Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Iraq: Kiongozi wa Daesh, Abu Bakar al Baghdadi, bado yuko hai

    Iraq: Kiongozi wa Daesh, Abu Bakar al Baghdadi, bado yuko hai

    Jul 16, 2017 10:42

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imekanusha habari za kuuawa kiongozi wa kundi la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh (ISIS) na kusema kuwa Abu Bakar al Baghdadi bado yuko hai na amejificha nchini Syria.

  • Maafisa wa Saudia waliwasaidia magaidi wa ISIS huko Mosul, Iraq

    Maafisa wa Saudia waliwasaidia magaidi wa ISIS huko Mosul, Iraq

    Jul 14, 2017 03:33

    Saudi Arabia ilituma maafisa wake wa kijasusi na kijeshi kujiunga na magaidi wa ISIS au Daesh Mosul wakati wa oparesheni ya jeshi la Iraq ya kuukomboa mji huo.

  • Ijumaa tarehe 14 Julai, 2017

    Ijumaa tarehe 14 Julai, 2017

    Jul 13, 2017 22:19

    Leo ni Ijumaa tarehe 19 Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 14, 2017.

  • Radiamali ya al Abadi kwa madai ya baadhi ya taasisi dhidi ya wanajeshi wa nchi hiyo

    Radiamali ya al Abadi kwa madai ya baadhi ya taasisi dhidi ya wanajeshi wa nchi hiyo

    Jul 13, 2017 10:33

    Waziri Mkuu wa Iraq amekadhibisha madai ya baadhi ya taasisi za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zinazoeneza uvumi kuwa vikosi vya Iraq vilivunja haki za binadamu katika oparesheni ya kuukomboa mji wa Mosul.

  • Baada ya kutangazwa kuuawa kiongozi wa Daesh, wanachama wake wamalizana

    Baada ya kutangazwa kuuawa kiongozi wa Daesh, wanachama wake wamalizana

    Jul 11, 2017 23:34

    Baada ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kutangaza kifo cha mkuu wake Ibrahim al Samarrai, maarufu kwa jina la Abu Bakr al Baghdadi, kumezuka mapigano baina ya wafuasi wa al Baghdadi na wapinzani wake ndani ya genge hilo katika mji wa Tal Afar, magharibi mwa Mosul kaskazini mwa Iraq. Wafuasi kadhaa wa Abubakar al Baghdadi wametiwa mbaroni na mahasimu wao.

  • Ushindi wa Wairaq dhidi ya ISIS Mosul, wawatia kiwewe na hasira Wasaudia

    Ushindi wa Wairaq dhidi ya ISIS Mosul, wawatia kiwewe na hasira Wasaudia

    Jul 11, 2017 03:41

    Katika radiamali ya pupa kufuatia kutangazwa rasmi ushindi wa jeshi la Iraq dhidi ya magaidi wakufurishaji wa kundi la Daesh (ISIS) mjini Mosul, wadukuzi wenye mafungamano na Saudia wamevamia mtandao wa habari wa Twitter wa kanali ya al-Alam .

  • Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar

    Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar

    Jul 10, 2017 22:36

    Vyanzo vilivyo karibu na Haidar al-Abadi Waziri Mkuu wa Iraq vimesema kuwa Saudi Arabia inaishiinikiza nchi hiyo ili ijiunge na nchi zinazoiwekea vikwazo Qatar

  • Waziri Mkuu wa Iraq atangaza rasmi ushindi dhidi ya ISIS Mosul

    Waziri Mkuu wa Iraq atangaza rasmi ushindi dhidi ya ISIS Mosul

    Jul 09, 2017 09:46

    Waziri Mkuu wa Iraq Haider al-Abadi ametangaza rasmi ushindi dhidi ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mji wa Mosul miezi minane baada ya kuanza vita dhidi ya magaidi hao wakufurishaji.

  • Marekani yakiri kuuwa mamia ya raia Syria na Iraq

    Marekani yakiri kuuwa mamia ya raia Syria na Iraq

    Jul 08, 2017 22:20

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imekiri kuwa, ndege za kivita za nchi hiyo na waitifaki wake zimeuwa mamia ya raia huko Syria na Iraq.

  • UN: Gharama za kuijenga upya Mosul ni zaidi ya dola bilioni moja

    UN: Gharama za kuijenga upya Mosul ni zaidi ya dola bilioni moja

    Jul 06, 2017 23:24

    Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Iraq amesema kuwa, gharama za kuujenga upya mji wa Mosul wa kaskazini mwa Iraq ni zaidi ya dola bilioni moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS