Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq

    Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq

    Aug 03, 2018 20:55

    Marekani imeyataarifa makundi mbalimbali ya Iraq kwamba Haider al-Abadi ndiye chaguo la Washington kwa ajili ya nafasi ya Waziri Mkuu mpya wa Iraq.

  • Jumapili tarehe 22 Julai 2018

    Jumapili tarehe 22 Julai 2018

    Jul 21, 2018 23:00

    Leo ni Jumapili tarehe 8 Dhul-Qaadah 1439, Hijiria, sawa na tarehe 22 Julai 2018 Miladia.

  • Magaidi saba wa ISIS wapata kifungo cha maisha gerezani

    Magaidi saba wa ISIS wapata kifungo cha maisha gerezani

    Jul 20, 2018 20:48

    Mahakama nchini Iraq imewahukumu vifungo vya maisha gerezani magaidi saba Wairaqi wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh baada ya kuwapata na hatia ya kusaidia katika utekelezaji wa hujuma za kigaidi nchini humo.

  • Muqtada Sadr ataka kusimamishwa mazungumzo ya kuundwa serikali mpya ya Iraq

    Muqtada Sadr ataka kusimamishwa mazungumzo ya kuundwa serikali mpya ya Iraq

    Jul 20, 2018 02:58

    Moqtada al-Sadr, kiongozi wa muungano wa Sairun, nchini Iraq ametaka kusimamishwa mazungumzo yenye lengo la kuundwa serikali mpya, hadi pale kutakapotekelezwa matakwa ya walalamikaji.

  • Alkhamisi tarehe 19 Julai 2018

    Alkhamisi tarehe 19 Julai 2018

    Jul 18, 2018 22:40

    Leo ni Alkhamisi tarehe 05 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 19, 2018.

  • Jumamosi, 14 Julai, 2018

    Jumamosi, 14 Julai, 2018

    Jul 13, 2018 22:45

    Leo ni Jumamosi tarehe 30 Mfunguo Mosi Shawwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe 14 Julai 2018.

  • Jeshi la Iraq lawatia mbaroni wanachama wa kundi jipya hatari la ukufurishaji mkoani al-Anbar

    Jeshi la Iraq lawatia mbaroni wanachama wa kundi jipya hatari la ukufurishaji mkoani al-Anbar

    Jul 06, 2018 03:36

    Jeshi la Iraq limefanikiwa kuwatia mbaroni wanachama wa kundi moja hatari la ukufurishaji na kigaidi na ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa muda mrefu mkoani al-Anbar, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza magaidi 30 wa Daesh, Salahuddin

    Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza magaidi 30 wa Daesh, Salahuddin

    Jul 03, 2018 23:21

    Ndege za kijeshi za Iraq zimefanya mashambulizi ya anga na kufanikiwa kuangamiza wanachama wasiopungua 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, katika mkoa wa Salahuddin.

  • Muqtada Sadr na al-Abadi watangaza muungano wa vyama vyao vya siasa Iraq

    Muqtada Sadr na al-Abadi watangaza muungano wa vyama vyao vya siasa Iraq

    Jun 24, 2018 02:50

    Waziri Mkuu wa Iraq, Haidar al-Abadi na mwanachuoni Moqtada al-Sadr wametangaza juu ya kuunda muungano unaovileta pamoja vyama vyao vya kisiasa.

  • Jeshi la Iraq laangamiza magaidi 45 wa Daesh Syria

    Jeshi la Iraq laangamiza magaidi 45 wa Daesh Syria

    Jun 24, 2018 02:37

    Shambulizi la anga lililotekelezwa na jeshi la Iraq limeangamiza wananchama 45 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS