-
Iraq: Kiongozi wa Daesh, Abu Bakar al Baghdadi, bado yuko hai
Jul 16, 2017 10:42Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imekanusha habari za kuuawa kiongozi wa kundi la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh (ISIS) na kusema kuwa Abu Bakar al Baghdadi bado yuko hai na amejificha nchini Syria.
-
Maafisa wa Saudia waliwasaidia magaidi wa ISIS huko Mosul, Iraq
Jul 14, 2017 03:33Saudi Arabia ilituma maafisa wake wa kijasusi na kijeshi kujiunga na magaidi wa ISIS au Daesh Mosul wakati wa oparesheni ya jeshi la Iraq ya kuukomboa mji huo.
-
Ijumaa tarehe 14 Julai, 2017
Jul 13, 2017 22:19Leo ni Ijumaa tarehe 19 Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 14, 2017.
-
Radiamali ya al Abadi kwa madai ya baadhi ya taasisi dhidi ya wanajeshi wa nchi hiyo
Jul 13, 2017 10:33Waziri Mkuu wa Iraq amekadhibisha madai ya baadhi ya taasisi za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zinazoeneza uvumi kuwa vikosi vya Iraq vilivunja haki za binadamu katika oparesheni ya kuukomboa mji wa Mosul.
-
Baada ya kutangazwa kuuawa kiongozi wa Daesh, wanachama wake wamalizana
Jul 11, 2017 23:34Baada ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kutangaza kifo cha mkuu wake Ibrahim al Samarrai, maarufu kwa jina la Abu Bakr al Baghdadi, kumezuka mapigano baina ya wafuasi wa al Baghdadi na wapinzani wake ndani ya genge hilo katika mji wa Tal Afar, magharibi mwa Mosul kaskazini mwa Iraq. Wafuasi kadhaa wa Abubakar al Baghdadi wametiwa mbaroni na mahasimu wao.
-
Ushindi wa Wairaq dhidi ya ISIS Mosul, wawatia kiwewe na hasira Wasaudia
Jul 11, 2017 03:41Katika radiamali ya pupa kufuatia kutangazwa rasmi ushindi wa jeshi la Iraq dhidi ya magaidi wakufurishaji wa kundi la Daesh (ISIS) mjini Mosul, wadukuzi wenye mafungamano na Saudia wamevamia mtandao wa habari wa Twitter wa kanali ya al-Alam .
-
Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar
Jul 10, 2017 22:36Vyanzo vilivyo karibu na Haidar al-Abadi Waziri Mkuu wa Iraq vimesema kuwa Saudi Arabia inaishiinikiza nchi hiyo ili ijiunge na nchi zinazoiwekea vikwazo Qatar
-
Waziri Mkuu wa Iraq atangaza rasmi ushindi dhidi ya ISIS Mosul
Jul 09, 2017 09:46Waziri Mkuu wa Iraq Haider al-Abadi ametangaza rasmi ushindi dhidi ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mji wa Mosul miezi minane baada ya kuanza vita dhidi ya magaidi hao wakufurishaji.
-
Marekani yakiri kuuwa mamia ya raia Syria na Iraq
Jul 08, 2017 22:20Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imekiri kuwa, ndege za kivita za nchi hiyo na waitifaki wake zimeuwa mamia ya raia huko Syria na Iraq.
-
UN: Gharama za kuijenga upya Mosul ni zaidi ya dola bilioni moja
Jul 06, 2017 23:24Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Iraq amesema kuwa, gharama za kuujenga upya mji wa Mosul wa kaskazini mwa Iraq ni zaidi ya dola bilioni moja.