-
Jumatatu tarehe 27 Agosti 2018
Aug 26, 2018 22:51Leo ni Jumatatu tarehe 15 Dhilhija 1439 Hijria sawa na 27 Agosti 2018.
-
Ammar al Hakim: Iraq haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo dhidi ya Iran
Aug 22, 2018 21:09Sayyid Ammar al Hakim, kiongozi wa mrengo wa al Hikma wa Iraq kwa mara nyingine amemuonya rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu vikwazo vyake dhidi ya Iran na kusema kuwa, Baghdad haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo vya kiuchumi vinavyowekwa na Washington dhidi ya taifa la Iran.
-
Wairaqi wapinga kufunguliwa ubalozi mdogo wa Saudia huko Basra
Aug 21, 2018 03:17Wananchi wa mkoa wa Basra nchini Iraq wamefanya maandamano makubwa sambamba na kuenea tetesi kuhusu uwezekano wa kufunguliwa ubalozi mdogo wa Saudi Arabia katika eneo hilo.
-
Rais wa Iraq: Uhusiano wa Tehran na Baghdad ni mzuri
Aug 19, 2018 23:25Rais wa Iraq amevitaja vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni kwa madhara ya serikali na wananchi wa Iraq.
-
Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq
Aug 03, 2018 20:55Marekani imeyataarifa makundi mbalimbali ya Iraq kwamba Haider al-Abadi ndiye chaguo la Washington kwa ajili ya nafasi ya Waziri Mkuu mpya wa Iraq.
-
Jumapili tarehe 22 Julai 2018
Jul 21, 2018 23:00Leo ni Jumapili tarehe 8 Dhul-Qaadah 1439, Hijiria, sawa na tarehe 22 Julai 2018 Miladia.
-
Magaidi saba wa ISIS wapata kifungo cha maisha gerezani
Jul 20, 2018 20:48Mahakama nchini Iraq imewahukumu vifungo vya maisha gerezani magaidi saba Wairaqi wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh baada ya kuwapata na hatia ya kusaidia katika utekelezaji wa hujuma za kigaidi nchini humo.
-
Muqtada Sadr ataka kusimamishwa mazungumzo ya kuundwa serikali mpya ya Iraq
Jul 20, 2018 02:58Moqtada al-Sadr, kiongozi wa muungano wa Sairun, nchini Iraq ametaka kusimamishwa mazungumzo yenye lengo la kuundwa serikali mpya, hadi pale kutakapotekelezwa matakwa ya walalamikaji.
-
Alkhamisi tarehe 19 Julai 2018
Jul 18, 2018 22:40Leo ni Alkhamisi tarehe 05 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 19, 2018.
-
Jumamosi, 14 Julai, 2018
Jul 13, 2018 22:45Leo ni Jumamosi tarehe 30 Mfunguo Mosi Shawwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe 14 Julai 2018.