Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Hashdu Sha'abi: Marekani ndio inayochochea ghasia Basra, Iraq

    Hashdu Sha'abi: Marekani ndio inayochochea ghasia Basra, Iraq

    Sep 09, 2018 07:12

    Kamanda wa ngazi za juu wa kikosi cha kujitolea cha wananchi nchini Iraq cha Hashdu Sha'abi amesema harkati hiyo ya wananchi tayari imewakabidhi maafisa wa serikali ya Baghdad ushahidi unaoonesha kuwa ubalozi mdogo wa Marekani mjini Basra ndio uliohusika katika kuratibu na kuchochea machafuko yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa katika mkoa wa Basra, kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Malalamiko ya wananchi wa Basra ni ya haki

    Waziri Mkuu wa Iraq: Malalamiko ya wananchi wa Basra ni ya haki

    Sep 08, 2018 14:33

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, anakubaliana na mpango wa kuungalia mkoa wa Basra kwa mtazamo maalumu katika baadhi ya vipengee vinavyohusiana na utekelezaji wa bajeti na maamuzi ya serikali.

  • Kundi la Asa'ib Ahl al-Haq: Wanaofanya ghasia mkoa wa Basra, Iraq wanatekeleza malengo ya Marekani

    Kundi la Asa'ib Ahl al-Haq: Wanaofanya ghasia mkoa wa Basra, Iraq wanatekeleza malengo ya Marekani

    Sep 08, 2018 07:14

    Katibu Mkuu wa kundi la Asa'ib Ahl al-Haq ambalo ni sehemu ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq, amesema kuwa watu wanaofanya ghasia katika mkoa wa Basra, wanatekeleza malengo maalumu kupitia maandamano.

  • Mahakama Iraq yawafunga maisha jela magaidi wa ISIS

    Mahakama Iraq yawafunga maisha jela magaidi wa ISIS

    Sep 03, 2018 02:42

    Mahakama nchini Iraq imewafunga kifungo cha maisha gerezani watu wanne ambao wamepatikana na hatia ya kujiunga na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh.

  • Kuendelea kupingwa uingiliaji wa Marekani katika mchakato wa kuundwa serikali mpya nchini Iraq

    Kuendelea kupingwa uingiliaji wa Marekani katika mchakato wa kuundwa serikali mpya nchini Iraq

    Aug 31, 2018 06:31

    Kongresi ya Taifa ya Iraq imesisitiza kuwa, uingilkiaji wa Marekani katika suala la kuundwa serikali mpya ya nchi hiyo umezidi kuvuruga hali ya kisiasa na kuzidi kuufanya tata mwenendo wa kisiasa wa Iraq.

  • Jumatatu tarehe 27 Agosti 2018

    Jumatatu tarehe 27 Agosti 2018

    Aug 27, 2018 03:21

    Leo ni Jumatatu tarehe 15 Dhilhija 1439 Hijria sawa na 27 Agosti 2018.

  • Ammar al Hakim: Iraq haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo dhidi ya Iran

    Ammar al Hakim: Iraq haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo dhidi ya Iran

    Aug 23, 2018 01:39

    Sayyid Ammar al Hakim, kiongozi wa mrengo wa al Hikma wa Iraq kwa mara nyingine amemuonya rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu vikwazo vyake dhidi ya Iran na kusema kuwa, Baghdad haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo vya kiuchumi vinavyowekwa na Washington dhidi ya taifa la Iran.

  • Wairaqi wapinga kufunguliwa ubalozi mdogo wa Saudia huko Basra

    Wairaqi wapinga kufunguliwa ubalozi mdogo wa Saudia huko Basra

    Aug 21, 2018 07:47

    Wananchi wa mkoa wa Basra nchini Iraq wamefanya maandamano makubwa sambamba na kuenea tetesi kuhusu uwezekano wa kufunguliwa ubalozi mdogo wa Saudi Arabia katika eneo hilo.

  • Rais wa Iraq: Uhusiano wa Tehran na Baghdad ni mzuri

    Rais wa Iraq: Uhusiano wa Tehran na Baghdad ni mzuri

    Aug 20, 2018 03:55

    Rais wa Iraq amevitaja vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni kwa madhara ya serikali na wananchi wa Iraq.

  • Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq

    Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq

    Aug 04, 2018 01:25

    Marekani imeyataarifa makundi mbalimbali ya Iraq kwamba Haider al-Abadi ndiye chaguo la Washington kwa ajili ya nafasi ya Waziri Mkuu mpya wa Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS