-
Changamoto zinazomkabili Adil Abdul-Mahdi kwa ajili ya kuunda baraza la mawaziri nchini Iraq
Oct 09, 2018 12:01Baada ya Adil Abdul-Mahdi kuchaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Iraq, tayari kumeanza mazungumzo na mashauriano yenye lengo la kuunda baraza la mawaziri nchini humo.
-
Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel
Oct 05, 2018 15:44Denis Mukwege, daktari bingwa wa upasuaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na mwanaharakati wa Iraq, Nadia Murad wametangazwa washindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka huu 2018.
-
Al Hashdu Sha'abi: Al Baghdadi ameponea chupuchupu kuuawa na makombora ya Iran
Oct 05, 2018 08:14Kamanda mmoja wa kikosi cha wapiganaji wa kujitolea nchini Iraq cha al Hashdu Sha'abi ametangaza kuwa Abubakar al Baghdadi kamanda wa kundi la kigaidi la Daesh alinusurika kifo wakati Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran liliposhambulia makao ya viongozi wa kundi hilo la kigaidi huko mashariki mwa Furat nchini Syria Jumamosi iliyopita.
-
Jumatano tarehe 3 Oktoba 2018
Oct 03, 2018 02:39Leo ni Jumatano tarehe 23 Muharram 1440 Hijria sawa na Oktoba 3, mwaka 2018.
-
Ibrahim al-Jaafari: Madai ya Netanyahu juu ya uwepo wa askari wa Iran nchini Iraq ni uongo mtupu + Video
Sep 29, 2018 15:13Ibrahim al-Jaafari, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq ametupilia mbali madai yasiyo na msingi wowote ya Waziri Mkuu wa utawala Haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu juu ya uwepo wa askari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Iraq na kuongeza kuwa, maneno hayo ni uongo mtupu.
-
Hashdu sh-Sha'abi yaonya juu ya njama za Marekani za kuwaingiza Iraq magaidi wa Daesh
Sep 25, 2018 02:24Msemaji wa kamandi ya upande wa kaskazini ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya nchini Iraq ameonya juu ya njama za Marekani za kuwasaidia magaidi wa genge la Daesh (ISIS) kutoka Idlib, Syria kuingia nchini humo.
-
Marekani yatuma wanajeshi wake katika mpaka wa Iraq na Syria
Sep 22, 2018 03:04Duru za Iraq zimearifu kuwa Marekani imetuma wanajeshi wake karibu na kivuko cha al Qaim katika mpaka wa Iraq na Syria.
-
Wabunge wa Kisuni Iraq: Marekani inatushinikiza tumteue tena Haider al-Abadi kuwa Waziri Mkuu
Sep 20, 2018 15:23Mjumbe wa Mrengo wa Ujenzi wa Iraq ambaye pia ni mbunge wa Kisuni katika Bunge la nchi hiyo amefichua kuwa serikali ya Marekani inawashinikiza wabunge wote wa Kisuni nchini Iraq wamuungE mkono Haider al-Abadi ili ateuliwe tena kuwa waziri mkuu.
-
Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi
Sep 13, 2018 02:39Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Marekani kwamba Tehran imehusika katika machafuko ya mji wa Basra nchini Iraq ni ya kipuuzi, ya kichochezi na yasiyokuwa na msingi.
-
Sisitizo la Ibrahim Jaafari la kuondoka wanajeshi wa Uturuki huko Iraq
Sep 12, 2018 07:45Ibrahim Jaafari Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesisitiza kuondoka haraka iwezekanavyo wanajeshi wa Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.