-
Israel yaruhusiwa kujenga ubalozi Morocco licha ya pingamizi la wananchi
Aug 03, 2022 07:34Utawala wa Kizayuni wa Israel umedai kuwa umesaini mkataba wa kuuruhusu ujenge ubalozi nchini Morocco, licha ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala huo pandikizi.
-
Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah
Jul 26, 2022 03:17Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema makombora yenye usahihi mkubwa katika kulenga shabaha ya harakati hiyo ya muqawama yana uwezo wa kupiga sehemu yoyote ya utawala haramu wa Israel; baharini au ardhini.
-
Iran yavunja mtandao wa majasusi wa Mossad ya Israel
Jul 24, 2022 03:14Wizara ya Intelijensia ya Iran imetangaza habari ya kutiwa mbaroni majasusi kadhaa waliokuwa wakitumikia shirika la ujasusi la Israel (Mossad).
-
Wapalestina 21 wauawa, kujeruhiwa na askari wa Israel Ukingo wa Magharibi
Jul 24, 2022 03:08Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine 19 katika miji ya Nablus na Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
-
Jeshi la Syria latungua makombora ya Israel viungani mwa Damascus
Jul 22, 2022 02:41Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Syria kimetangaza kutungua makombora yaliyokuwa yamevurumishwa na utawala haramu wa Israel nje ya mji mkuu Damascus.
-
Kan'ani: Israe haina ubavu wala uthubutu wa kuikabili Iran kijeshi
Jul 19, 2022 21:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hauna ubavu wala ujasiri wa kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi
Jul 17, 2022 22:01Amir wa Qatar ameitaja Israel kuwa ndio chanzo kikuu cha mizozo katika eneo la Asia Magharibi, akisema machafuko na hali ya kutokuwepo utulivu itaendelea katika eneo hilo isipokuwa utawala ghasibu wa Israel utakapokoma kukiuka sheria za kimataifa.
-
Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran
Jul 15, 2022 22:14Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zinatambua vizuri kile ambacho kitawafika iwapo zitathubutu kutelekeza kivitendo vitisho vyao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Israel yaidhinisha Saudia kupewa visiwa viwili vya Misri
Jul 15, 2022 22:12Utawala wa Kizayuni wa Israel umeripotiwa kubariki mpango wa kukabidhi visiwa viwili vya kistratajia vya Misri kwa Saudi Arabia.
-
Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi
Jul 12, 2022 22:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chimbuko la vitendo vya kigaidi na ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo hili la Asia Magharibi.