Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Kutangazwa matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo

    Kutangazwa matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo

    May 19, 2018 21:51

    Muungano wa As- Sairun unaoongozwa na Muqtada Sadr umeibuka mshindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini Iraq kwa kupata viti 54 vya uwakilishi bungeni huku muungano wa Fat-h unaoongozwa na Hadi al Amiri Katibu Mkuu wa Taasisi ya Badr ukinyakua viti 47 na muungano wa An- Nasr unaoongozwa na Waziri Mkuu Haidari al Abadi ukipata viti 42.

  • Matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq yatangazwa; mrengo wa Sadr waibuka mshindi

    Matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq yatangazwa; mrengo wa Sadr waibuka mshindi

    May 19, 2018 03:40

    Muungano wa As-Sairun wenye mfungamano na Muqtada Sadr, kiongozi wa harakati ya Sadr ya Iraq umeibuka mshindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini humo.

  • Jumatano, Mei 16, 2018

    Jumatano, Mei 16, 2018

    May 15, 2018 22:13

    Leo ni Jumatano tarehe 29 Sha'ban 1439 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 16 Mei 2018 Miladia.

  • Orodha ya al Abadi inaongoza katika uchaguzi Iraq; matokeo ya awali yaonyesha

    Orodha ya al Abadi inaongoza katika uchaguzi Iraq; matokeo ya awali yaonyesha

    May 13, 2018 11:14

    Duru kutoka katika Tume Kuu Huru ya Uchaguzi ya Iraq leo imearifu kuwa orodha ya al Nasr yenye mfungamano na Haidar al Abadi Waziri Mkuu wa nchi hiyo inaongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge yaliyotangazwa hadi sasa.

  • Wairaqi wanaelekea vituo vya kupigia kura kuchagua bunge la nne tangu baada ya enzi za Saddam

    Wairaqi wanaelekea vituo vya kupigia kura kuchagua bunge la nne tangu baada ya enzi za Saddam

    May 11, 2018 23:46

    Uchaguzi wa nne wa bunge unafanyika nchini Iraq hii leo tangu ulipoangushwa utawala wa kidikteta wa Saddam mwaka 2003 na wa kwanza baada ya kusambaratishwa na kutokomezwa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) katika nchi hiyo.

  • Wapiganaji wa Hashdu sh-Sha'abi wawaangamiza magaidi wa Daesh

    Wapiganaji wa Hashdu sh-Sha'abi wawaangamiza magaidi wa Daesh

    Apr 30, 2018 23:42

    Duru kutoka Iraq zimearifu kuwa wapiganaji wa harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi wamewaua magaidi kadhaa wa kundi la kitakfiri la Daesh katika mashambulizi waliyofanya katika eneo moja katika mpaka wa Iraq na Syria.

  • Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq

    Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq

    Apr 25, 2018 23:10

    Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al-Maliki amesema Saudi Arabia inafanya kila iwezalo kupitia fedha na propaganda za vyombo vya habari kuharibu matokeo ya uchaguzi ujao nchini humo.

  • Marekani inasaidia magenge stadi kuwaua wataalamu na wenye vipawa wa Kiiraqi

    Marekani inasaidia magenge stadi kuwaua wataalamu na wenye vipawa wa Kiiraqi

    Apr 23, 2018 12:07

    Mwanachama mwandamizi wa mrengo wa Muungano wa Al-Fat'h katika uchaguzi wa Iraq amesema kuna magenge stadi ya mauaji yanayoongozwa na kuungwa mkono na Marekani ili kuwaua wataalamu na shakhsia wenye vipawa wa Kiiraqi.

  • Sisitizo la viongozi wa Iraq la kutoka wanajeshi wa Marekani nchini mwao

    Sisitizo la viongozi wa Iraq la kutoka wanajeshi wa Marekani nchini mwao

    Apr 20, 2018 23:08

    Falih al Fayyadh, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq amesema kuwa, kuna wajibu wa kumalizwa uwepo wa washauri wa kijeshi wa Marekani nchini humo.

  • Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu

    Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu

    Apr 20, 2018 09:03

    Mshauri wa usalama wa taifa na mkuu wa harakati ya wananchi nchini Iraq amesema kuwa kinyume na zinvyoonesha baadhi ya propaganda, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), halitotia tena mguu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS