Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yaruhusiwa kujenga ubalozi Morocco licha ya pingamizi la wananchi

    Israel yaruhusiwa kujenga ubalozi Morocco licha ya pingamizi la wananchi

    Aug 03, 2022 07:34

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umedai kuwa umesaini mkataba wa kuuruhusu ujenge ubalozi nchini Morocco, licha ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala huo pandikizi.

  • Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah

    Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah

    Jul 26, 2022 03:17

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema makombora yenye usahihi mkubwa katika kulenga shabaha ya harakati hiyo ya muqawama yana uwezo wa kupiga sehemu yoyote ya utawala haramu wa Israel; baharini au ardhini.

  • Iran yavunja mtandao wa majasusi wa Mossad ya Israel

    Iran yavunja mtandao wa majasusi wa Mossad ya Israel

    Jul 24, 2022 03:14

    Wizara ya Intelijensia ya Iran imetangaza habari ya kutiwa mbaroni majasusi kadhaa waliokuwa wakitumikia shirika la ujasusi la Israel (Mossad).

  • Wapalestina 21 wauawa, kujeruhiwa na askari wa Israel Ukingo wa Magharibi

    Wapalestina 21 wauawa, kujeruhiwa na askari wa Israel Ukingo wa Magharibi

    Jul 24, 2022 03:08

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine 19 katika miji ya Nablus na Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.

  • Jeshi la Syria latungua makombora ya Israel viungani mwa Damascus

    Jeshi la Syria latungua makombora ya Israel viungani mwa Damascus

    Jul 22, 2022 02:41

    Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Syria kimetangaza kutungua makombora yaliyokuwa yamevurumishwa na utawala haramu wa Israel nje ya mji mkuu Damascus.

  • Kan'ani: Israe haina ubavu wala uthubutu wa kuikabili Iran kijeshi

    Kan'ani: Israe haina ubavu wala uthubutu wa kuikabili Iran kijeshi

    Jul 19, 2022 21:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hauna ubavu wala ujasiri wa kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi

    Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi

    Jul 17, 2022 22:01

    Amir wa Qatar ameitaja Israel kuwa ndio chanzo kikuu cha mizozo katika eneo la Asia Magharibi, akisema machafuko na hali ya kutokuwepo utulivu itaendelea katika eneo hilo isipokuwa utawala ghasibu wa Israel utakapokoma kukiuka sheria za kimataifa.

  • Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jul 15, 2022 22:14

    Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zinatambua vizuri kile ambacho kitawafika iwapo zitathubutu kutelekeza kivitendo vitisho vyao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Israel yaidhinisha Saudia kupewa visiwa viwili vya Misri

    Israel yaidhinisha Saudia kupewa visiwa viwili vya Misri

    Jul 15, 2022 22:12

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeripotiwa kubariki mpango wa kukabidhi visiwa viwili vya kistratajia vya Misri kwa Saudi Arabia.

  • Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi

    Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi

    Jul 12, 2022 22:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chimbuko la vitendo vya kigaidi na ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo hili la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS