-
Kutangazwa matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo
May 19, 2018 21:51Muungano wa As- Sairun unaoongozwa na Muqtada Sadr umeibuka mshindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini Iraq kwa kupata viti 54 vya uwakilishi bungeni huku muungano wa Fat-h unaoongozwa na Hadi al Amiri Katibu Mkuu wa Taasisi ya Badr ukinyakua viti 47 na muungano wa An- Nasr unaoongozwa na Waziri Mkuu Haidari al Abadi ukipata viti 42.
-
Matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq yatangazwa; mrengo wa Sadr waibuka mshindi
May 19, 2018 03:40Muungano wa As-Sairun wenye mfungamano na Muqtada Sadr, kiongozi wa harakati ya Sadr ya Iraq umeibuka mshindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini humo.
-
Jumatano, Mei 16, 2018
May 15, 2018 22:13Leo ni Jumatano tarehe 29 Sha'ban 1439 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 16 Mei 2018 Miladia.
-
Orodha ya al Abadi inaongoza katika uchaguzi Iraq; matokeo ya awali yaonyesha
May 13, 2018 11:14Duru kutoka katika Tume Kuu Huru ya Uchaguzi ya Iraq leo imearifu kuwa orodha ya al Nasr yenye mfungamano na Haidar al Abadi Waziri Mkuu wa nchi hiyo inaongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge yaliyotangazwa hadi sasa.
-
Wairaqi wanaelekea vituo vya kupigia kura kuchagua bunge la nne tangu baada ya enzi za Saddam
May 11, 2018 23:46Uchaguzi wa nne wa bunge unafanyika nchini Iraq hii leo tangu ulipoangushwa utawala wa kidikteta wa Saddam mwaka 2003 na wa kwanza baada ya kusambaratishwa na kutokomezwa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) katika nchi hiyo.
-
Wapiganaji wa Hashdu sh-Sha'abi wawaangamiza magaidi wa Daesh
Apr 30, 2018 23:42Duru kutoka Iraq zimearifu kuwa wapiganaji wa harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi wamewaua magaidi kadhaa wa kundi la kitakfiri la Daesh katika mashambulizi waliyofanya katika eneo moja katika mpaka wa Iraq na Syria.
-
Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq
Apr 25, 2018 23:10Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al-Maliki amesema Saudi Arabia inafanya kila iwezalo kupitia fedha na propaganda za vyombo vya habari kuharibu matokeo ya uchaguzi ujao nchini humo.
-
Marekani inasaidia magenge stadi kuwaua wataalamu na wenye vipawa wa Kiiraqi
Apr 23, 2018 12:07Mwanachama mwandamizi wa mrengo wa Muungano wa Al-Fat'h katika uchaguzi wa Iraq amesema kuna magenge stadi ya mauaji yanayoongozwa na kuungwa mkono na Marekani ili kuwaua wataalamu na shakhsia wenye vipawa wa Kiiraqi.
-
Sisitizo la viongozi wa Iraq la kutoka wanajeshi wa Marekani nchini mwao
Apr 20, 2018 23:08Falih al Fayyadh, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq amesema kuwa, kuna wajibu wa kumalizwa uwepo wa washauri wa kijeshi wa Marekani nchini humo.
-
Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu
Apr 20, 2018 09:03Mshauri wa usalama wa taifa na mkuu wa harakati ya wananchi nchini Iraq amesema kuwa kinyume na zinvyoonesha baadhi ya propaganda, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), halitotia tena mguu nchini humo.