-
Hashdu Sha'abi: Marekani ndio inayochochea ghasia Basra, Iraq
Sep 09, 2018 07:12Kamanda wa ngazi za juu wa kikosi cha kujitolea cha wananchi nchini Iraq cha Hashdu Sha'abi amesema harkati hiyo ya wananchi tayari imewakabidhi maafisa wa serikali ya Baghdad ushahidi unaoonesha kuwa ubalozi mdogo wa Marekani mjini Basra ndio uliohusika katika kuratibu na kuchochea machafuko yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa katika mkoa wa Basra, kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Malalamiko ya wananchi wa Basra ni ya haki
Sep 08, 2018 14:33Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, anakubaliana na mpango wa kuungalia mkoa wa Basra kwa mtazamo maalumu katika baadhi ya vipengee vinavyohusiana na utekelezaji wa bajeti na maamuzi ya serikali.
-
Kundi la Asa'ib Ahl al-Haq: Wanaofanya ghasia mkoa wa Basra, Iraq wanatekeleza malengo ya Marekani
Sep 08, 2018 07:14Katibu Mkuu wa kundi la Asa'ib Ahl al-Haq ambalo ni sehemu ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq, amesema kuwa watu wanaofanya ghasia katika mkoa wa Basra, wanatekeleza malengo maalumu kupitia maandamano.
-
Mahakama Iraq yawafunga maisha jela magaidi wa ISIS
Sep 03, 2018 02:42Mahakama nchini Iraq imewafunga kifungo cha maisha gerezani watu wanne ambao wamepatikana na hatia ya kujiunga na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh.
-
Kuendelea kupingwa uingiliaji wa Marekani katika mchakato wa kuundwa serikali mpya nchini Iraq
Aug 31, 2018 06:31Kongresi ya Taifa ya Iraq imesisitiza kuwa, uingilkiaji wa Marekani katika suala la kuundwa serikali mpya ya nchi hiyo umezidi kuvuruga hali ya kisiasa na kuzidi kuufanya tata mwenendo wa kisiasa wa Iraq.
-
Jumatatu tarehe 27 Agosti 2018
Aug 27, 2018 03:21Leo ni Jumatatu tarehe 15 Dhilhija 1439 Hijria sawa na 27 Agosti 2018.
-
Ammar al Hakim: Iraq haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo dhidi ya Iran
Aug 23, 2018 01:39Sayyid Ammar al Hakim, kiongozi wa mrengo wa al Hikma wa Iraq kwa mara nyingine amemuonya rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu vikwazo vyake dhidi ya Iran na kusema kuwa, Baghdad haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo vya kiuchumi vinavyowekwa na Washington dhidi ya taifa la Iran.
-
Wairaqi wapinga kufunguliwa ubalozi mdogo wa Saudia huko Basra
Aug 21, 2018 07:47Wananchi wa mkoa wa Basra nchini Iraq wamefanya maandamano makubwa sambamba na kuenea tetesi kuhusu uwezekano wa kufunguliwa ubalozi mdogo wa Saudi Arabia katika eneo hilo.
-
Rais wa Iraq: Uhusiano wa Tehran na Baghdad ni mzuri
Aug 20, 2018 03:55Rais wa Iraq amevitaja vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni kwa madhara ya serikali na wananchi wa Iraq.
-
Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq
Aug 04, 2018 01:25Marekani imeyataarifa makundi mbalimbali ya Iraq kwamba Haider al-Abadi ndiye chaguo la Washington kwa ajili ya nafasi ya Waziri Mkuu mpya wa Iraq.