-
Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq
Aug 03, 2018 20:55Marekani imeyataarifa makundi mbalimbali ya Iraq kwamba Haider al-Abadi ndiye chaguo la Washington kwa ajili ya nafasi ya Waziri Mkuu mpya wa Iraq.
-
Jumapili tarehe 22 Julai 2018
Jul 21, 2018 23:00Leo ni Jumapili tarehe 8 Dhul-Qaadah 1439, Hijiria, sawa na tarehe 22 Julai 2018 Miladia.
-
Magaidi saba wa ISIS wapata kifungo cha maisha gerezani
Jul 20, 2018 20:48Mahakama nchini Iraq imewahukumu vifungo vya maisha gerezani magaidi saba Wairaqi wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh baada ya kuwapata na hatia ya kusaidia katika utekelezaji wa hujuma za kigaidi nchini humo.
-
Muqtada Sadr ataka kusimamishwa mazungumzo ya kuundwa serikali mpya ya Iraq
Jul 20, 2018 02:58Moqtada al-Sadr, kiongozi wa muungano wa Sairun, nchini Iraq ametaka kusimamishwa mazungumzo yenye lengo la kuundwa serikali mpya, hadi pale kutakapotekelezwa matakwa ya walalamikaji.
-
Alkhamisi tarehe 19 Julai 2018
Jul 18, 2018 22:40Leo ni Alkhamisi tarehe 05 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 19, 2018.
-
Jumamosi, 14 Julai, 2018
Jul 13, 2018 22:45Leo ni Jumamosi tarehe 30 Mfunguo Mosi Shawwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe 14 Julai 2018.
-
Jeshi la Iraq lawatia mbaroni wanachama wa kundi jipya hatari la ukufurishaji mkoani al-Anbar
Jul 06, 2018 03:36Jeshi la Iraq limefanikiwa kuwatia mbaroni wanachama wa kundi moja hatari la ukufurishaji na kigaidi na ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa muda mrefu mkoani al-Anbar, magharibi mwa nchi hiyo.
-
Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza magaidi 30 wa Daesh, Salahuddin
Jul 03, 2018 23:21Ndege za kijeshi za Iraq zimefanya mashambulizi ya anga na kufanikiwa kuangamiza wanachama wasiopungua 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, katika mkoa wa Salahuddin.
-
Muqtada Sadr na al-Abadi watangaza muungano wa vyama vyao vya siasa Iraq
Jun 24, 2018 02:50Waziri Mkuu wa Iraq, Haidar al-Abadi na mwanachuoni Moqtada al-Sadr wametangaza juu ya kuunda muungano unaovileta pamoja vyama vyao vya kisiasa.
-
Jeshi la Iraq laangamiza magaidi 45 wa Daesh Syria
Jun 24, 2018 02:37Shambulizi la anga lililotekelezwa na jeshi la Iraq limeangamiza wananchama 45 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.