magharibi na walirusha ndege na helikopta zao angani kimaonyesho tu.

  • Zarif: Marekani haiwezi kuzuia kustawi uhusiano wa Iran na Iraq

    Zarif: Marekani haiwezi kuzuia kustawi uhusiano wa Iran na Iraq

    Mar 12, 2019 07:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani haina uwezo wa kusimamisha uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Iraq, na kwamba serikali ya Baghdad imejenga uhusiano huo katika misingi ya matakwa na maslahi ya taifa hilo.

  • Zarif: Uhusiano wa Iran na Iraq ni wa kihistoria, Marekani haiwezi kuaminika

    Zarif: Uhusiano wa Iran na Iraq ni wa kihistoria, Marekani haiwezi kuaminika

    Mar 10, 2019 07:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema, Marekani inaishinikiza Iraq ikate uhusiano wake na Iran lakini katu wakuu wa Washington hawatafanikiwa katika hilo.

  • Jibu la Wairaqi kwa vita vya kinafsi vya Marekani dhidi ya makundi ya Muqawama

    Jibu la Wairaqi kwa vita vya kinafsi vya Marekani dhidi ya makundi ya Muqawama

    Mar 08, 2019 02:26

    Msemaji wa Harakati ya al Nujaba ya Iraq ametangaza kuwa, hatua ya Marekani ya kuiweka harakati hiyo katika orodha ya makundi ya kigaidi ni vita vya kinafsi na haiwezi kubadili lolote.

  • Iran na Iraq zakaribia kufungua ukurasa mpya wa ushirikiano

    Iran na Iraq zakaribia kufungua ukurasa mpya wa ushirikiano

    Mar 07, 2019 11:04

    Spika wa bunge la Iraq katika ziara yake hapa Tehran ameonana na kufanya mazungumzo na maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kujadili kuimarisha ushirikiano kati ya pande mbili.

  • Qassemi: Iran haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani na nje

    Qassemi: Iran haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani na nje

    Mar 04, 2019 14:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haikubali masharti na haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani ya nje.

  • Iraq yachunguza kuuzwa kwa wanawake wa Kiizadi katika nchi za Kiarabu

    Iraq yachunguza kuuzwa kwa wanawake wa Kiizadi katika nchi za Kiarabu

    Mar 03, 2019 15:36

    Mwakilishi wa zamani wa kaumu wa Waizadi katika Bunge la Iraq amesema mpango wa kufanyika uchunguzi kuhusu ripoti ya kuuzwa wanawake wa kaumu hiyo huko Saudi Arabia na katika nchi nyingine za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi ungali unaendelea.

  • Jumapili 24 Februari 2019

    Jumapili 24 Februari 2019

    Feb 24, 2019 02:41

    Leo ni Jumapili tarehe 18 Jamadith-Thani 1440 Hijiria, sawa na tarehe 24 Februari, 2019 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS