Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Hashdu sh-Sha'abi yaonya juu ya njama za Marekani za kuwaingiza Iraq magaidi wa Daesh

    Hashdu sh-Sha'abi yaonya juu ya njama za Marekani za kuwaingiza Iraq magaidi wa Daesh

    Sep 24, 2018 22:54

    Msemaji wa kamandi ya upande wa kaskazini ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya nchini Iraq ameonya juu ya njama za Marekani za kuwasaidia magaidi wa genge la Daesh (ISIS) kutoka Idlib, Syria kuingia nchini humo.

  • Marekani yatuma wanajeshi wake katika mpaka wa Iraq na Syria

    Marekani yatuma wanajeshi wake katika mpaka wa Iraq na Syria

    Sep 21, 2018 23:34

    Duru za Iraq zimearifu kuwa Marekani imetuma wanajeshi wake karibu na kivuko cha al Qaim katika mpaka wa Iraq na Syria.

  • Wabunge wa Kisuni Iraq: Marekani inatushinikiza tumteue tena Haider al-Abadi kuwa Waziri Mkuu

    Wabunge wa Kisuni Iraq: Marekani inatushinikiza tumteue tena Haider al-Abadi kuwa Waziri Mkuu

    Sep 20, 2018 10:53

    Mjumbe wa Mrengo wa Ujenzi wa Iraq ambaye pia ni mbunge wa Kisuni katika Bunge la nchi hiyo amefichua kuwa serikali ya Marekani inawashinikiza wabunge wote wa Kisuni nchini Iraq wamuungE mkono Haider al-Abadi ili ateuliwe tena kuwa waziri mkuu.

  • Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi

    Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi

    Sep 12, 2018 22:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Marekani kwamba Tehran imehusika katika machafuko ya mji wa Basra nchini Iraq ni ya kipuuzi, ya kichochezi na yasiyokuwa na msingi.

  • Sisitizo la Ibrahim Jaafari la kuondoka wanajeshi wa Uturuki huko Iraq

    Sisitizo la Ibrahim Jaafari la kuondoka wanajeshi wa Uturuki huko Iraq

    Sep 12, 2018 03:15

    Ibrahim Jaafari Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesisitiza kuondoka haraka iwezekanavyo wanajeshi wa Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Hashdu Sha'abi: Marekani ndio inayochochea ghasia Basra, Iraq

    Hashdu Sha'abi: Marekani ndio inayochochea ghasia Basra, Iraq

    Sep 09, 2018 02:42

    Kamanda wa ngazi za juu wa kikosi cha kujitolea cha wananchi nchini Iraq cha Hashdu Sha'abi amesema harkati hiyo ya wananchi tayari imewakabidhi maafisa wa serikali ya Baghdad ushahidi unaoonesha kuwa ubalozi mdogo wa Marekani mjini Basra ndio uliohusika katika kuratibu na kuchochea machafuko yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa katika mkoa wa Basra, kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Malalamiko ya wananchi wa Basra ni ya haki

    Waziri Mkuu wa Iraq: Malalamiko ya wananchi wa Basra ni ya haki

    Sep 08, 2018 10:03

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, anakubaliana na mpango wa kuungalia mkoa wa Basra kwa mtazamo maalumu katika baadhi ya vipengee vinavyohusiana na utekelezaji wa bajeti na maamuzi ya serikali.

  • Kundi la Asa'ib Ahl al-Haq: Wanaofanya ghasia mkoa wa Basra, Iraq wanatekeleza malengo ya Marekani

    Kundi la Asa'ib Ahl al-Haq: Wanaofanya ghasia mkoa wa Basra, Iraq wanatekeleza malengo ya Marekani

    Sep 08, 2018 02:44

    Katibu Mkuu wa kundi la Asa'ib Ahl al-Haq ambalo ni sehemu ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq, amesema kuwa watu wanaofanya ghasia katika mkoa wa Basra, wanatekeleza malengo maalumu kupitia maandamano.

  • Mahakama Iraq yawafunga maisha jela magaidi wa ISIS

    Mahakama Iraq yawafunga maisha jela magaidi wa ISIS

    Sep 02, 2018 22:12

    Mahakama nchini Iraq imewafunga kifungo cha maisha gerezani watu wanne ambao wamepatikana na hatia ya kujiunga na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh.

  • Kuendelea kupingwa uingiliaji wa Marekani katika mchakato wa kuundwa serikali mpya nchini Iraq

    Kuendelea kupingwa uingiliaji wa Marekani katika mchakato wa kuundwa serikali mpya nchini Iraq

    Aug 31, 2018 02:01

    Kongresi ya Taifa ya Iraq imesisitiza kuwa, uingilkiaji wa Marekani katika suala la kuundwa serikali mpya ya nchi hiyo umezidi kuvuruga hali ya kisiasa na kuzidi kuufanya tata mwenendo wa kisiasa wa Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS