Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Changamoto zinazomkabili Adil Abdul-Mahdi kwa ajili ya kuunda baraza la mawaziri nchini Iraq

    Changamoto zinazomkabili Adil Abdul-Mahdi kwa ajili ya kuunda baraza la mawaziri nchini Iraq

    Oct 09, 2018 12:01

    Baada ya Adil Abdul-Mahdi kuchaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Iraq, tayari kumeanza mazungumzo na mashauriano yenye lengo la kuunda baraza la mawaziri nchini humo.

  • Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel

    Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel

    Oct 05, 2018 15:44

    Denis Mukwege, daktari bingwa wa upasuaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na mwanaharakati wa Iraq, Nadia Murad wametangazwa washindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka huu 2018.

  • Al Hashdu Sha'abi: Al Baghdadi ameponea chupuchupu kuuawa na makombora ya Iran

    Al Hashdu Sha'abi: Al Baghdadi ameponea chupuchupu kuuawa na makombora ya Iran

    Oct 05, 2018 08:14

    Kamanda mmoja wa kikosi cha wapiganaji wa kujitolea nchini Iraq cha al Hashdu Sha'abi ametangaza kuwa Abubakar al Baghdadi kamanda wa kundi la kigaidi la Daesh alinusurika kifo wakati Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran liliposhambulia makao ya viongozi wa kundi hilo la kigaidi huko mashariki mwa Furat nchini Syria Jumamosi iliyopita.

  • Jumatano tarehe 3 Oktoba 2018

    Jumatano tarehe 3 Oktoba 2018

    Oct 03, 2018 02:39

    Leo ni Jumatano tarehe 23 Muharram 1440 Hijria sawa na Oktoba 3, mwaka 2018.

  • Ibrahim al-Jaafari: Madai ya Netanyahu juu ya uwepo wa askari wa Iran nchini Iraq ni uongo mtupu + Video

    Ibrahim al-Jaafari: Madai ya Netanyahu juu ya uwepo wa askari wa Iran nchini Iraq ni uongo mtupu + Video

    Sep 29, 2018 15:13

    Ibrahim al-Jaafari, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq ametupilia mbali madai yasiyo na msingi wowote ya Waziri Mkuu wa utawala Haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu juu ya uwepo wa askari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Iraq na kuongeza kuwa, maneno hayo ni uongo mtupu.

  • Hashdu sh-Sha'abi yaonya juu ya njama za Marekani za kuwaingiza Iraq magaidi wa Daesh

    Hashdu sh-Sha'abi yaonya juu ya njama za Marekani za kuwaingiza Iraq magaidi wa Daesh

    Sep 25, 2018 02:24

    Msemaji wa kamandi ya upande wa kaskazini ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya nchini Iraq ameonya juu ya njama za Marekani za kuwasaidia magaidi wa genge la Daesh (ISIS) kutoka Idlib, Syria kuingia nchini humo.

  • Marekani yatuma wanajeshi wake katika mpaka wa Iraq na Syria

    Marekani yatuma wanajeshi wake katika mpaka wa Iraq na Syria

    Sep 22, 2018 03:04

    Duru za Iraq zimearifu kuwa Marekani imetuma wanajeshi wake karibu na kivuko cha al Qaim katika mpaka wa Iraq na Syria.

  • Wabunge wa Kisuni Iraq: Marekani inatushinikiza tumteue tena Haider al-Abadi kuwa Waziri Mkuu

    Wabunge wa Kisuni Iraq: Marekani inatushinikiza tumteue tena Haider al-Abadi kuwa Waziri Mkuu

    Sep 20, 2018 15:23

    Mjumbe wa Mrengo wa Ujenzi wa Iraq ambaye pia ni mbunge wa Kisuni katika Bunge la nchi hiyo amefichua kuwa serikali ya Marekani inawashinikiza wabunge wote wa Kisuni nchini Iraq wamuungE mkono Haider al-Abadi ili ateuliwe tena kuwa waziri mkuu.

  • Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi

    Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi

    Sep 13, 2018 02:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Marekani kwamba Tehran imehusika katika machafuko ya mji wa Basra nchini Iraq ni ya kipuuzi, ya kichochezi na yasiyokuwa na msingi.

  • Sisitizo la Ibrahim Jaafari la kuondoka wanajeshi wa Uturuki huko Iraq

    Sisitizo la Ibrahim Jaafari la kuondoka wanajeshi wa Uturuki huko Iraq

    Sep 12, 2018 07:45

    Ibrahim Jaafari Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesisitiza kuondoka haraka iwezekanavyo wanajeshi wa Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS